Mke kwenda kujifungulia kijijini, huu ni uchawi


Muombe Mungu mtoto wako wa kiume asifwate tabia zako mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko sahihi kabisa mkuu,wale mlioko mjini ndiyo mnahuduma bora zaidi za afya kuliko tulio huku vijijini, lakini sasa mnawakimbiza wake zenu kuja huku kwasababu unakuta mtu anakaa chumba kimoja tu.........na mkewe anahali hiyo lazima tu amrudishe kijijini angalau kuna kanafasi
 
Uko sahihi kabisa mkuu,wale mlioko mjini ndiyo mnahuduma bora zaidi za afya kuliko tulio huku vijijini, lakini sasa mnawakimbiza wake zenu kuja huku kwasababu unakuta mtu anakaa chumba kimoja tu.........na mkewe anahali hiyo lazima tu amrudishe kijijini angalau kuna kanafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…