Mke anayeweza kuchunga ng'ombe angalau kwa wiki mara moja.

Mke anayeweza kuchunga ng'ombe angalau kwa wiki mara moja.

Kwanini ikatike hiyo kamba? Nipeleke wapi hizi nilizokununulia ?

Hahahaha! Nimeacha kabisa au umeona 🤣🤣🤣?

Utazikuta inbox picha za checkbob wa jana ,salamu ya "shikamoo" unipatie tafadhali.
Eti uzipelekewapi🤣🤣🤣habari za kusadikika hakuna ulicho nunua


Nimeona hapa hapa kupitia jicho la tatu


Inbox🤣🤣🤣🤣🤣 ipo hiyo unataka kuaminisha nin umma acha zako mshua heshima yako
 
Eti uzipelekewapi🤣🤣🤣habari za kusadikika hakuna ulicho nunua


Nimeona hapa hapa kupitia jicho la tatu


Inbox🤣🤣🤣🤣🤣 ipo hiyo unataka kuaminisha nin umma acha zako mshua heshima yako
Nifanye nini ili uamini umenunuliwa shumizi?

Nafurahi na vijana ndio maana umehisi hivyo binti yangu😅

Naaminisha umma kuwa unamfahamu binadamu mwenye kitambi,mfupi,mweusi,hana pesa ila ana ucheshi,upendo na mengine unayafahamu.. uko wapi nifike chaaap sasa?
 
Nifanye nini ili uamini umenunuliwa shumizi?

Nafurahi na vijana ndio maana umehisi hivyo binti yangu😅

Naaminisha umma kuwa unamfahamu binadamu mwenye kitambi,mfupi,mweusi,hana pesa ila ana ucheshi,upendo na mengine unayafahamu.. uko wapi nifike chaaap sasa?
Mbavu zangu😂😂😂 hebu weka picha hapa nione

Hongera kwa kufurahi na vijana hivi humu wazeee hamana eee🤣🤣🤣😅

kumbe nakufaham oooo alafu hujui nilipo oooo chamgoi hapa😂😂😅
 
Mbavu zangu😂😂😂 hebu weka picha hapa nione

Hongera kwa kufurahi na vijana hivi humu wazeee hamana eee🤣🤣🤣😅

kumbe nakufaham oooo alafu hujui nilipo oooo chamgoi hapa😂😂😅
Unataka wafahamu rangi ya shumizi yako?wanawake wa zamani walikuwa na maadili yan inaanza daka nyonyo,inakuja chupi,underskirt alaf juu shumizi na anatupia na nguo sasa ila siku hizi mnavaa vyupi barabarani

Hahaha! Wazee wapo wachache

Chamgoi ni sehemu binti yangu? Google itanipatia majibu,jiandae kwa ugeni.
 
Unataka wafahamu rangi ya shumizi yako?wanawake wa zamani walikuwa na maadili yan inaanza daka nyonyo,inakuja chupi,underskirt alaf juu shumizi na anatupia na nguo sasa ila siku hizi mnavaa vyupi barabarani

Hahaha! Wazee wapo wachache

Chamgoi ni sehemu binti yangu? Google itanipatia majibu,jiandae kwa ugeni.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣safari njema ukikwama utanijulisha
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
wakurya wako wengi sana mabinti wanachunga ng'ombe sio wiki tu hata mwezi ukitaka
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
Aisee!Huyo mwanamke atapata tabu sana.
1-Mara moja kwa wiki anachunga ng'ombe wengi.
HALAFU,
2-Siku zingine sita anachunga kiongozi wa wale ng'ombe wa awali.
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
Wahi haraka huko unaitwa na Marcy!
 
Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.

Vigezo ni awe anapumua tu,

Nawasilisha
Huwezi ukampata mkuu

Ila nisikuvunje moyoo 😅😅
 
Back
Top Bottom