Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 712
- 1,748
Habari,
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata Bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu Bi Mkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.
Hata kama wanasema love is blind lakini hapa bro nahisi sio akili yake kwa ninavyomjua mimi nahisi kabisa ni juju limetumika hata Bi mkubwa nae alivyotambulishwa niliona kabisa hajaridhika sababu Bi Mkubwa ni mtu wa kiroho sana hata sister nae hivyo hivyo wanasema hawaendani lakini bro humwambii kitu sijui kapewa nini masikini.