Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wewe umeyajuaje mambo ya jikoni kwa huyo mama? Tuanzie hapo.Rudini kwenye hoja wacheni kujitoa betri š¤£.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeyajuaje mambo ya jikoni kwa huyo mama? Tuanzie hapo.Rudini kwenye hoja wacheni kujitoa betri š¤£.
CCM itakuwa imeshirikiana na viongozi wa juu wa Chadema kuwaweka wale COVID-19 ebu wewe mwenyewe tizama hili Mke wa Bamaga, Bamaga alikuwa kiongozi mkubwa tu katika chama kabla ajajiuzuluPoint ni kwa nini CCM wamenvunja sheria zote za nchi na kuwakumbatia hawa ma Covid -19 ? wakati wanaiba kura uchaguzi mkuu hawakujua kuna akidi inatakiwa bungeni ili ku balance upinzani? yaani unaiba hadi unapitlizia kiwango afu unaanza kuhangaika.
Hii ni aibu kubwa sana kwa hiki chama.
Pointless, Mkeo ni mkeo na wewe ni wewe, na ndiyo maana ukifanya kosa wewe tunakushughulikia wewe mwenyewe mkeo hatatuhusu kabisa.CCM itakuwa imeshirikiana na viongozi wa juu wa Chadema kuwaweka wale COVID-19 ebu wewe mwenyewe tizama hili Mke wa Bamaga, Bamaga alikuwa kiongozi mkubwa tu katika chama kabla ajajiuzulu
Mke wa Kigaila Naibu katibu Mkuu,Matiko mzazi mwenzie na Salum Mwalimu, Nusrat mzazi mwenzie na Mnyika katibu Mkuu wa chama!!!!! nk,nk
Ndugu yangu Fusso mwenye macho aambiwi tazama na akili za kuambiwa changanya na zako
Umeenda mbali Sana mkuu..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?
..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
Inasikitisha sanamimi mara zote huwa nawaambia chadema sio chama ni genge la wahuni ,katika wale 19 karibia wote waume zao au wapenzi wao ni viongozi wa chadema! ndio maana hata siri za vikao vya chadema zinamfikia halima mdee haraka sana. kwa sababu hata anaemkunja halima mdee ni kiongozi mkubwa tu wa chadema!
kinachonishangaza toka enzi kigali na mrema wapo tu kwenye uongozi hivi wanapatikanaje hawa?Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Kabadilishe gagulo hiyoMke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Nyie maccm ni takataka mumekalia uchawa tuKila siku nawaambia haya machadomo Ni njaa tuu hamna kitu huko.
Njaa inaondoa utu na msimamo ššNyie maccm ni takataka mumekalia uchawa tu
FATMA karume ni mtota wa RAIS na Mjukuu wa Rais na BAbU YAKE na Baba yake wamemsomesha kwa hela za CCM lakini anaipinga CCM , hii imekaaje?Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Kinachonishangaza huyo kunti majala alikuwa na ndoa nyingine, baada ya kupewa ubunge kumbe ndoa yake ya kwanza nayo ikafa!Mimi kinachonishangaza % kubwa ya walioteuliwa/jiteua ni wake wa viongozi au michepuko yao
Njaa gani hiyo hadi inakufanya kuwa chawa? Huo ni ujnga tu umewajaa viroboto wa lumumbaNjaa inaondoa utu na msimamo šš
Fatma Karume ni muigizaji tu sio mpinzani wa kweli umemuona sasa alivyotulia?FATMA karume ni mtota wa RAIS na Mjukuu wa Rais na BAbU YAKE na Baba yake wamemsomesha kwa hela za CCM lakini anaipinga CCM , hii imekaaje?
Kila jambo na wakati, ametulia wapi? Unataka kumuona TBC? wewe channel zako TBC na UHURU media utamuonea wapi?Fatma Karume ni muigizaji tu sio mpinzani wa kweli umemuona sasa alivyotulia?
Aikaeli mbowe kaharibu sana vijana hapa nchini na wanaitwa makamanda SADKila siku nawaambia haya machadomo Ni njaa tuu hamna kitu huko.
Jibu hoja ya mleta mada. Je wakati huyo COVID-19 anakwenda kuapa hakumjulisha mumewe tena Boss mkubwa mwenye kuongea mishipa ya shingo imemkakamaa. Yaani katika wafia dini wa ufipa huyo jamaa yumo kumbe hamna lolote. Hakuna Cha uzalendo Wala haki kama CDM wanavyojidai. Kumbe ni njaa na ujuaji wa kipumbaff kabisa. Huwezi kuukana ukweli huo kwamba Boss huyo hakujua nkewe alikuwa amepata uteuzi wa viti maalum.Wewe umeyajuaje mambo ya jikoni kwa huyo mama? Tuanzie hapo.