Mke na Mme wanakaa mikoa miwili tofauti, Mke asafiri kwenda kwa mmewe na kumkuta na mwanamke mwingine

Mke na Mme wanakaa mikoa miwili tofauti, Mke asafiri kwenda kwa mmewe na kumkuta na mwanamke mwingine

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Ee bhana hii issue mmoja yupo DSM mwingine yupo Dom imeleta migogoro sana kwenye ndoa. Juzi msela kakutwa na demu baada ya mke kusafiri usiku kuja Dodoma alifika saa nane usiku na kumkuta mshkaji kavuta mwanamke mwingine. Mpaka sasa hawaelewani na mke anaomba talaka.

Hii nimeona nishare hapa ili watu wengine wajifunze. Me nimemshauri akaombe msamaha kwa mwanamke yaishe. Jamaa hataki...hii imekaaje kwa ndoa za namna hii na kuhama inakuwa ngumu maana mmoja yupo serikalini mwingine yupo private.
 
Dah! Hii ngumu kidogo...

Kwani, hii ndoa ni ya muda gani? Anyway, ni rahisi kuomba msamaha na ni rahisi kuchukua maamuzi magumu kama kuachana na mtu wakati mtu yupo kwenye hasira. Kwenye dunia mengi hutokea ya kumstusha mwanadamu lakini muda hua unasaidia katika kusahau!

Kuna ndoa nyingi mtaani zinasonga kwa sababu wanandoa wana mambo yao pembeni. Wakifika home, mambo shwari. Ndio fomula ambayo inasukuma gurudumu lao.

Ila kwa huyu jamaa, kwa kuwa taa imeangukia kwake (maana hatujui ya mwenzake), basi aombe msamaha lakini pia akiri kosa. Ila mpaka amefikia huko (kuchukua mzigo mwingine), kidogo hii inahitaji itazamwe kiroho zaidi na sio kibinaadam.

Pagumu!
 
Huyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.

Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
"Matrimonial bed"

Niende zangu google mara moja
 
Ee bhana hii issue mmoja yupo dsm mwingine yupo dom imeleta migogoro sana kwenye ndoa. Juzi msela kakutwa na demu baada ya mke kusafiri usiku kuja dodoma alifika saa nane usiku na kumkuta mshkaji kavuta mwanamke mwingine. Mpaka sasa hawaelewani na mke anaomba taraka.....

Hii nimeona nishare hapa ili watu wengine wajifunze. Me nimemshauri akaombe msamaha kwa mwanamke yaishe. Jamaa hataki...hii imekaaje kwa ndoa za namna hii na kuhama inakuwa ngumu maana mmoja yupo serikalini mwingine yupo private.
Kumwomba msamaha mwanamke kwa kosa la kukutwa na mwanamke ni udhaifu!!!
 
Back
Top Bottom