Mke kagundua nina mtoto nje

Mke kagundua nina mtoto nje

Niko bongo rasta man.....huwezi kufika huku gamboshi bariadi,just joke....ila niko kwenye wakati mgumu,unacheka ila niko serious,
Pole bro, yatapita.....nothing is permanent, muhimu tu uachane na ule ujinga huwa mnashauriana kwenye vijiwe vya kahawa kwamba we dinda tu hapo, nyanyua mabega we ni mwanaume.

Ushakosea, kuwa mpole mbembeleze mkeo atalainika tu.....kama haujawahi mpa zawadi muda ndio huo atalainika yataisha.

Pole baba Junia
 
Pole kiongozi, mtiti wake sio mdogo ila ahueni yako ni kiwa umewapata kabla ya kumuoa. Hilo linasovika bila nguvu kubwa sana.

Nina mpango wa kuchanganya damu, angalau katoto kamoja ka mke mdogo, its risky but ni muhimu...
Umuhimu wake ni upi Mtaalam?
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Hapa hamna kesi, labda kama huna hela.
 
Mi namjua mke wangu ni short tempaaa mno endapo ningekuwa nafanya mawasiliano akagundua kungewaka moto na ungekuta tusha achana kitambo.
Hivi nikuulize swali , wewe kwa files zako ungemficha mpk lini mkeo.
Inamaana mpk wanakuwa wakubwa mpk wanaoa unaitajika kupokea mali nyumbani kwako, au kama wa kiume alete mchumba nyumbani kwako.

Ungefanyaje kwenye situation kama hio.
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa langu nini?
Atatulia tu sifa ya mwanaume rijali hiyo bn.
Mtumie zawadi hata maua au mtoe out huko mbali kesi kwisha na utamu atatoa.
 
Habari waungwana.
Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa.

Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei, nikasema labda yuko busy nakazi, maana si ishi nae karibu.

Bi mkubwa leo kanipigia cm,kaniambia mkeo katuma picha kwa wifi zake anauliza mbona huyu mtoto kafanana na baba nani ,waka mjibu ni wa kwakwe .

Kwani kipindi anakuoa hakuwai kukueleza ana watoto wa nje? Ninacho omba ushauri watoto ni wakubwa nilizaa njee kabla sijamuowa na sijawahi kuzaa nje ya ndoa.

Naona anawambia dada zangu anataka kudai talaka, sasa hapo kosa

Hukumbuki kama ulimwambia au laa?

Kwangu mimi hili ni kosa kubwa kuliko kutomwambia kabisa.

Kutomwambia inawezekana ukaacha kumwambia kwa kuona hili ni jambo muhimu sana. Ulikuwa unalinda ndoa.

Usipokumbuka kama ulimwambia ama la, maana yake umeliona hili suala si muhimu kabisa.
Kuzaa nje ya ndoa
 
Kisheria, hata sheria ya Kanisa Katoliki, kama ulimuambia kuwa huna watoto, hiyo ndoa inaweza kuvunjwa

Kama hakuuliza ukamficha ni tofauti na aliuliza ukamuambia huna. Ile fomu ya maombi ya ndoa inauliza hayo maswali. Kama ulidanganya mule hiyo ndoa inavunjika.
 
Watu wanakujaza upepo humu aisee
Kuna watu ukifuata ushauri wao wanakupoteza

Vipi wewe ungejisikiaje kama ungegundua kuwa mkeo kumbe alizaa watoto kabla hujamuoa na alikuficha?

Kosa lako ni kutokuwa muwazi Toka mwanzo.
Mwambie mtu ukweli ili ajiandae kabisa kisaikolojia kwamba tayari una watoto.
Hizo surprise ndizo zinazokera.

Kuwa tu mpole Mkuu.
Kuendelea kukausha na wakati unajua ushatengeneza bomu hakutakusaidia.

Ukweli humuweka mtu huru.
 
Hauna kosa mkuu.
Sijaona kosa lako kabisa.
Hao watoto walitakiwa saizi wawe wamesha fika hapo nyumbanu kwa mkeo.
 
Kosa lako ni kutosema kabla ya kuingia ndani ya ndoa. Yeye shida yake ni kuwa anaona ni kosa kubwa na watoto ni wakubwa kuliko wa kwake. Ingekuwa wako Sawa na wake ingekuwa ana uhalali wa kutaka talaka.
 
Back
Top Bottom