Bless mom
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 948
- 2,040
Subhanallah!Mswalieni mtume (SAW)[emoji120]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subhanallah!Mswalieni mtume (SAW)[emoji120]
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo.
Huyo mtoto alie msingizia jamaa usishangae akawa mke mwenza jamaa sio boya anasikilizia😀😀View attachment 2718161kula chuma hicho mkuu..haoo ndio wanawake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nani atamwambiaaa...imetokaa hiyoo ikirudi pancha😄😄😄Huyo mtoto alie msingizia jamaa usishangae akawa mke mwenza jamaa sio boya anasikilizia😀😀
Damu nzito mbona itajulikqna tu😀😀ni jambo la muda tuNani atamwambiaaa...imetokaa hiyoo ikirudi pancha😄😄😄
Wengi wanalea watoto sio waooo...Damu nzito mbona itajulikqna tu[emoji3][emoji3]ni jambo la muda tu
Ila mna roho ngumu sana wanawake 😂😂😂
Ndio maana tunasema nyiee hamtujuii sisi[emoji1][emoji1][emoji1]Ila mna roho ngumu sana wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasiku tukiwajua sijui itakiwaje😂😂😂Ndio maana tunasema nyiee hamtujuii sisi[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah una roho nzuri weweNingemletea na room ningewaachia, ni maisha tu na mwanadamu unapoambiwa umebakiza kipindi iki kabla ya umauti wako ni lazima kidogo akili ivurugane na ubongo. NINGEMLETEA.
Sounds true mkuu. Tunaoa wake za watu tu, ona sasa mama anakumbuka penzi la ex wake na anataka kulifurahia kabla ya kufa, ex wake is the only person aliyemfurahisha...Mke aliye olewa bila bikirahuyo sio wako
Duniaa haita kalikaa nakuambiaaa [emoji1][emoji1][emoji1]...Mambo yatakuwa lukumba lukumba[emoji1][emoji1]Nasiku tukiwajua sijui itakiwaje[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂litakufa jitu nakwambiaDuniaa haita kalikaa nakuambiaaa [emoji1][emoji1][emoji1]...Mambo yatakuwa lukumba lukumba[emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii imeendaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]litakufa jitu nakwambia
duhPesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea