MKE: Naomba uninunulie gari, usiponinunulia siku nikija na gari naomba usiniulize nimepata wapi?

MKE: Naomba uninunulie gari, usiponinunulia siku nikija na gari naomba usiniulize nimepata wapi?

Nyuzi kama hizi zinachangia sana Vijana tusioe Wadada warembo/Wenye Elimu au tusio kabisa Mbona Baba /Babu zetu walikuwa wanakausha tuu
 
Maneno aliyoambiwa jamaa yako ni red flag tosha kuwa anaishi na mwanamke wa aina gani???

Amuombe Mwenyezi Mungu azidi kumbariki kiuchumi ,, aendelee kuwa na maisha mazuri maana siku atakayo yumba kiuchumi ndo siku atakayo mpoteza huyo mwanamke 😎🤝🏽
Hakuna mwanamke asie tongozwa; wanao gawa uroda huaga hawasemi, sana sana kama huna hela za kutosha utaona viji dharau vya hapa na pale. Huyu mwanamke wa jamaa ni mali, asimuache. Kampa challenge na challenge imejibu, sema kwa hilo gari kwa Dar, hapana. Crown kifua kikubwa halafu V6 and hence weze kwa mwezi ni kubwa; he could opt hata kwa Premio kama aliipenda sedan type of cars
 
Sasa kama anaafanya kazi kwanini asifikirie kudunduliza akanunua hata Passo?
Huyu kwa leo atasema haya ila siku mme akaugua akalala kitandani basi ataambiwa kuna wanaotembea wananitaka ujue
 
Habari wanajimii forum. Hii ishu aliipata rafiki yangu mmoja hivi ni ishu ya kweli kabisa.

Jamaa anandoka ya miaka zaidi ya 9 na wamefanikiwa kuwa na watoto. Kusema ukweli mke wake ni mrembo haswa Tena haswa kweli kweli. Anafanya kazi kwenye shirika Moja hapa DSM.

Mume wake anagari ambalo analotumia katika shughuli zake na kwenda ofisini kwao, but mke wake Hana. Na Kila mmoja anatoka home kwa Muda wake. Jamaa anachukua gari anasepa, Kisha mke wake anafuata ,maana anapanda daladala mpk ofisini.
Sometime anapanda mwendo Kasi.

Sasa siku Moja mke wake akamwambia hivi " mume wangu naomba uninunulie gari hata kadogo tuu lolote wewe unalona mimi litanifaa kulitumia sikupangii, ila usipofanya hivyo naomba siku nikija na gari uciniulize nimelitoa wapi naomba sana usiniulize".

Jamaa alishuka kidogo, sasa mwamba anampenda sana mke wake , aliniambia hakumuuliza chochote kile akaamua kumtimizia na mwishowe akafanikiwa kununua Toyota crown Kisha akampatia mke wake tuu kwa ajiri ya kulitumia ila jina ni la mume wake kwenye kadi.

MKE wake akasema Asante ila tuu na mimi nitumie gari kwenda ofisini na shughuli zingine

Walikaa kama wiki 3 Kisha mke wake akaamua kumueleza ukweli mume wake. Alimwambia hivi.

"Mume wangu najua nilikukwanza kwa maneno Yale niliyokwambi na naamini nilikuumiza, naomba unisamee, ila nilisema vile ili uninunulie maana najua uwezo unao, sababu ni hii

"Mimi mke wako kwa jinsi muonekano niliyokuwa nayo, wanaume wengi wananisumbua sana, na wengi wananiona naenda ofisini kwa daladala jua Kali njiani. Na walikuwa wananisubua kwa promise kuwa uwezo kuwa unaenda ofisini bila gari inaitaji gari, sasa ni vishawishi vilikuwa vingi nimeangaika sana, watu still hawaeshimu ndoa za watu. But am sorry kwa maneno Yale niliyokuambia.
Ila mume wangu mimi mke wako nashukuru MUNGU bado ananilinda katika ndoa yangu."

Jamaa baada ya hapo akasema sawa tu nimekuelewa. Waliongea vingi sana na mke wake. Baadae waliyamaliza ila.

Vipi wewe yamewahi kukuta haya.
Hakuna mke hapo, mwanamke kutongozwa jambo la kawaida sana, sio lazima asimulie kila kitu, hata kumiriki gari, hata ndege sioni shida, la msingi ameipataje? Kazi secretary kwa mhindi,au mchina, salary 400K! Unakuja na Prado, au Vogue!! Aaaaaa tutakane radhi hapo, hapo lazima Balthazar ameishapita.
 
Tuna ujinga fulani tumejiaminisha kuwa mke akitembea nje basi ni aibu kubwa, wenyewe tunaita kugongewa. Wanawake weshajua hilo, wanaitumia vizuri kweli mwishowe tunajifia mapema kwa presha zisizopaswa kuwepo.
Kwahiyo kugongewa ni sifa nzuri?
Mkeo ajue hilo ili wanshughulikie bila hofu.
 
