Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Naweza kuamini pia,, haiwezekani miaka yote hiyo 😃😃Alikuwa bado anakulana na Ex wake
Lasivyo Si angeshaondoka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza kuamini pia,, haiwezekani miaka yote hiyo 😃😃Alikuwa bado anakulana na Ex wake
Lasivyo Si angeshaondoka?
Hawatakuelewa hapaMke aliye olewa bila bikirahuyo sio wako
Ampe talaka yake, Ili arudi Kwa ex wake kabla hajafaAisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
Subhanallah!Mswalieni mtume (SAW)🙏Tunawaashangaaga humu mnavyosemagaa my wife this my wife that...mnajimwambafai wenyewe...Nyie hamtujui sisi nawaambiaa Mungu alituumba kwa namna ya pekee kidogo..."big pretenders"..sisi tunawachoraga tu humu
Ili iweje we falaNayeye akatafute mke wa x wa mkewe amtafune
Mwanamke hajaumbiwa kupenda,Mwanamke kaumbiwa kuheshimu.acheni hadithi zenu za sungura na fisiPesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea
Duuh! Asilimia 66?Pesa zinatuponza,lakini kiuhalisia 66% ya wanawake ndani ya ndoa wanabakwa na waume zao.Hajampenda mwanaume ila kaingia kwenye ndoa Ili avae shera, kachoka kukaa home.....anaogopa Wana -adamu wanaoongea
Uwe unafuatilia comment kabla ya kukurupuka,mimi nimequote comment iliyohusu Mungu,Ukiwaza kila kitu mungu itachanganyikiwa,mimi nashauri mgonjwa apewe hitaji lake la mwisho.
Uwe unafuatilia comment kabla ya kukurupuka,mimi nimequote comment iliyohusu Mungu,
But still huwezi kutaka kila mtu aamini unachokiamini wewe.
Unapoambiwa umeandika upumbavu ni jambo la kujitafakari,je upstairs upo vizuri? Coz mpumbavu hua hajitambui bali hutambuliwa na wenye utimamu.Kuona jambo ni la kipumbavu au linalokonga moyo wako ni jambo la kutulia na kujiuliza:Je,umekula vizuri kwa viwango na ukashiba au unasumbuliwa na njaa kichwani.Ni kukubali kutokukubali au uache abebe godoro na aende zake.Rahisi sana.
Kua na huruma
Mbona nimemfanyia huruma kumpa talaka asizidi kupata maumivu😂😂😂ex akampoze hayo maumivuKua na huruma na mgonjwa🥲[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimepata kwikwiSawa ila mgonjwa asikilizwe.
Mgojwa gani anadharau hivo😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimepata kwikwi
Mgonjwa wa kidigitali [emoji1787][emoji1787]Mgojwa gani anadharau hivo[emoji28][emoji28]
Sioni tatzo mwanamke akichagua wakumpa utamu wake nan hata kama atakua mke wangu akichagua wakumpa mali zake mimi sioni tatzo.Wanaowapenda hawawaoi..
Wanaolewa na wasiowapenda..
Wanawake wanasiri...
Hili jambo linaweza likawa na mashiko kadri mda unavyozidi kwenda.KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
NDOA NI UPUMBAVU
NDOA NI UTAPELI
Yaan huyo mgojwa ninge uwa tu aje akazwe na ex wake mbele yangu ningemalizia afe tu😅😅😅Mgonjwa wa kidigitali [emoji1787][emoji1787]
Anataka mechi...
Hivi anaumwa kweli au anananiliu...