Mke kagundua nina mtoto nje

Mke kagundua nina mtoto nje

Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Mpe talaka tu si anaitaka
 
Akidai talaka mpe...khee kwani shida Iko wapi?.. Kuna watu nje huku wanatamani ndoa hata na mume mwenye watoto kumi...then yeye analeta nyodo...let her go
😂😂😂 uchinjwe xmas mdogo angu sio kwa ushauri huo konki
 
kama anataka talaka mpe wala usiumize kichwa, ingelikuwa umezaa baada ya ndoa lingekuwepo la kulijadili na mkeo.
 
Ila mimi mpaka sasa hajaniambia chochote,kakaa kimya,simu hapokei wala msg,sasa najiuliza kwavile ameamua kuwa mbia wifi zake,nikae kimya nione mwisho wa picha au numuulize.
Akiomba talaka mpe chap...maisha yenyewe mafupi asije kukupa stroke na sisi wanaume umri wetu wa kuishi ni mdogo
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?

Kosa ni lako. Kwanini umfiche kuhusu wewe kuwa na watoto wakati uliwazaa kabla hamjakutana?

Hiii suala la wanaume kuwaficha wake zao watoto kwa kweli silielewi.
 
Kama tayari una watoto nae wala asikuumize kichwa mkuu...Kama hao watoto aliowakuta ni wakubwa bas kashapata jibu kua hakuna usaliti na hakuna kesi hapo...Kama hajakuuliza kitu nawewe usimuulize kitu akiwa tayari kuongelea hilo atakuambia.Mambo madogo hayo yatapita tu.
 
Hilo mbona dogo tu..mimi ninaye wa nje ya ndoa na anajulia...alinuna anatulia tu
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Kama watoto ni wakubwa kuliko umri wa ndoa, basi hapo hakuna kesi ya kujibu.
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Kosa lako ni kutomwambia. vipi kama yeye ungemuoa halafu baadaye unakuja kugundua kuwa alikuwa na mtoto kabla ya kukutana na wewe lakini hakwuahi kukwambia, vipi ungemwelewa?
By the way kwa kuwa ni kabla ya ndoa subiri munkali wake ushuke mtayamaliza na watoto watambulike fresh kabisa.
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?

Ulikosea kutomwambia mapema, wanawake hawanashida wakijua una mtoto kabla ya kumuoa kikubwa umuweke wazi na umbembeleze bembeleze..

Sasa fanya hivi usimjibu vibaya na talaka usimzuie kudai, mwache adai talaka ila akiwa anadai talaka mzungushe usimpe alafu tumia huo muda kumbembeleza bembeleza, hapo anakupima na kajawa na wivu anachotaka ni aone je unamuhitaji na kumthamini ili ajione mtu na umwaminishe kuwa hao mama watoti zako hawakua zaidi yake.


Chezea saikolojia yake mkuu mpaka akae sawa.
 
Ila mimi mpaka sasa hajaniambia chochote,kakaa kimya,simu hapokei wala msg,sasa najiuliza kwavile ameamua kuwa mbia wifi zake,nikae kimya nione mwisho wa picha au numuulize.
Wewe jibebishe mchanganye kisaikolojia na usishindane nae na usimwonyeshe kama umejua kawaambia wifi zake, siku akikufungukia tafuta uongo mzuri mzuri wenye ukweli kidogo ndani yake utakao kua na maneno ya kumbembeleza na kumpandisha hisia zake alafu mwambie.

Nb. Usiongee sana jiamini na tumia akili yako ya kiume kumtongoza upya mke wako alafu ulete hapa mrejesho
 
Kosa lako ni kuoa. Kuoa ni upumbavu!
KATAA NDOA
 
Ulikosea kutokumwambia mapema kuwa una mtoto kabla yake,
Swali kwako je ukigundua leo mwenzio ana mtoto kabla ya kuwa na wewe utafurahi, hutojisikia namna fulani.?

Ila sio kosa la kuomba talaka, hapo ni anataka abembelezwe na familia yote ijue kuwa amejua.
Wanaozaa na kunyonyesha ni wanawake. Mwanaume hapati mimba wala hazai. Hapo kesi hakuna.
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Pole mkuuu
 
Back
Top Bottom