Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Unaunga mkono kuomba talaka?Mwanamke lazima alipata taarifa.Maybe alifika mapema tuu akasubiri night kali akafumanie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaunga mkono kuomba talaka?Mwanamke lazima alipata taarifa.Maybe alifika mapema tuu akasubiri night kali akafumanie
mtu mwenye haiba kama yako alifaa kuwa mke wangu, manake mm nina vimbwanga kuomba msamaha ndio silaha yangu.....Kwenye vikao huwa wanadanganyana mwanaume kuomba msamaha ni uboya eti, wanatakiwa kujimwambafai.....
Mi kwakweli nikiombwa msamaha nalainika nalegea yanaisha moyo unakua mweupe, ili mtu akijimwambafai teh kaharibu....
Tungependana sana....make mi nikiombwa msamaha nakua kama zombie nasahau hata ulinikosea nini.mtu mwenye haiba kama yako alifaa kuwa mke wangu, manake mm nina vimbwanga kuomba msamaha ndio silaha yangu.....
Mimi sina jibu kwa sasa Eve. Ila sijui kwa kweli watajuana wenyewe tusiusemee moyoUnaunga mkono kuomba talaka?
Kuna namna ya kuomba msamaha ila siyo iyo ya kusema nisamehee mke wangu, shetani kanipitia nikatomb* nje ...wakati ninajua ni kawaida yangu kula mbususu nje.Kwenye vikao huwa wanadanganyana mwanaume kuomba msamaha ni uboya eti, wanatakiwa kujimwambafai.....
Mi kwakweli nikiombwa msamaha nalainika nalegea yanaisha moyo unakua mweupe, ili mtu akijimwambafai teh kaharibu....
Mimi ningemwambia unaota ndogo mpaka thanks kesho ndo tutaongea,kesho unampa gift na shopping na kumwambia,usiote,like lilikuwa jiniUnakujaje usiku wa saa nane kwanza na bila kutoa taarifa?
Halafu mchepuko huwa haupelekwi nyumbani.
[emoji23][emoji23]Muache kulalama pia tukiwa tunatunuku watu mbususu zetu....kwa wasimamia kucha
Ukiutafuta ubaya utaupata tuHuyo mwanamke nae awe serious....
hivo tu ndio aombe talaka? Labda kama alikua anatafuta sababu ya kuachana.
Huu ushauri tuufanyie kazi wakuu.Huyu mwanaume nae, kuuleta mchepuko kwenye matrimonial bed ni kitu kibaya sana. Angekwenda kugegeda huko huko, take away zinaliwa hukohuko nyumbani ukirudi ni kuoga na kulala.
Mnalalamika mikosi inawaandama laana nyingine ni za kujitafutia wenyewe.
Nimetulia mkuu😀Mkuu naona wewe unataka kuzua mjadala mwingine hapa ,, hebu jikite kwenye mada tafadhali!
Hayaishi atapigwa tukio had aje ashangae...akomae tu kwamba sio yeye itamsaidia sana..wanawake ukikiri kosa trust me wanakuona boya sana na hatakrust tenaBora kujishusha ukayamaliza ukaendelea na safari.
Yes that's a hundred percent true, huwezi mpenda mke na familia yako halafu ukafanya ujinga yes, ukafumwa yes, then uone shida kuomba msamaha. Kwanza tunapowatesa kisaikolojia wenzetu tunaowapenda unakuta na wew huna raha na unajisikia vibaya na kukosa amani!Kwa ufupi jamaa kamchoka mkewe. Angekua anampenda angeomba msamaha haraka sana
Nimeshamshindwa tangu mwaka elfu 2 na kenda tehNna wasiwasi hata Heaven Sent kakushindwa pia...we ni wa kurudishwa kwa bibi uanze mafunzo upya.
Hakuna kitu kama hicho, ni kuendekeza upumbavu tu!Unataka atoe taarifa kwenda nyumbani kwake ?
Hahahaa,,, noma sana!Wanawake hawaeleweki utakuja kumwagiwa vilainishi.
Usithubutu