Duh....🙆♂️🙆♂️🙆♂️Unaambiwa mwan amke anaweza ishi na mwanamka hata miaka yote na hampendi mume na anaishi tu.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh....🙆♂️🙆♂️🙆♂️Unaambiwa mwan amke anaweza ishi na mwanamka hata miaka yote na hampendi mume na anaishi tu.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Dah!Ila mnatufanya tuishi maisha ya "henzapu/hands-up" sana.Tutafika tunatiririkwa na machozi ya uchungu huku tukijidai ni mchanga tu ndiyo uliingia machoni.🤔Tukiamuaa kufake sisi tunafake kuliko kufake kwenyewe...Mungu aliwaambia muishi na sisi kwa akili...Na kweli tumieni akili
[emoji3]Duh....[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndiyo yanayotusumbua kutembea na pampers huku mitaani!
Haina shida. Hata mimi nina girlfriend wangu ambaye tuliachana kama 6 years ago. Huyu mdada hadi anafika miaka 29 alikuwa hajui mwanamke kukojoa ni nini hadi alipokutana na mimi. Tumeachana ila akitaka kukojoa lazima anitafute. Hakuna zaidi ya hichoAisee itakushangaza ila jua tu kwamba hapa duniani kuna mambo mengi sana ya kushangaza na kukuacha mdomo wazi hili likiwa mojawapo la huko Marekani ambapo unaambiwa mwanamke mmoja amemuomba mumewe amletee ex wake angalau afurahie tena mapenzi kwa mara ya mwisho kabla hajafariki.
Mwanamke huyo amegundulika na ugonjwa wa kansa na madaktari wamemwambia kwamba amebaki na miezi 9 ya kuishi hapa duniani.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke huyo ambaye ameishi kwenye ndoa kwa muda wa miaka 10 amemwambia mumewe kwamba alikuwa anafurahia tendo la ndoa kutoka kwa ex wake tu na tangu waoane hajawahi kabisa kufurahia tendo hilo. Mwanaume huyo ameomba ushauri kwa watu mbalimbali kwenye mtandao wa Reddit kama atimize matakwa ya mkewe ama aachane nayo.
Vipi wewe unamshauri nini huyu mwanaume mdau?
#MsasaKisasaZaidi
View attachment 2718053
Yani mume aingie mbinguni kwa kusapoti zinaa? amletee mkewe x wake ili wazini? ni dini gani hiyo au ni Mungu gani huyo ambaye hatotaka huyo mume kuingia mbinguni kisa amekataa kusapoti hiyo dhambi ya zinaa?
Kabisa mkuuSio vizuri kumnyima mgonjwa hitaji lake hasa akiwa katika siku zake za mwisho za uhai wake.
MsalimieHaina shida. Hata mimi nina girlfriend wangu ambaye tuliachana kama 6 years ago. Huyu mdada hadi anafika miaka 29 alikuwa hajui mwanamke kukojoa ni nini hadi alipokutana na mimi. Tumeachana ila akitaka kukojoa lazima anitafute. Hakuna zaidi ya hicho
Tunawaashangaaga humu mnavyosemagaa my wife this my wife that...mnajimwambafai wenyewe...Nyie hamtujui sisi nawaambiaa Mungu alituumba kwa namna ya pekee kidogo..."big pretenders"..sisi tunawachoraga tu humuDah!Ila mnatufanya tuishi maisha ya "henzapu/hands-up" sana.Tutafika tunatiririkwa na machozi ya uchungu huku tukijidai ni mchanga tu ndiyo uliingia machoni.🤔
Dawa ya moto ni moto na yeye akammegulie mke wa huyo X wa mumewe
Usiwape code zote watatuogopa..!laiti siku wanawake wangeamua kufunguka ya ndani ndani tungebaki tunashika tama!Tunawaashangaaga humu mnavyosemagaa my wife this my wife that...mnajimwambafai wenyewe...Nyie hamtujui sisi nawaambiaa Mungu alituumba kwa namna ya pekee kidogo..."big pretenders"..sisi tunawachoraga tu humu
😜😜😜Mgonjwa aheshimiwe
Si amuelekeze anavyotaka kufukuliwa mtaro jamaa amshughulikie tu maana vipaji havifanani kuna waliozaliwa navyo na waliojifunza amfundishe kula na mikono alieokuwa nayoMke anataka afeel utamu wa penzi mara ya mwisho kabla hajafa,wala sio sababu ya mmewe akalale na mke wa x wa mkewe.
Mgonjwa aheshimiwe.
Ningempa talaka akafie huko kwa ex wake
Kwa leoo inatoshaaa😄😄😄😄nimewasanuaa kidogoo wakae kwa password😄😄😄Usiwape code zote watatuogopa..!laiti siku wanawake wangeamua kufunguka ya ndani ndani tungebaki tunashika tama!
Tunawaashangaaga humu mnavyosemagaa my wife this my wife that...mnajimwambafai wenyewe...Nyie hamtujui sisi nawaambiaa Mungu alituumba kwa namna ya pekee kidogo..."big pretenders"..sisi tunawachoraga tu humu
Sasa huko kubinuliwa binuliwa si atafia kitandani jamani au ndio X anatafutiwa murder case 😂Mwanamama kamis kuchoshwa choshwa..kuvurugwa vurugwa...binua binua...🤢
Alikuwa bado anakulana na Ex wakeIla maisha haya bhana,,, ina maana miaka kumi yote hiyo alikua hafurahii[emoji2][emoji2][emoji23]