Kuchunga mkuu! Mimi siku 5 yeye 2 kwa wiki.Kuchunga au kuchungulia kama wafanyakazi wamelisha ng'ombe?
Ili iweje sasa mkuu?Kuchunga mkuu! Mimi siku 5 yeye 2 kwa wiki.
Daah, πππHuko huko ulikoenda kununua ng'ombe, ndio ungeomba na mke wa kukusaidia kuchunga.
Daah ππππHabari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.
Vigezo ni awe anapumua tu,
Nawasilisha