Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Mke na mume tumeleta mashtaka kwenu

Kama aliambiwa hivyo na wifi yake,alitakiwa arudi kwangu tushauriane cha kufanya , kwasababu nilishamwambia staki uwasiliane na mzazi mwenzako Moja Kwa moja nenda Kwa wifi yako, kufanya tofauti na makubaliano yetu ni usaliti.
Wewe hukuona wanawake wengine mpaka ukaoa single maza?? sasa jamaa anataka kuongea na mwanae amtumie za matumizii rohoo inakuuma.. sema unachapiwaaa mzee pole
 
Wewe hukuona wanawake wengine mpaka ukaoa single maza?? sasa jamaa anataka kuongea na mwanae amtumie za matumizii rohoo inakuuma.. sema unachapiwaaa mzee pole
Asante Mkuu,ila wanaochapiwa sio waliooa single mother tu liweke akilini hilo
 
Wivu wa kifala tuu Hata ukioa mwanamke asiye na mtoto haimaanishi hautagongewa, so huu wako ni wivu wa kifala tu hakuna lingine
Una-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?

Niliweke hili sawa;wewe kama mwanamke huwezi kujisikia kama tunavyojisikia sisi wanaume tukiona mwenzetu anateseka na nyie mliokimbilia maisha kwa njia haramu!!!
 
Una-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?

Niliweke hili sawa;wewe kama mwanamke huwezi kujisikia kama tunavyojisikia sisi wanaume tukiona mwenzetu anateseka na nyie mliokimbilia maisha kwa njia haramu!!!
Atakuwa nao watatu kila mtoto na baba yake,ana hasira huyo.
 
Haki sawa siyo!!!

Haki sawa zitawapa hizi serikali zenu dhalimu za kidunia kwa kuwadanganyia ajira na fursa ukitaka haki sawa kwenye nature kufa ukaidai kwa Mungu.
Chukua time na wewe, wanawake ni viumbe wenye hisia Km mlivyo nyinyi Sio marobot
 
Una-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?

Niliweke hili sawa;wewe kama mwanamke huwezi kujisikia kama tunavyojisikia sisi wanaume tukiona mwenzetu anateseka na nyie mliokimbilia maisha kwa njia haramu!!!
Unajihangaisha bure mimi Sio single maza, na Km ningekua I was going to care less your opinion, nimeongea Km mwanamke unless hii topic mlitaka wanaume peke yake ndio wachangie
 
Chukua time na wewe, wanawake ni viumbe wenye hisia Km mlivyo nyinyi Sio marobot
Sichukui time wala nini ninachokwambia kama unataka haki kufa kaidai kwa Mungu sisi wanaume tunachojua Mungu toka mwanzo alitutaka tuowe wanawake kamili tena bikra ninyi makopo tuwaachie waliowazalisha sema ni ajali tu zinatokea kama hivi kwa mleta mada ila hamtakiwi hata kwa bure
 
mie nilisha apa kwamba kuoa mwanamke single mother ni lazima akanionyeshe kaburi au cheti cha kifo cha aliyezaaa nae
 
Unajihangaisha bure mimi Sio single maza, na Km ningekua I was going to care less your opinion, nimeongea Km mwanamke unless hii topic mlitaka wanaume peke yake ndio wachangie
Nimekusoma katikati ya mistari yako wewe ni single mama tena zaidi ya mara moja maana povu ulilojaza huko juu hatuwezi kusema tofauti.

Yah hii mada single mamas mngeiacha tushauri wanaume na wale wenzenu ambao hawajazalia makwao maana tungejadili kwa uhuru nyie mnajadili kwa mihemko
 
Weee Una matatizo mengi kumbe, lingine ni kiherehere, kukurupukia yasio kuhusu! Huyo mkeo kakuvumilia mengi sana….. hutompata mke Km Huyo kwiii kwii !
Nitakupata wewe chondechonde usije nikataa.
 
Watu mna mapovu sana, single mothers wakimbilie wap sasa[emoji23]
 
Kama aliambiwa hivyo na wifi yake,alitakiwa arudi kwangu tushauriane cha kufanya , kwasababu nilishamwambia staki uwasiliane na mzazi mwenzako Moja Kwa moja nenda Kwa wifi yako, kufanya tofauti na makubaliano yetu ni usaliti.
Lakin jambo la kutokuwasiliana na mzazi mwenzie ni gumu mno,kama una wivu sana usingeoa singo maza,kuna siku mtoto atakuwa mkubwa atamaliza hatua fulani ya elimu na mama ake atatakiwa kwenda kwenye mahafali na baba ake nae ataenda na wewe itatokea uwe uko busy yaan huwez kwenda ina maana utamzuia mkeo asiende
 
Tulioana miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili. tTulioana mke wangu akiwa na mtoto mmoja aliyezaa akiwa kwao. Miaka ya mwanzoni uchumi uliruhusu kutoa huduma hata kwa mtoto wake ambaye anaishi na mjomba wake, baada ya uchumi kuyumba nikamwambia mwenzangu ongea na shangazi yake mtoto amwambie kaka yake aanze kumhudumia mtoto wake.

Nilifanya hivyo kwasababu sikutaka mke wangu awasiliane moja kwa moja na mzazi mwenzake, mke wangu akakataa akasema hawezi kufanya hivyo. Miezi kadhaa akaja akaniambia alishamtafuta mzazi mwenzake ila alimjibu vibaya, hivyo hana mpango wa kumtafuta tena na namba zake amefuta.

Nikamuuliza mbona nilikwambia umtafute dada yake ukakataa, ilikuwaje ukaanza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja? Akajitetea yakaisha, lakini moyoni nikawa na mashaka. Ikabidi nianze kufanya uchunguzi kimya kimya nijue kinachoendelea,

Mungu sio mwanasiasa, kuna siku alikuwa ameenda shamba halafu akasahau simu nyumbani. Nikaanza kuipekua ndipo nikakuta simu ambazo yeye alikuwa akimtafuta mzazi mwenzake, pia nilikuta jumbe alizomtumia wifi yake akilalamika kwamba mzazi mwenzake hapokei simu, na baadaye jumbe ambazo zinaonyesha kwamba tayari wamewasiliana na jamaa na kakubali kwamba atakuwa anatoa hela za ada pamoja na mahitaji mengine.

Aliporudi nikamuuliza kwanini unarudia kosa lile lile mara ya pili, mimi ndiye niliyekupa ushauri halafu hutaki kunishirikisha kwanini? Je, nikisema unamtafuta kwa ajili ya usaliti nitakuwa nakosea? Kama kawaida yake akaanza kujitetea, lakini utetezi wake haukuiniingia moyoni, ikabidi nifanye maamuzi haya;

Nikamwambia hivi, "Sitolala na wewe bila kutumia condom usije ukaniletea maradhi, hawa watoto wawili wanatosha ukitaka mtoto kazae na huyohuyo mzazi mwenzako, na mimi nikitaka nitamfuta wa kuzaa naye".

Sasa yeye anadai namnyanyasa, namuonea kwasababu ana mtoto aliyezaa na mwanaume mwingine, na hataki kukubaliana na maamuzi yangu. Ila mpaka sasa wanaendelea kuwasiliana na mzazi mwenzake kuhusiana na masuala ya mtoto wao.

Je, nani mwenye kosa hapo, mimi au yeye?
Daaah mwananguuu some time maamuzi magumu ndo maamuzii sahihi

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom