Mke anayeweza kuchunga ng'ombe angalau kwa wiki mara moja.

Mke anayeweza kuchunga ng'ombe angalau kwa wiki mara moja.

me too dady yake mie
Ila siwez kuchunga ng'ombe labda kukata majani
jana ulifungiwa kijiwe gani ??
Hahaha! Jitahidi ufahamu kila kitu

Ooh! Jana nilikuwa na mizunguko ya kukutafutia zawadi ya shumizi mpya kukuletea😅
 
Mrejesho wakuu!.. Baada ya Jana kuandika huu Uzi nimefanikiwa kutafutwa na wanawake wawili mmoja Yuko Mbeya! Mwingne Yuko Mwanza Leo naenda kionana na huyo wa Mwanza nitawapa mrejesho! Huyo wa Mbeya Yuko mbali sijui kama atanifaa.

Nawasilisha.
 
Hahaha! Jitahidi ufahamu kila kitu

Ooh! Jana nilikuwa na mizunguko ya kukutafutia zawadi ya shumizi mpya kukuletea😅
Shumizi mpya🤣🤣🤣🤣🤣 siku nzima ?? hiyo iweke hadi mwezi wa 2 upatie bimkubwa
Hivi shumizi ndio sidiria???
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
Hapo labda nenda usukumani huko ndani ukaoe wale wadada wenye mapengo ndiyo wanaweza hiyo shughuli ila hawa wa hapa jamiiforums huwapati ng'o
 
Mrejesho wakuu!.. Baada ya Jana kuandika huu Uzi nimefanikiwa kutafutwa na wanawake wawili mmoja Yuko Mbeya! Mwingne Yuko Mwanza Leo naenda kionana na huyo wa Mwanza nitawapa mrejesho! Huyo wa Mbeya Yuko mbali sijui kama atanifaa.

Nawasilisha.
Hongera sana ikawe kheri, familia itakua ya wachungaji😀😀
 
Shumizi mpya🤣🤣🤣🤣🤣 siku nzima ?? hiyo iweke hadi mwezi wa 2 upatie bimkubwa
Hivi shumizi ndio sidiria???
Hii ndio shumizi, sidiria ni daka nyonyo kwa lugha ya sisi wahuni wa zamani

2688fb3a-397c-437f-8422-950152c5e5d6_size3840x4767_cropCenter.png
 
Ooo kumbe hizo sivai unaweza ikuta kifuani 🤣🤣🤣 au miguuni endapo hivyo vikamba vya juu vimekatika 🤣🤣
ulikuwa muhuni 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Vipi fani ya uhuni inaendelea au umestaafu😅 kwan mshua una umri gani

Hii ndio shumizi, sidiria ni daka nyonyo kwa lugha ya sisi wahuni wa zamani

View attachment 3163064
 
Ooo kumbe hizo sivai unaweza ikuta kifuani 🤣🤣🤣 au miguuni endapo hivyo vikamba vya juu vimekatika 🤣🤣
ulikuwa muhuni 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Vipi fani ya uhuni inaendelea au umestaafu😅 kwan mshua una umri gani
shida nini hadi ifike hayo maeneo? Nitakuvalisha vizuri🤣

Ooh! Enzi zangu nilikuwa muhuni, checkbob .

Uhuni tumeacha maana umri nao unakimbia,majukumu binafsi na ya kikazi yanabana so ukiendekeza uhuni kuna watu wananiangalia kama mtu mzima,baba,uncle na kiongozi wao. . .

Zulu man kiongozi wa wapiga debe tandale hapa kwahiyo lazima nijenge taswira nzuri mbele yao😅

Niangalie kwa picha
 
shida nini hadi ifike hayo maeneo? Nitakuvalisha vizuri🤣

Ooh! Enzi zangu nilikuwa muhuni, checkbob .

Uhuni tumeacha maana umri nao unakimbia,majukumu binafsi na ya kikazi yanabana so ukiendekeza uhuni kuna watu wananiangalia kama mtu mzima,baba,uncle na kiongozi wao. . .

Zulu man kiongozi wa wapiga debe tandale hapa kwahiyo lazima nijenge taswira nzuri mbele yao😅

Niangalie kwa picha
Shida hizo kamba zikikatika bahati mbaya ukiwa unatembea utaikuta miguuni
Nikama koschumu za enzi hizo nafikir ulizivaa😂😂😂😅 ikikatika kile kikamba unaikuta kifuani
Hata kwa mguu wa kuku sivai
Hongera kwakuacha ila kwa jicho la tatu naona bado vipo vipo😷😅😅😅
Picha ipi??
 
Nenda usukumani au umasaini. Hopefully utapata.

-Kaveli-
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
We jamaa saiv zama zebadirika labda utafute wa uko uko🤣🤣🤣
 
Kwa haya majibu ya wanawake wa JF, ni masista duu watupu humu.

Wanawake wa dizaini hiyo hupati humu JF.
 
Shida hizo kamba zikikatika bahati mbaya ukiwa unatembea utaikuta miguuni
Nikama koschumu za enzi hizo nafikir ulizivaa😂😂😂😅 ikikatika kile kikamba unaikuta kifuani
Hata kwa mguu wa kuku sivai
Hongera kwakuacha ila kwa jicho la tatu naona bado vipo vipo😷😅😅😅
Picha ipi??
Kwanini ikatike hiyo kamba? Nipeleke wapi hizi nilizokununulia ?

Hahahaha! Nimeacha kabisa au umeona wapi?

Utazikuta inbox picha za checkbob wa jana ,salamu ya "shikamoo" unipatie tafadhali.
 
Back
Top Bottom