Mke wa Benson Kigaila ni mmoja ya wabunge 19 wa CHADEMA, na hupeleka mshahara nyumbani

Mkuu najua lazima Kuna walio shiriki ila tayari wote kwa sauti Moja wamewafukuza hao wabunge (Akiwemo mke wa Kigaila) kwenye chama; so kama Dr Tulia akiheshimu maamuzi ya Baraza kuu it won't matter anymore maana wameshafukuzwa
I know kwa upande wangu pia naunga mkono waondolewe bungeni

Lakini pia natamani sana kujua namna mchezo ulivyokuwa je zile fomu za uteuzi kutoka kwenye Chama,Tume ilizipataje

Maana uwepo wa hawa wake wa viongozi ndani ya hao wanaoitwa wasaliti wa Chama kwa upande wangu inanifikirisha

Kwa upande wangu naamini watu wa pande mbili na wenye nguvu wameshirikiana kuingiza wale wadada bungeni na hao ndio wanajua picha mwisho litakuaje

Ndio maana nasema ni ngumu saaana Halima kwenda na wenzie kuapa bila kupewa back up ya pande zote mbili ni ngumu saana hili suala

Ila kwasababu ya siasa kila mtu atakaa upande anaoamini ila naimani chama kinawajua wasaliti mbali na hao wabunge 19.
 
VIPI NA WEWE TUKIMSEMA MKE WAKO ANAKOZITOA PESA NA KUKULETEA ?
 
Kila siku nawaambia haya machadomo Ni njaa tuu hamna kitu huko.
 
Back up ipi mkuu? KAMATI KUU ndio inapitisha majina kama hakuna hicho kikao Ina maana hao wabunge ni BATILI. Je nani kawasaidia? hiyo hakuna Cha msaada maana Sheria inataka kamati kuu, so kama waliapa Ina maana ni NEC na msajili ndio wamewasaidia.

Ingekua Barua ya Mnyika au Mbowe inatosha basi tungesema wamesaidiwa ila kwakua kamati kuu yenye watu 24 haikuteua wabunge then hakuna msaada wowote wamepata ndani ya chama.

Cha msingi wamefukuzwa na hiko ndio tunataka Sheria isimamie ila wangekua wamepewa barua kisheria kabisa na kamati kuu basi hapo tungetafuta mchawi maana kisheria wangekua wabunge.
 
Duh...

Kweli ulichokisema...

Ova
 
Mambo ya siasa magumu sana, Bwana Kigaila hapa amekwama.

Huwezi kuwa kiongozi wa chama kikubwa cha siasa halafu mkeo akatofautiana na wewe kimtazamo na hata kuwa mlengo tofauti na wewe, kwa hizi za CCM maana yake mkeo anaweza kutumika mahala akakufanyizia au hata kutoa siri za Chama.

Kuna wakati mkeo anapaswa kuwa mlengo sawa na wewe kama kichwa au awe hayupo kabisa kwenye siasa ili ujijengee image na nzuri siasani..

Njaa ndio shida ya yoote haya.
 
Sawa mkuu naimani mahakamani wale wakiendelea kuhojiwa wataendelea kusema kweli wao

Maana yule mmoja aliomba wakayamalize chamani baada ya kibano kuzidi sijui

Sasa naimani katika hao 19 lazima statement zitapingana tu.
 
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya,
Hata Dr. Bashiru ametuhamasisha wakulima tumtishe rais Samia. Na Samia hajathubutu kumjibu Dr. Bashiru. Upo??
 
Danganya toto, maamuzi makubwa ndani ya ndoa hayawezi kufanywa bila wanandoa kujadiliana au hata kufahamishana tu, ikiwa mmoja hakumfaha.misha mwenzake ndoa lazima iingie mgogoro.

Tangu zamani mimi ni mmoja wa wanaoamini ubunge wa hawa wanawake 19 una baraka za viongozi wote wa juu ila kinachofanyika ni danadana ili muda uende ndio maana kila hatua ya kinidhamu inacheleweshwa. Hawa wataendelea na ubunge hadi 2025 tena kwa baraka za hao hao chadema lakini kisirisiri. Ila siku moja huko mbeleni mkanda wote utakuwa wazi hata kwa wale wajinga wanaodanganywa.

Baada ya bunge kuvunjwa usisangae kuambiwa wamesamehewa hivyo wagange yajayo.
 
Eeehh, ni kweli
 
Mambo ya Mke na mume hayatuhusu, umbea ukikuzidi utavalishwa shanga.
Kigaila anatawaliwa na mke wake!

Kama mwanaume mwenye sauti angetoa msimamo na mwanamke angesikiliza bila kusita
 


Haitoshi kumpigia kura ya kufutwa uanachama bali inatakiwa apigwe talaka kwa jinai aliyotenda ya kugushi saini ili kuingia bungeni na alipwe mshahara haramu ambazo ni kodi za wananchi, Ili kuonyesha ukomavu kisiasa Kigaila hapaswi kuwa naye kwani kuwa naye tutaamini naye Kigaila ni muovu under carpet kama mkewe kwani mahitaji ya nyumbani anayoleta mkewe naye husasambua vinginevyo athibitishie umma kwamba hasasambui,🤣
 
Mke anaenda kukusalit na mwanaume mwingine na hakushirikishi sembuse hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…