Kwahiyo kugongewa ni sifa nzuri?
Mkeo ajue hilo ili wanshughulikie bila hofu.
Hakuna kitu kinaitwa kugongewa. Kuna mwanamke kugongwa kwa matakwa yake ambapo kama ana kiapo cha ndoa inamaana amekivunja na tayari hiyo ndoa haipo baada tu ya yeye kugongwa.

Kuhusu kumshughulikia mama watoto wangu ni wewe tu na ushawishi wako, ukimpa sababu akaona una hadhi kuliko kiapo chake cha ndoa unajimegea tu, anapoteza ndoa anakupata weye. Ni suala lake, sio langu.
 
Hakuna kitu kinaitwa kugongewa. Kuna mwanamke kugongwa kwa matakwa yake ambapo kama ana kiapo cha ndoa inamaana amekivunja na tayari hiyo ndoa haipo baada tu ya yeye kugongwa.

Kuhusu kumshughulikia mama watoto wangu ni wewe tu na ushawishi wako, ukimpa sababu akaona una hadhi kuliko kiapo chake cha ndoa unajimegea tu, anapoteza ndoa anakupata weye. Ni suala lake, sio langu.
Wow 👏👏👏
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mwambie jamaa yako aache ubinafsi.
Mjinga mmoja
 
MUNGU ni mwema baada ya hapo mke wake hagongwi nje ya ndoa.
All the best
 
Jamaa yako aombe sana asije pungukiwa pesa
 
Ofsin kwangu nina kawaida ya kuanzisha mada hizi. Siku moja nikasema mwanamke/mwanaume analaana sana ukikutana naye mnashare ile energy na zile laana humpata kila anayeshasex naye nikaona ukimya...kimbe mdada mmoja ofisi mate mumewe ni kicheche akawa amenuna tu
 
Kwani kuna ulazima gani uyo mwanamke kufanya kazi
1000268812.jpg

Na huko maofisini kuna kina hawa
 
Habari wanajimii forum. Hii ishu aliipata rafiki yangu mmoja hivi ni ishu ya kweli kabisa.

Jamaa anandoka ya miaka zaidi ya 9 na wamefanikiwa kuwa na watoto. Kusema ukweli mke wake ni mrembo haswa Tena haswa kweli kweli. Anafanya kazi kwenye shirika Moja hapa DSM.

Mume wake anagari ambalo analotumia katika shughuli zake na kwenda ofisini kwao, but mke wake Hana. Na Kila mmoja anatoka home kwa Muda wake. Jamaa anachukua gari anasepa, Kisha mke wake anafuata ,maana anapanda daladala mpk ofisini.
Sometime anapanda mwendo Kasi.

Sasa siku Moja mke wake akamwambia hivi " mume wangu naomba uninunulie gari hata kadogo tuu lolote wewe unalona mimi litanifaa kulitumia sikupangii, ila usipofanya hivyo naomba siku nikija na gari uciniulize nimelitoa wapi naomba sana usiniulize".

Jamaa alishuka kidogo, sasa mwamba anampenda sana mke wake , aliniambia hakumuuliza chochote kile akaamua kumtimizia na mwishowe akafanikiwa kununua Toyota crown Kisha akampatia mke wake tuu kwa ajiri ya kulitumia ila jina ni la mume wake kwenye kadi.

MKE wake akasema Asante ila tuu na mimi nitumie gari kwenda ofisini na shughuli zingine

Walikaa kama wiki 3 Kisha mke wake akaamua kumueleza ukweli mume wake. Alimwambia hivi.

"Mume wangu najua nilikukwanza kwa maneno Yale niliyokwambi na naamini nilikuumiza, naomba unisamee, ila nilisema vile ili uninunulie maana najua uwezo unao, sababu ni hii

"Mimi mke wako kwa jinsi muonekano niliyokuwa nayo, wanaume wengi wananisumbua sana, na wengi wananiona naenda ofisini kwa daladala jua Kali njiani. Na walikuwa wananisubua kwa promise kuwa uwezo kuwa unaenda ofisini bila gari inaitaji gari, sasa ni vishawishi vilikuwa vingi nimeangaika sana, watu still hawaeshimu ndoa za watu. But am sorry kwa maneno Yale niliyokuambia.
Ila mume wangu mimi mke wako nashukuru MUNGU bado ananilinda katika ndoa yangu."

Jamaa baada ya hapo akasema sawa tu nimekuelewa. Waliongea vingi sana na mke wake. Baadae waliyamaliza ila.

Vipi wewe yamewahi kukuta haya.
Mume unakuwaje na gari kabla ya mke?
 
Back
Top Bottom