Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nijibu kwanza then nikueleze sababu ya kukuulizaKwann umeuliza
NajuaWe nijibu kwanza then nikueleze sababu ya kukuuliza
HongeraNajua
Sababu wekaHongera
Kawowe ka Depal kamechoka kudanga, naamini katakubali masharti ya mganga!Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.
Vigezo ni awe anapumua tu,
Nawasilisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Habari wakuu.
Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe.
Vigezo ni awe anapumua tu,
Nawasilisha
Ahsante mkuu, tutakukaribisha unywe japo mtindi, sahivi hata maporini naendafinancial services
Nimekutafutia wa kuzaa nae huku dada angu.
Huko huko maporini mkiwa mnachunga ng'ombe mnapigana mimba.