RungulaBwana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 219
- 352
.Aaaah! Marekan eee. Uchafu ote wa dunian upo uko so sishangai sana
Na Huyo ndiye mwanamkeAisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
😂😂😂👀KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Most likely sio sifa bali ni uchungu wa mbele unaojitengea wewe mwenyewe pamoja na kuumiza watu wakaribu yako. Sema ndio modernization hiyo, tumekuja kuwa lefty yaani, tunasifia viovu na kuviponda vilivyo vyema. Yaani sifa ya kufanya uovu au ukatili kwa mwanamke au mwanaume inamuumizaga sana uzeeni au nyakati za mwisho, sema ndio jamii ngoje tuone itakuaje.View attachment 2718161kula chuma hicho mkuu..haoo ndio wanawake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata aliyeolewa na bikra anaweza asiwe wako piaMke aliye olewa bila bikirahuyo sio wako
Show show au sio 😀Usipooa utaolewa
Aisee.KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Inawezekana..Pesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea
Tapeli wa mapenzi huyo...ameona kuliko kutubu dhambi ni bora afe na dhambi ya kuzini...watu wengi wakifa huwa wanakimbilia kutubu ila huyu ni ibilisi
Tunajua hayo ndio maana hatuachi kuchepuka nyuma ya pazia mpm kbL ya jua kuzamaUnaambiwa mwanamke anaweza ishi na mume hata miaka yote na hampendi mume na anaishi tu.
[emoji23]wacha wapigwe tu
Mdogowangu 😀😀Most likely sio sifa bali ni uchungu wa mbele unaojitengea wewe mwenyewe pamoja na kuumiza watu wakaribu yako. Sema ndio modernization hiyo, tumekuja kuwa lefty yaani, tunasifia viovu na kuviponda vilivyo vyema. Yaani sifa ya kufanya uovu au ukatili kwa mwanamke au mwanaume inamuumizaga sana uzeeni au nyakati za mwisho, sema ndio jamii ngoje tuone itakuaje.
AiseeeeUsipooa utaolewa
Ni kweliMost likely sio sifa bali ni uchungu wa mbele unaojitengea wewe mwenyewe pamoja na kuumiza watu wakaribu yako. Sema ndio modernization hiyo, tumekuja kuwa lefty yaani, tunasifia viovu na kuviponda vilivyo vyema. Yaani sifa ya kufanya uovu au ukatili kwa mwanamke au mwanaume inamuumizaga sana uzeeni au nyakati za mwisho, sema ndio jamii ngoje tuone itakuaje.
Mke aliye olewa bila bikirahuyo sio wako
Peponi kuna bikra 72, asubirie huko.Aisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053