Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
kama ni vitasa vya namna hiyo ilikuwaje balozi na dereva wake washindwe kufungua toka nje?
mie naona balozi pia angetaja mda kamili (late evening) angeweza kusaidia kidogo kutoka na hali halisi ya pirika za mtaani zinavyoendelea lazima majirani wangeona matukio ambayo sio ya kawaida yanendelea kwa muheshimiwa sana sana swala la ujambazi.kama ni vitasa vya namna hiyo ilikuwaje balozi na dereva wake washindwe kufungua toka nje?
Uwezekano ni kwamba huyo jamaa aliruka ukuta. hata hivyo mbona mama alikutwa amefungiwa katika garage? Je huyo mama alijifungiaje humo? Hapa kuna walakini mkubwa sana!alikimbiaje halafu akafunga mlango kwa ndani?
Jasusi.. that is the story we have been told; but in a situation like this there is a story behind the story. Ngoja nioneshe matundu machache kwenye stori ilivyo sasa.
a. The Story:
Kwa hiyo.. timeline yetu ni kuwa lolote lililotokea lilitokea siku ya Jumamosi kati ya mchana na jioni. Halikutokea usiku. Kama lilikuwa ni tukio la ujambazi na matumizi ya nguvu kiasi hicho hao majambazi watakuwa ni watu wa karibu sana kiasi cha kutokusababisha shuku toka kwa majirani mchana kweupe; na hiyo ina maana wapo mashahidi walioona kilichotokea, gari, watu n.k
Balozi alilala salama usiku ule bila kutoa taarifa polisi, kwa ndugu, jamaa na marafiki huku akiwa hana mawasiliano na mke wake na hajasema kama alijaribu kuwasiliana na msaidizi huyo wa nyumbani. (this is important to keep in mind)
b. The Story:
Sasa tunajua kuwa Balozi alilala salama usiku wote ule na hakufanya juhudi ya kupiga simu nyumbani siku ya pili wala kutoa taarifa kwa mtu mwingine yeyote. Muda huo unatoa nafasi ya mtu yeyote kutoweka na kuchelewesha uchunguzi.
Lakini pia tunaona jambo jingine muhimu kwa upelelezi. Malango ya nyumba ya Balozi yalikuwa yamefungwa kwa ndani. Sasa hapa hatuna budi kujiuliza huyo msaidizi wa nyumbani alitokaje na vitu vya kuiba halafu akafunga mlango kwa ndani kiasi kwamba mtu aliye nje anashindwa kuufungua?
La pili ni kuwa Balozi hana ufunguo wa mlango wa nyumba yake akiwa nje?
c. The Story:
Hapa kuna tatizo kidogo. Kwenye upelelezi tunaweza kusema ni kutokubaliana kwa eneo la tukio (inconsinstence of crime area). Viatu vya mhanga na mabegi yake yamekutwa karibu na geti. Vilifikaje hapo? Je mhanga aliuawa nje, aliwafukuza wahusika, hapa ni clue nzuri.. kulikuwa na damu karibu na geti?
d. The story:
So far.. tunachosikia hapa ni kwamba ndani ya nyumba na eneo zima hakukuwa na ushahidi wa foul play! Ina maana huyo mama hakuuawa ndani ya nyumba au nje ya nyumba kwani kama kungekuwa na damu au aina yoyote ya ushahidi kuwa amedhurika wangeita polisi mara moja. Kama walikuta ushahidi wa kitendo kibaya walipoingia ndani (hasa baada ya kukuta viatu vyake nje na mabegi) walitakiwa kutoa taarifa polisi mara moja, itakuwaje kama wabaya walikuwa bado wako ndani wanasubiri? especially baada ya kujua kuwa geti lilifungwa kwa ndani?
[Just when he was about to give up, he remembered to look inside his garage and…there she was, laying on the floor with a knife sticking out on her chest.
"We unlocked the garage which was padlocked from outside but she was already dead. We reported the matter to the police and they are investigating," he whispered, tears streaming down his face. [/QUOTE]
Hapa kuna mambo ya kutugusa fikra zetu kidogo. Baada ya kumkosa huko kwingine kote akaamua kuangalia kwenye gereji na wakaona mwili wa marehemu ukiwa na kisu kifuani. Wakafungua hilo lango la gereji (na hivyo kupoteza kwa kiasi kikubwa ushahidi wa nani aliufunga!) na siwezi kushangaa walipofika ndani mmoja wao akakichomoa kile kisu, na hivyo kufuta ushahidi wa nani alikichomeka (I hope thats not the case).
e. The story:
Tunaambiwa kuwa hili halikuwa tukio la ujambazi kwani hakuna kitu cha thamani kilichoibiwa, kuna kitu hawa watu walikuwa wanatafuta au kulikuwa na sababu binafsi ya kufanya tukio hilo zaidi ya kuiba. kama hao jamaa walikuwa wanatafuta fedha na ndani ya nyumba kuna vitu vya thamani why not take the valuables and liquidate them later?
So.. in short ni kuwa it is not what it seems..
kinacho nifanya nimkomalie msaidizi kwa vile inaonekana ni wao wawili tu ndio waliokuwa kwenye nyumba.na yeye ndio anaweza kutoa ufumbuzi zaidi wa hii kesi la sivyo hapa hii issue haitopatiwa jibu.Kocha Wenger...mbona umemkomalia sana huyo msaidizi? Yaani huoni uwezekano wa wengine....unaanza kunikumbusha yale ya akina Malvo na mwenzake maana jamaa walikomalia na profile za ma serial killer huku wakiwaacha jamaa waendelee kufanya uhalifu wao...
Jamani, this is NOT fair! Unauhakika gani?Mh balozi aliwapigia simu watu gani siku hiyo ya tukio! conspiracy nyingine huenda aliwasiliana na wauwaji....mkewe alimpigia kuhakikisha job well done!
.....
Kama nimempigia mke wangu simu na baadaye nikajaribu sana kumpata siwezi.. nisingelala huko nilikokuwa hasa ukizingatia ni mtu mzima.. hata kama ingekuwa si ujambazi ingekuwaje kama ameanguka bafuni na hakuna mtu wa kumsaidia?
kwa mke wako ni vigumu sana kupuuzia na kwenda kulala kama hajawapokea simu unless ni kawaida yenu kwamba mmoja wenu asipopekea simu nikawaida tu.kitu ambacho nakataa kuwa hivyo kwa mke wako lazima utakuwa na wasi wasi na kufanya juhudi zakujua kama yuko salama au hapana wakati huo huo.Ki bongo bongo mbona kawa tu kumkosa mtu kwenye simu na ukalala usingizi. Labda huyo mpigiwaji awe mgonjwa mwenye kuhitaji uangalizi wa karibu. Vinginevyo watu kibao walala usingizi mnono wanapowapigia wake zao simu bila kuwapata.
what if huyo mfanyakazi wa ndani naye ameuawa na kuburuzwa sehemu nyingine, au ametekwa n.k