Mke wa Benson Kigaila ni mmoja ya wabunge 19 wa CHADEMA, na hupeleka mshahara nyumbani

Mke anaenda kukusalit na mwanaume mwingine na hakushirikishi sembuse hilo?
Hayo ya kuliwa mzigo sio issue maana hata mimi nakula mizigo mingine na pia naweza kuwa simridhishi au namkandamiza so anatafuta faraja

Je mke akiungana na adui zako ili kukukomoa/kukudhulu bado utaendelea kuwa nae na kuona ni sawa tu.
 
Hata mimi da Halima ni rafiki yangu wa kufa na kuzikana, na huwa anitoa out tunakula kilaji, tunamwagilia moyo, tunajichana mpaka kinaeleweka. Mi wala huwa siuliziulizi hela kazipata wapi maana najua ni mbunge wa BJMT.
 
Kama Hawa ndio wapinzani kas IPO Sana naoina ccm ikitawala miaka nenda Rudi
 
Hi imenikumbusha mbali
Nyerere na familia yake mama Maria wakati Uamsho unaanza katika kanisa Katoliki Mama alikuwa upande tofauti na Julius
Mungu ni Mwema Mambo yalienda salama
 
..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?

..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
 
..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?

..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
Au Mbowe kwa chacha wangwe
 
Mke wa lisu syo mwanasiasa.
Ungesema dada yake sawa
 
We akili zako zimeshilkwa na mkeo unadhani ni wanaume wote akili zimeshikwa
 
Mahusiano yako na huyo mke wa mtu yalipoanza haukutujulisha, sasa mmegombana unataka kumuumbua mbele ya mumewe!
 
MaCHADEMA hayaaminiki yamejaa unafiki mkubwa. Majukwaani madomo juu halafu usiku yanagawana ruzuku. Majinga sana haya manyumbu.
 
MaCHADEMA hayaaminiki yamejaa unafiki mkubwa. Majukwaani madomo juu halafu usiku yanagawana ruzuku. Majinga sana haya manyumbu.
At least we now know know that Tundu Lissu anakula NHIF ya Marekani na Makamo KM wa CHADEMA anakula CCM, maana, moto utakapowaka wenzetu wana pa kwenda.
 
Naunga mkono hojayako
 
mimi mara zote huwa nawaambia chadema sio chama ni genge la wahuni ,katika wale 19 karibia wote waume zao au wapenzi wao ni viongozi wa chadema! ndio maana hata siri za vikao vya chadema zinamfikia halima mdee haraka sana. kwa sababu hata anaemkunja halima mdee ni kiongozi mkubwa tu wa chadema!
 
Point ni kwa nini CCM wamenvunja sheria zote za nchi na kuwakumbatia hawa ma Covid -19 ? wakati wanaiba kura uchaguzi mkuu hawakujua kuna akidi inatakiwa bungeni ili ku balance upinzani? yaani unaiba hadi unapitlizia kiwango afu unaanza kuhangaika.
Hii ni aibu kubwa sana kwa hiki chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…