Mke mgonjwa amuomba mumewe amletee EX wake afurahie penzi kwa mara ya mwisho kabla ya kufa

Mke mgonjwa amuomba mumewe amletee EX wake afurahie penzi kwa mara ya mwisho kabla ya kufa

Ombi la marehemu mtarajiwa
Nimuhimu kuliko kingine chochote kwasasa na asipofanya hivyo itamgharimu maishani mwake moto

Yeye akamwite x wake ,basi atimize hiyo furaha ya mwezake

Wosia huo ,athari zake kubwa usipotimiza
Kivipi?

Fafanua mkuu...
 
Pesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea
80% mnabakwa, likowazi ndomana bodaboda wakiwaotea hamchomoki Kwa urahisi

Hakuna jambozuri Kwa MwAnaMkE uume ukiingizwa na lango linauterezi wakutosha ,nasio ukavu
 
Ningemletea na room ningewaachia, ni maisha tu na mwanadamu unapoambiwa umebakiza kipindi iki kabla ya umauti wako ni lazima kidogo akili ivurugane na ubongo. NINGEMLETEA.
Paaap ex anatafuna miezi 9 halafu anapona kansa
 
Wanaume leo humu wanavyosonya sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.

Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.

Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?

#MsasaKisasaZaidi

View attachment 2718053
Ishu ndogo sana hiyo uyo si anakufa tu baada ya miez 9. Itia uyo ex wake aje then na ww itia manzi yako ije then uone vile iyo ugonjwa ako nayo kama ni serious aki nakwambia miez 9 mingi sana.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
....unamkubalia kisha unamletea X wake kama alivyoomba ili ajue kuwa huna muda naye na faida yake ni wakati wa kuliwa tu... Baada ya hapo inakuwa permision granted nitakula mibususu nje nje hadi afe kabla ya miezi tisa(9). Hiyo ni dharau ya 9G.!
 
Aisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.

Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.

Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?

#MsasaKisasaZaidi

View attachment 2718053
Maruhusu amalize usakiti wake maana Mungu ameshatoa adhabu
 
Back
Top Bottom