YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hilo la Kiba kuwa na mbususu huko ni suala tarajiwa, as Amina alimkuta ana baby mama wa kumwaga....hakutakiwa kuwa na wivu, alitakiwa amcontrol apunguze.
Wewe kwa sababu huna mke, Ila ukiwa nae utapunguza huko nje.....asubuhi unapewa, ukirudi unapewa.
Sasa mwenzio mke anamdai talaka huku Yuko Mombasa, huku mume anaishije?
Kiba anavuna alichopanda, kaacha kuoa Kidoti kakimbilia Mombasa!!
Na yule Amina itakuwa ana basha wake anamkula vizuri kule kwanini hatulii kwake?!!