Hilo la Kiba kuwa na mbususu huko ni suala tarajiwa, as Amina alimkuta ana baby mama wa kumwaga....hakutakiwa kuwa na wivu, alitakiwa amcontrol apunguze.
Wewe kwa sababu huna mke, Ila ukiwa nae utapunguza huko nje.....asubuhi unapewa, ukirudi unapewa.
Sasa mwenzio mke anamdai talaka huku Yuko Mombasa, huku mume anaishije?
thubutu, uhalisia ni kwamba waliooa mbususu ni kwa ratibaWewe kwa sababu huna mke, Ila ukiwa nae utapunguza huko nje
Kiba nae alibugi sana kumuoa yule dada. Yule angepiga mimba tu maisha yanaendelea. Angalia sasa, inabidi atafute jopo la mawakili wenye uwezo mkubwa kabla ajapigwa pesa ndefu. Mi nasemaga kila siku humu, mademu wa kikenya wote ni magold digger tu
Atakuwa kashapata bwana huko Mombasa. Hapa ndio tofauti ya mwanamke na mwanamume.Sasa mwenzio mke anamdai talaka huku Yuko Mombasa, huku mume anaishije?
Ndoa ya mbali siyo kabisa, mwanmke awepo kidogo ingepunguza matatizo.wanaume tulishaga fail
Story tu hizo, wanawajaza muone ndoa ngumu....mbona wakipewa hawawasimulii kuwa Leo nimepewa cha asubuhi, wakinyimwa vikao hadi Kwa viongozi wa dini🤣🤣🤣🤣thubutu, uhalisia ni kwamba waliooa mbususu ni kwa ratiba
ukinuniwa tu, hupati ng'o
Akimpa talaka miezi 6 haiishi anaolewa na shombe shombe mwenzie🤣🤣Atakuwa kashapata bwana huko Mombasa. Hapa ndio tofauti ya mwanamke na mwanamume.
Sisi hata tukiwa na michepuko huwa hatuhamishi upendo kutoka kwa watu wetu kwenda kwa michepuko
Nyinyi huwa hamwezi kucontrol hisia zenu
KE akiwa kwenye uchumba, anakuwa anashikilia makaliStory tu hizo, wanawajaza muone ndoa ngumu....mbona wakipewa hawawasimulii kuwa Leo nimepewa cha asubuhi, wakinyimwa vikao hadi Kwa viongozi wa dini🤣🤣🤣🤣
Huo ndio ukweli wewe ngoja tu utaona bonge la harusi kuliko hata ile ya Kiba itafungwa huko Mombasa 🤣🤣🤣Akimpa talaka miezi 6 haiishi anaolewa na shombe shombe mwenzie🤣🤣
Asante manake haya mambo ya maceleb sio kivile, siwafatilii. Ila na nyie, unadhani ukiolewa na Mondy utakuwa peke yako, ama huyo Kiba? Yaani lazima mtapangwa mnyororo na atawaweka hatari, nguvu ya pesa na fame vinambeba.Wengi huwa wanachangamoto, wengine hadi watoto wanne kila mmoja na Baba Ake, halafu anatokea mtu huko anajiingiza nae kwenye mahusiano, lazima atoke ndala mkononi🤣🤣
Kiba ana mke anaitwa Amina, hawa walitufanya wambea tukeshe siku mbili Azam TV kufuatilia ndoa Yao Mombasa.....picha linaanza ndoa (nikah) imefungwa Alfajir🤣🤣🤣 Sijui ndo mambo ya kuangalizia nyota, lakini wapiii?🤣🤣🤣
Watakuumbua mchana kweupee ushindwe pa kuficha sura yako [emoji1][emoji1]Kabisaa wanandoa siwaliagi muamana miyee
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natamani wanirudishie muda wangu kenge HawaWambea tumekesha kuanzia Mombasa hadi Dar, Halafu sasa hivi wanataka kuachana kirahisi tu, inaumaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KaaaahhhhhTatizo sisi wanaume haturidhikagi na mbususu moja.
Nikupe mfano mimi sina mke, nina wiki 3 kuna kamanzi kamekuwa kananipa sana utelezi lakini nishaanza kukachoka yaani mzuka niliokua nao mwanzoni na sasa tofauti
Wanaune hatujawahi kuridhika na mbususu moja sio kwamba hatuwapendi ni tamaa tu
Tatizo sisi wanaume haturidhikagi na mbususu moja.
Nikupe mfano mimi sina mke, nina wiki 3 kuna kamanzi kamekuwa kananipa sana utelezi lakini nishaanza kukachoka yaani mzuka niliokua nao mwanzoni na sasa tofauti
Wanaune hatujawahi kuridhika na mbususu moja sio kwamba hatuwapendi ni tamaa tu
Duuh kwahiyo kumbe kuwapa waume zenu kila siku mnaweza, sasa haya malalamiko yao ya kwamba wananyimwa sana kwa visingizio vya kuchoka yanatoka wapi, au ndio makusudi tuNaye Kiba akome, watu wakiambiwa waoe wanaofanana nao utamaduni wanaleta ujuaji....wanawake wa Pwani hawajui kutulia kwa mume, kutwa kiguu na njia kwao, Yani mke kwenda kukaa kwao miezi mitatu bila sababu ni kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ukipeleka kesi kwao wanakushangaa[emoji1787]
Sasa Amina kashaona mume zipu mbovu, halafu yeye kutwa yupo Mombasa....anataka mwenzake ajiunge Chama la dronedrake au?
Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee kuwezaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo chacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh kwahiyo kumbe kuwapa waume zenu kila siku mnaweza, sasa haya malalamiko yao ya kwamba wananyimwa sana kwa visingizio vya kuchoka yanatoka wapi, au ndio makusudi tu