fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo ni kama hayajitoshelezi hivi, ufunguo wa maisha, how?Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
kwamba ukioa au kuolewa hapo una ufunguo wa maisha yako kupata maendeleoMaelezo ni kama hayajitoshelezi hivi, ufunguo wa maisha, how?
Unamaanisha maisha yamefungwa kivipi? mke anayafunguaje?Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
ukiwa mpweke motisha wa kupambana kutafuta maendeleo ni mdogo mnoUnamaanisha maisha yamefungwa kivipi? mke anayafunguaje?
Ungejazia nyama kwenye andiko lako Mzee fimbo, ikibidi kesho nikatangaze ndoakwamba ukioa au kuolewa hapo una ufunguo wa maisha yako kupata maendeleo
kwa dunia ya sasa sio ufunguo wa maisha.Ni tume ya uchaguzi na Jaji mkuu kupitia raisi wa ccm.Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
Hii ni kwa nchi gani? Maana hapa Tanzania tumeambiwa elimu ni ufunguo wa maisha.Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
mpaka hapo ushafeli kama unategemea mke ndio akupe motisha ya kupambana.ukiwa mpweke motisha wa kupambana kutafuta maendeleo ni mdogo mno
Ni wazi hujui hata kusoma,hoja hii ni kwa mwanaume na mwanamke,mwanamke ni ufunguo wa maendeleo kwa mwanaume na na mwanaume ni ufunguo wa maisha kwa mwanamke,pia yawezekana wewe huna mwenza na wala hujui mwenza ni ni nanimpaka hapo ushafeli kama unategemea mke ndio akupe motisha ya kupambana.
Tanzania hii hiiHii ni kwa nchi gani? Maana hapa Tanzania tumeambiwa elimu ni ufunguo wa maisha.
ni wazi kwamba una hasira, na umesahau ulichoandika hapo juu. Umesema wanawake waolewe na ukasema pia wanaume tuoe. Halafu tena unasema sina mwenza/mke kumbe ushauri wako umelenga wenye wake.Ni wazi hujui hata kusoma,hoja hii ni kwa mwanaume na mwanamke,mwanamke ni ufunguo wa maendeleo kwa mwanaume na na mwanaume ni ufunguo wa maisha kwa mwanamke,pia yawezekana wewe huna mwenza na wala hujui mwenza ni ni nani
Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye shereh
maisha mabaya hayana ufunguoUzuri we mwenyewe hujasema kama ni ufunguo wa maisha mema au maisha ya tafranii. Maana kila upande unahitaji funguo
soma vizuri nimeandika nini,hii sio kwa mwanamke tu,tunafeli mitihani kwa kukurupuka kujibu bila kusoma swaliUnamaanisha maisha yamefungwa kivipi? mke anayafunguaje?