The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
😬😬unatakiwa ukatae mpaka mwisho.?Kumwomba msamaha mwanamke kwa kosa la kukutwa na mwanamke ni udhaifu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬😬unatakiwa ukatae mpaka mwisho.?Kumwomba msamaha mwanamke kwa kosa la kukutwa na mwanamke ni udhaifu!!!
Aliwah pia kumfuma na sms kibao za huo mchepo ndio maana mwanamke akastukiza usiku...hizi hamisha zinahariba balaa na wanaume sio wavumilivu kukaa miez bila kupata huduma ni balaa.Huyo demu nae saa nane usiku alikua anataka nini au alitegemea mme wake atakua amekumbatia ukitu na baridi yote hii?
Alikua anatafuta sababu za kuachana na mme maybe kapata wa karibu.
Sema jamaa naye hataki kuomba msamaha mpaka nimeona niirushe huku. Jamaa mtata kinomaKosa dogo hilo anataka talaka ya nini?
Umeona balaa hilooo jamaa tulishamwambia demu wa kuchukua humpeleke geto ni kosa maana wakati mwingine atakuibukia muda ambao upo na mke wakoUnakujaje usiku wa saa nane kwanza na bila kutoa taarifa?
Halafu mchepuko huwa haupelekwi nyumbani.
Bora kujishusha ukayamaliza ukaendelea na safari.Kumwomba msamaha mwanamke kwa kosa la kukutwa na mwanamke ni udhaifu!!!
Huyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Nimefurahi kuona ukinenaHuyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Kweli kabisaA single mistake cannot be a reasonable ground for petition of Divorce.
Mwenyewe....🙄Ffb zxc bbç GB BN bñ BV BNB
Mbona watutukana?!Most JF people especially MMU are either stupid or foolish.
From the story sio kwamba their matrimonial bed iko Dar? Maana seems mwanaume alihamia kikazi Dodoma, akaacha mke na matrimonial bed huko Dar.Huyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.
Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
Gharama ya guests watoto a watasoma ukianza kugharamikia mchepuko kwa hotel, ni expensive: chumba 30k drinks 30k tax 20k to en from Hongo 50k. Jumla 130k duh wakati na kesho utahitaji huduma hiyo hiyo ni bora nipeleke home pesa nyingine ni hudumie familia kama mbaya mbayaHuyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.
Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
Iwe mjini hata kijijini, unapolala na mke wako paheshimiwe.From the story sio kwamba their matrimonial bed iko Dar? Maana seems mwanaume alihamia kikazi Dodoma, akaacha mke na matrimonial bed huko Dar.
Mfuate kwake na kama ni mchepuko wa kudumu top ya rent yake. Kama huwezi fharama nunua sabuni ya dove.Gharama ya guests watoto a watasoma ukianza kugharamikia mchepuko kwa hotel, ni expensive: chumba 30k drinks 30k tax 20k to en from Hongo 50k. Jumla 130k duh wakati na kesho utahitaji huduma hiyo hiyo ni bora nipeleke home pesa nyingine ni hudumie familia kama mbaya mbaya
Uta rent paka lini michepuko haiaminiki....ununue godoro tv firiji kesho aanze kukuomba zamu za kulala kwake ukikataa ataingiza mme wengine duhMfuate kwake na kama ni mchepuko wa kudumu top ya rent yake. Kama huwezi fharama nunua sabuni ya dove.