Mke kwenda kujifungulia kijijini, huu ni uchawi

Nina watoto watatu, mambo ya matambiko niliyakataa long time. Yanakufanya uwe zezeta
Wengine hawa hapa
 
Sasa unakuta mjini una chumba kimoja sebule imeigawa


Ataenda zalia kwao alipopazoea kama ukweni hataki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Naona sawa wapelekwe tu uko vijijini.
Mke wangu mimba ilipofika miezi 5 nikampeleka kwako uko mpala kyala ,nyumbani nilibaki kwa raha sana narudi muda ninaotaka mimi,pombe nakunywa ninavyojisikia,no kelele
Kama hiki ulichoandika ni kweli basi unahitaji msaada mkubwa kifupi upo jela fanya kila uliwezalo kurejesha amani kwenye ndoa yako na kama haiwezekani basi tafuta namna nyingine ya maisha Kwan hali ikiendelea hivyo kuna hatari kubwa mbele yako
 
Naona sawa wapelekwe tu uko vijijini.
Mke wangu mimba ilipofika miezi 5 nikampeleka kwako uko mpala kyala ,nyumbani nilibaki kwa raha sana narudi muda ninaotaka mimi,pombe nakunywa ninavyojisikia,no kelele

[emoji23]
 
Swala la kitovu ni changamoto, nafahamu mke na mkwe walivyogombana kwasababu ya kitovu.
 
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…