MKE: Naomba uninunulie gari, usiponinunulia siku nikija na gari naomba usiniulize nimepata wapi?

MKE: Naomba uninunulie gari, usiponinunulia siku nikija na gari naomba usiniulize nimepata wapi?

Mke huyo ni mwelewa under condition ya kwamba jamaa awe na pesa otherwise sio mwelewa, Tayari kwa sisi wakongwe wa maswala ya anasa na ushenzi hiyo ni Bendera nyekundu.

Jamaa asijiwekeze sana kujipanga na lolote la kutokea, leo kataka kigari hicho je hao wasumbufu wakimwambia sio hadhi yake anapaswa kuwa na Velari?

It is not to early to spot a red flag!

Learn or Perish!
 
Kiukwel mm nampongeza jamaa lkn pongezi zaid nampongeza huyo madam...
.
Kwa ulimwengu wa sasa wanawake wanapitia vishawishi sana ni rahisi kusema mke mwema ashawishiki lkn ulimwengu umebadilika mazee mambo ni mengi.
.
Kama unaweza kufany kitu na kikafanya mapenzi yenu yasonge mbele we fanya tu as long as jambo hilo lipo ndani ya uwezo wako.
 
Habari wanajimii forum. Hii ishu aliipata rafiki yangu mmoja hivi ni ishu ya kweli kabisa.

Jamaa anandoka ya miaka zaidi ya 9 na wamefanikiwa kuwa na watoto. Kusema ukweli mke wake ni mrembo haswa Tena haswa kweli kweli. Anafanya kazi kwenye shirika Moja hapa DSM.

Mume wake anagari ambalo analotumia katika shughuli zake na kwenda ofisini kwao, but mke wake Hana. Na Kila mmoja anatoka home kwa Muda wake. Jamaa anachukua gari anasepa, Kisha mke wake anafuata ,maana anapanda daladala mpk ofisini.
Sometime anapanda mwendo Kasi.

Sasa siku Moja mke wake akamwambia hivi " mume wangu naomba uninunulie gari hata kadogo tuu lolote wewe unalona mimi litanifaa kulitumia sikupangii, ila usipofanya hivyo naomba siku nikija na gari uciniulize nimelitoa wapi naomba sana usiniulize".

Jamaa alishuka kidogo, sasa mwamba anampenda sana mke wake , aliniambia hakumuuliza chochote kile akaamua kumtimizia na mwishowe akafanikiwa kununua Toyota crown Kisha akampatia mke wake tuu kwa ajiri ya kulitumia ila jina ni la mume wake kwenye kadi.

MKE wake akasema Asante ila tuu na mimi nitumie gari kwenda ofisini na shughuli zingine

Walikaa kama wiki 3 Kisha mke wake akaamua kumueleza ukweli mume wake. Alimwambia hivi.

"Mume wangu najua nilikukwanza kwa maneno Yale niliyokwambi na naamini nilikuumiza, naomba unisamee, ila nilisema vile ili uninunulie maana najua uwezo unao, sababu ni hii

"Mimi mke wako kwa jinsi muonekano niliyokuwa nayo, wanaume wengi wananisumbua sana, na wengi wananiona naenda ofisini kwa daladala jua Kali njiani. Na walikuwa wananisubua kwa promise kuwa uwezo kuwa unaenda ofisini bila gari inaitaji gari, sasa ni vishawishi vilikuwa vingi nimeangaika sana, watu still hawaeshimu ndoa za watu. But am sorry kwa maneno Yale niliyokuambia.
Ila mume wangu mimi mke wako nashukuru MUNGU bado ananilinda katika ndoa yangu."

Jamaa baada ya hapo akasema sawa tu nimekuelewa. Waliongea vingi sana na mke wake. Baadae waliyamaliza ila.

Vipi wewe yamewahi kukuta haya.
jifunze kuandika vizuri
 
Kwa kauli hii ya kipumbavu,
Mimi hapo hapo ningeandika Talaka isiyo na tarehe kisha naifungia sehemu salama kabisa,
Na nitaisubiri hiyo Gari yake anayoisema akijanayo tu dakika nyingi,
Naweka tarehe tu ile Talaka nakumkabidhi na hiyo inakuwa ndio kwaheri.
SITAKI UJINGA.
 
Habari wanajimii forum. Hii ishu aliipata rafiki yangu mmoja hivi ni ishu ya kweli kabisa.

Jamaa anandoka ya miaka zaidi ya 9 na wamefanikiwa kuwa na watoto. Kusema ukweli mke wake ni mrembo haswa Tena haswa kweli kweli. Anafanya kazi kwenye shirika Moja hapa DSM.

Mume wake anagari ambalo analotumia katika shughuli zake na kwenda ofisini kwao, but mke wake Hana. Na Kila mmoja anatoka home kwa Muda wake. Jamaa anachukua gari anasepa, Kisha mke wake anafuata ,maana anapanda daladala mpk ofisini.
Sometime anapanda mwendo Kasi.

Sasa siku Moja mke wake akamwambia hivi " mume wangu naomba uninunulie gari hata kadogo tuu lolote wewe unalona mimi litanifaa kulitumia sikupangii, ila usipofanya hivyo naomba siku nikija na gari uciniulize nimelitoa wapi naomba sana usiniulize".

Jamaa alishuka kidogo, sasa mwamba anampenda sana mke wake , aliniambia hakumuuliza chochote kile akaamua kumtimizia na mwishowe akafanikiwa kununua Toyota crown Kisha akampatia mke wake tuu kwa ajiri ya kulitumia ila jina ni la mume wake kwenye kadi.

MKE wake akasema Asante ila tuu na mimi nitumie gari kwenda ofisini na shughuli zingine

Walikaa kama wiki 3 Kisha mke wake akaamua kumueleza ukweli mume wake. Alimwambia hivi.

"Mume wangu najua nilikukwanza kwa maneno Yale niliyokwambi na naamini nilikuumiza, naomba unisamee, ila nilisema vile ili uninunulie maana najua uwezo unao, sababu ni hii

"Mimi mke wako kwa jinsi muonekano niliyokuwa nayo, wanaume wengi wananisumbua sana, na wengi wananiona naenda ofisini kwa daladala jua Kali njiani. Na walikuwa wananisubua kwa promise kuwa uwezo kuwa unaenda ofisini bila gari inaitaji gari, sasa ni vishawishi vilikuwa vingi nimeangaika sana, watu still hawaeshimu ndoa za watu. But am sorry kwa maneno Yale niliyokuambia.
Ila mume wangu mimi mke wako nashukuru MUNGU bado ananilinda katika ndoa yangu."

Jamaa baada ya hapo akasema sawa tu nimekuelewa. Waliongea vingi sana na mke wake. Baadae waliyamaliza ila.

Vipi wewe yamewahi kukuta haya.
Mwanamke kachangamka hadi raha, ngoja nile popcorn
 
Back
Top Bottom