Mke wa Benson Kigaila ni mmoja ya wabunge 19 wa CHADEMA, na hupeleka mshahara nyumbani

Mke wa Benson Kigaila ni mmoja ya wabunge 19 wa CHADEMA, na hupeleka mshahara nyumbani

Mke anaenda kukusalit na mwanaume mwingine na hakushirikishi sembuse hilo?
Hayo ya kuliwa mzigo sio issue maana hata mimi nakula mizigo mingine na pia naweza kuwa simridhishi au namkandamiza so anatafuta faraja

Je mke akiungana na adui zako ili kukukomoa/kukudhulu bado utaendelea kuwa nae na kuona ni sawa tu.
 
Hata mimi da Halima ni rafiki yangu wa kufa na kuzikana, na huwa anitoa out tunakula kilaji, tunamwagilia moyo, tunajichana mpaka kinaeleweka. Mi wala huwa siuliziulizi hela kazipata wapi maana najua ni mbunge wa BJMT.
 
Kama Hawa ndio wapinzani kas IPO Sana naoina ccm ikitawala miaka nenda Rudi
 
Hi imenikumbusha mbali
Nyerere na familia yake mama Maria wakati Uamsho unaanza katika kanisa Katoliki Mama alikuwa upande tofauti na Julius
Mungu ni Mwema Mambo yalienda salama
 
..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?

..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
 
..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?

..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
Au Mbowe kwa chacha wangwe
 
Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.

Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CDM, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.

Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.

Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.

Mke wa lisu syo mwanasiasa.
Ungesema dada yake sawa
 
Hili igizo halijakaa sawa hata sisi tumeoa tunajua uhalisia wa mambo

Ni ngumu saaana mke kabsa kushindwa kukushirikisha jambo kubwa la namna hii labda iwe ndoa mfu

Maana kama hajakushirikisha jambo kubwa na la usaliti la namna hiyo unadhan ana siri ngapi kubwa ambazo hauzijui.
We akili zako zimeshilkwa na mkeo unadhani ni wanaume wote akili zimeshikwa
 
Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.

Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CDM, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.

Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.

Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.

Mahusiano yako na huyo mke wa mtu yalipoanza haukutujulisha, sasa mmegombana unataka kumuumbua mbele ya mumewe!
 
MaCHADEMA hayaaminiki yamejaa unafiki mkubwa. Majukwaani madomo juu halafu usiku yanagawana ruzuku. Majinga sana haya manyumbu.
 
MaCHADEMA hayaaminiki yamejaa unafiki mkubwa. Majukwaani madomo juu halafu usiku yanagawana ruzuku. Majinga sana haya manyumbu.
At least we now know know that Tundu Lissu anakula NHIF ya Marekani na Makamo KM wa CHADEMA anakula CCM, maana, moto utakapowaka wenzetu wana pa kwenda.
 
Hili igizo halijakaa sawa hata sisi tumeoa tunajua uhalisia wa mambo

Ni ngumu saaana mke kabsa kushindwa kukushirikisha jambo kubwa la namna hii labda iwe ndoa mfu

Maana kama hajakushirikisha jambo kubwa na la usaliti la namna hiyo unadhan ana siri ngapi kubwa ambazo hauzijui.
Naunga mkono hojayako
 
mimi mara zote huwa nawaambia chadema sio chama ni genge la wahuni ,katika wale 19 karibia wote waume zao au wapenzi wao ni viongozi wa chadema! ndio maana hata siri za vikao vya chadema zinamfikia halima mdee haraka sana. kwa sababu hata anaemkunja halima mdee ni kiongozi mkubwa tu wa chadema!
 
Point ni kwa nini CCM wamenvunja sheria zote za nchi na kuwakumbatia hawa ma Covid -19 ? wakati wanaiba kura uchaguzi mkuu hawakujua kuna akidi inatakiwa bungeni ili ku balance upinzani? yaani unaiba hadi unapitlizia kiwango afu unaanza kuhangaika.
Hii ni aibu kubwa sana kwa hiki chama.
 
Back
Top Bottom