mkuu nipe namba 5Guess hujawahi ona au kukutana na wanawake wazuri ndio shida ya wanaume wa mikoani muda wote mnashindana na Nyani shamban utajua wanawake wazuri wewe..
Kwenye list ya warembo kwangu mqy be anaweza kuwa kwenye top 15...
Fanya research iliyoshiba before hujatoa conclusion zako..
Usisuzuke na rangi ya chai,Tamu ya chai SUKARIMke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote Tanzania. Hakuna cha Jokate, Wema, Lulu, Tunda, Mimi Mars, Klynn, Faraja Kota wala Nancy Sumari.
Nahisi yeye ndio Cleopatra aliesemwa kwenye historia, yaani mwanamke mzuri kuliko wote.
View attachment 695751
View attachment 695755
Umemaliza na sikubishii mkuu wale ni warembo afu hata hawajui kama ni warembo wao wanaendelea na maisha tuHahahahaha! Yeah ni mrembo, but jamaani hakuna sehemu niliyoona wanawake wazuri Tanzania kama Manyara
Haaa haaa, Tunashukru .Dunia hii hakuna mrembo wa kumshinda Mama Gaude wangu. Nimechoka kurudia hii comment kila siku. Mama Gaude wangu chombo bhana!
Yani daah. Sasa na yeye kwanini asiende tafuta Cleopatra wake anachukua kina bi kidude.Mtake radhi kwanza Dem wako, hivi akiona hii thread unazan atajisikiaje?
Mkuu hata kwa Nargis na Faraja kota hajafika badoNakubali huyu demu ni mkali mno ila kwa NANCY SUMARI wa kipindi anabeba umiss hajafikia bado.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we kiboko!Mkuu uchawi umesomea wapi?
Weka pichaDunia hii hakuna mrembo wa kumshinda Mama Gaude wangu. Nimechoka kurudia hii comment kila siku. Mama Gaude wangu chombo bhana!