Wewe hukuona wanawake wengine mpaka ukaoa single maza?? sasa jamaa anataka kuongea na mwanae amtumie za matumizii rohoo inakuuma.. sema unachapiwaaa mzee poleKama aliambiwa hivyo na wifi yake,alitakiwa arudi kwangu tushauriane cha kufanya , kwasababu nilishamwambia staki uwasiliane na mzazi mwenzako Moja Kwa moja nenda Kwa wifi yako, kufanya tofauti na makubaliano yetu ni usaliti.
Asante Mkuu,ila wanaochapiwa sio waliooa single mother tu liweke akilini hiloWewe hukuona wanawake wengine mpaka ukaoa single maza?? sasa jamaa anataka kuongea na mwanae amtumie za matumizii rohoo inakuuma.. sema unachapiwaaa mzee pole
Una-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?Wivu wa kifala tuu Hata ukioa mwanamke asiye na mtoto haimaanishi hautagongewa, so huu wako ni wivu wa kifala tu hakuna lingine
Atakuwa nao watatu kila mtoto na baba yake,ana hasira huyo.Una-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?
Niliweke hili sawa;wewe kama mwanamke huwezi kujisikia kama tunavyojisikia sisi wanaume tukiona mwenzetu anateseka na nyie mliokimbilia maisha kwa njia haramu!!!
Huu unauongea ni utumbo usionihusu unajihangaisha bure.Sikukutuma uchapwe mimba kabla hujaolewa,hasira zako hukohuko kwa aliyekutundika mimba na kuingia mitini.
Chukua time na wewe, wanawake ni viumbe wenye hisia Km mlivyo nyinyi Sio marobotHaki sawa siyo!!!
Haki sawa zitawapa hizi serikali zenu dhalimu za kidunia kwa kuwadanganyia ajira na fursa ukitaka haki sawa kwenye nature kufa ukaidai kwa Mungu.
Unajihangaisha bure mimi Sio single maza, na Km ningekua I was going to care less your opinion, nimeongea Km mwanamke unless hii topic mlitaka wanaume peke yake ndio wachangieUna-sound kisingo mama single mama,unao wangapi?
Niliweke hili sawa;wewe kama mwanamke huwezi kujisikia kama tunavyojisikia sisi wanaume tukiona mwenzetu anateseka na nyie mliokimbilia maisha kwa njia haramu!!!
Atakuwa nao watatu kila mtoto na baba yake,ana hasira huyo.
Ndio ukweli huo acheni unyanyasajiNanyinyi semeni si haki sawa,au mmezuiwa?
Sichukui time wala nini ninachokwambia kama unataka haki kufa kaidai kwa Mungu sisi wanaume tunachojua Mungu toka mwanzo alitutaka tuowe wanawake kamili tena bikra ninyi makopo tuwaachie waliowazalisha sema ni ajali tu zinatokea kama hivi kwa mleta mada ila hamtakiwi hata kwa bureChukua time na wewe, wanawake ni viumbe wenye hisia Km mlivyo nyinyi Sio marobot
Nimekusoma katikati ya mistari yako wewe ni single mama tena zaidi ya mara moja maana povu ulilojaza huko juu hatuwezi kusema tofauti.Unajihangaisha bure mimi Sio single maza, na Km ningekua I was going to care less your opinion, nimeongea Km mwanamke unless hii topic mlitaka wanaume peke yake ndio wachangie
Leo ndo nimekutana na mwanaume mpumbavu anaeivunja ndoa kwa mikono yake ye mwenyeweSahihi kabisa,nilimwambia hivi akitaka mchezo akanunue condom tutumie namimi nikitaka nitaenda kununua condom,mpaka sasa hakuna aliyekwenda kununua condom ,tunatizamana tu.
Lakin jambo la kutokuwasiliana na mzazi mwenzie ni gumu mno,kama una wivu sana usingeoa singo maza,kuna siku mtoto atakuwa mkubwa atamaliza hatua fulani ya elimu na mama ake atatakiwa kwenda kwenye mahafali na baba ake nae ataenda na wewe itatokea uwe uko busy yaan huwez kwenda ina maana utamzuia mkeo asiendeKama aliambiwa hivyo na wifi yake,alitakiwa arudi kwangu tushauriane cha kufanya , kwasababu nilishamwambia staki uwasiliane na mzazi mwenzako Moja Kwa moja nenda Kwa wifi yako, kufanya tofauti na makubaliano yetu ni usaliti.
Daaah mwananguuu some time maamuzi magumu ndo maamuzii sahihiTulioana miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili. tTulioana mke wangu akiwa na mtoto mmoja aliyezaa akiwa kwao. Miaka ya mwanzoni uchumi uliruhusu kutoa huduma hata kwa mtoto wake ambaye anaishi na mjomba wake, baada ya uchumi kuyumba nikamwambia mwenzangu ongea na shangazi yake mtoto amwambie kaka yake aanze kumhudumia mtoto wake.
Nilifanya hivyo kwasababu sikutaka mke wangu awasiliane moja kwa moja na mzazi mwenzake, mke wangu akakataa akasema hawezi kufanya hivyo. Miezi kadhaa akaja akaniambia alishamtafuta mzazi mwenzake ila alimjibu vibaya, hivyo hana mpango wa kumtafuta tena na namba zake amefuta.
Nikamuuliza mbona nilikwambia umtafute dada yake ukakataa, ilikuwaje ukaanza kuwasiliana na mhusika moja kwa moja? Akajitetea yakaisha, lakini moyoni nikawa na mashaka. Ikabidi nianze kufanya uchunguzi kimya kimya nijue kinachoendelea,
Mungu sio mwanasiasa, kuna siku alikuwa ameenda shamba halafu akasahau simu nyumbani. Nikaanza kuipekua ndipo nikakuta simu ambazo yeye alikuwa akimtafuta mzazi mwenzake, pia nilikuta jumbe alizomtumia wifi yake akilalamika kwamba mzazi mwenzake hapokei simu, na baadaye jumbe ambazo zinaonyesha kwamba tayari wamewasiliana na jamaa na kakubali kwamba atakuwa anatoa hela za ada pamoja na mahitaji mengine.
Aliporudi nikamuuliza kwanini unarudia kosa lile lile mara ya pili, mimi ndiye niliyekupa ushauri halafu hutaki kunishirikisha kwanini? Je, nikisema unamtafuta kwa ajili ya usaliti nitakuwa nakosea? Kama kawaida yake akaanza kujitetea, lakini utetezi wake haukuiniingia moyoni, ikabidi nifanye maamuzi haya;
Nikamwambia hivi, "Sitolala na wewe bila kutumia condom usije ukaniletea maradhi, hawa watoto wawili wanatosha ukitaka mtoto kazae na huyohuyo mzazi mwenzako, na mimi nikitaka nitamfuta wa kuzaa naye".
Sasa yeye anadai namnyanyasa, namuonea kwasababu ana mtoto aliyezaa na mwanaume mwingine, na hataki kukubaliana na maamuzi yangu. Ila mpaka sasa wanaendelea kuwasiliana na mzazi mwenzake kuhusiana na masuala ya mtoto wao.
Je, nani mwenye kosa hapo, mimi au yeye?
Tulishawaambia, kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro. Hamuelewi tu?