Mke wa Alikiba adai talaka

Mke wa Alikiba adai talaka

Hilo la Kiba kuwa na mbususu huko ni suala tarajiwa, as Amina alimkuta ana baby mama wa kumwaga....hakutakiwa kuwa na wivu, alitakiwa amcontrol apunguze.

Wewe kwa sababu huna mke, Ila ukiwa nae utapunguza huko nje.....asubuhi unapewa, ukirudi unapewa.

Sasa mwenzio mke anamdai talaka huku Yuko Mombasa, huku mume anaishije?

Kiba anavuna alichopanda, kaacha kuoa Kidoti kakimbilia Mombasa!!
Na yule Amina itakuwa ana basha wake anamkula vizuri kule kwanini hatulii kwake?!!
 
Kiba nae alibugi sana kumuoa yule dada. Yule angepiga mimba tu maisha yanaendelea. Angalia sasa, inabidi atafute jopo la mawakili wenye uwezo mkubwa kabla ajapigwa pesa ndefu. Mi nasemaga kila siku humu, mademu wa kikenya wote ni magold digger tu

Tena amkwangue zote…
Hamuoni Mond mwenzie anaacha mbegu anakula kona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mwenzio mke anamdai talaka huku Yuko Mombasa, huku mume anaishije?
Atakuwa kashapata bwana huko Mombasa. Hapa ndio tofauti ya mwanamke na mwanamume.

Sisi hata tukiwa na michepuko huwa hatuhamishi upendo kutoka kwa watu wetu kwenda kwa michepuko

Nyinyi huwa hamwezi kucontrol hisia zenu
 
Story tu hizo, wanawajaza muone ndoa ngumu....mbona wakipewa hawawasimulii kuwa Leo nimepewa cha asubuhi, wakinyimwa vikao hadi Kwa viongozi wa dini🤣🤣🤣🤣
KE akiwa kwenye uchumba, anakuwa anashikilia makali
akiolewa tu, chap wana switch sides, ME anashikilia makali, vchi mpaka aamue KE 😅
 
Huyo mwanamke naye ni kilaza, anaandika mitandaoni badala ya kwenda mahakamani? Mahakama ndio Kila kitu na sheria Ipo wazi . DISERTION NI GROUND YA KU DISSOLVE NDOA NA KUTOLEWA TALAKA.

Sasa yeye anawaza maelekezo ya kizamani yaliyopitwa na wakati ya wa wafuga madevu wa DP world ya TALAKA rejea see sijui TALAKA tatu , au naye hajasoma?
 
Wengi huwa wanachangamoto, wengine hadi watoto wanne kila mmoja na Baba Ake, halafu anatokea mtu huko anajiingiza nae kwenye mahusiano, lazima atoke ndala mkononi🤣🤣
Kiba ana mke anaitwa Amina, hawa walitufanya wambea tukeshe siku mbili Azam TV kufuatilia ndoa Yao Mombasa.....picha linaanza ndoa (nikah) imefungwa Alfajir🤣🤣🤣 Sijui ndo mambo ya kuangalizia nyota, lakini wapiii?🤣🤣🤣
Asante manake haya mambo ya maceleb sio kivile, siwafatilii. Ila na nyie, unadhani ukiolewa na Mondy utakuwa peke yako, ama huyo Kiba? Yaani lazima mtapangwa mnyororo na atawaweka hatari, nguvu ya pesa na fame vinambeba.
 
Wambea tumekesha kuanzia Mombasa hadi Dar, Halafu sasa hivi wanataka kuachana kirahisi tu, inaumaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]natamani wanirudishie muda wangu kenge Hawa
Wanaachana vipi Kwa mfanooo
 
Tatizo sisi wanaume haturidhikagi na mbususu moja.

Nikupe mfano mimi sina mke, nina wiki 3 kuna kamanzi kamekuwa kananipa sana utelezi lakini nishaanza kukachoka yaani mzuka niliokua nao mwanzoni na sasa tofauti

Wanaune hatujawahi kuridhika na mbususu moja sio kwamba hatuwapendi ni tamaa tu
Screenshot_20230624-130611.png
 
Naye Kiba akome, watu wakiambiwa waoe wanaofanana nao utamaduni wanaleta ujuaji....wanawake wa Pwani hawajui kutulia kwa mume, kutwa kiguu na njia kwao, Yani mke kwenda kukaa kwao miezi mitatu bila sababu ni kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ukipeleka kesi kwao wanakushangaa[emoji1787]

Sasa Amina kashaona mume zipu mbovu, halafu yeye kutwa yupo Mombasa....anataka mwenzake ajiunge Chama la dronedrake au?

Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuh kwahiyo kumbe kuwapa waume zenu kila siku mnaweza, sasa haya malalamiko yao ya kwamba wananyimwa sana kwa visingizio vya kuchoka yanatoka wapi, au ndio makusudi tu
 
Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo chacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee kuwezaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh kwahiyo kumbe kuwapa waume zenu kila siku mnaweza, sasa haya malalamiko yao ya kwamba wananyimwa sana kwa visingizio vya kuchoka yanatoka wapi, au ndio makusudi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom