Mke wa Benson Kigaila ni mmoja ya wabunge 19 wa CHADEMA, na hupeleka mshahara nyumbani

Sasa hawa,ngazi ya chama tu wanakua na nepotism ya namna hii,siku wakipewa nchi itakuaje?
 
CCM itakuwa imeshirikiana na viongozi wa juu wa Chadema kuwaweka wale COVID-19 ebu wewe mwenyewe tizama hili Mke wa Bamaga, Bamaga alikuwa kiongozi mkubwa tu katika chama kabla ajajiuzulu

Mke wa Kigaila Naibu katibu Mkuu,Matiko mzazi mwenzie na Salum Mwalimu, Nusrat mzazi mwenzie na Mnyika katibu Mkuu wa chama!!!!! nk,nk

Ndugu yangu Fusso mwenye macho aambiwi tazama na akili za kuambiwa changanya na zako
 
Pointless, Mkeo ni mkeo na wewe ni wewe, na ndiyo maana ukifanya kosa wewe tunakushughulikia wewe mwenyewe mkeo hatatuhusu kabisa.
Wewe ukiwa kibaka tunakushughulikia wewe mwenyewe mkeo hatutakuwa na shida na yeye.
 
..kwani Magufuli alimshirikisha Janet wakati alipoamua kumuua Tundu Lissu?

..wakati mwingine wana ndoa hawashirikishani ktk masuala fulani fulani.
Umeenda mbali Sana mkuu
 
Inasikitisha sana
 
kinachonishangaza toka enzi kigali na mrema wapo tu kwenye uongozi hivi wanapatikanaje hawa?
 
Kabadilishe gagulo hiyo
 
FATMA karume ni mtota wa RAIS na Mjukuu wa Rais na BAbU YAKE na Baba yake wamemsomesha kwa hela za CCM lakini anaipinga CCM , hii imekaaje?
 
Mimi kinachonishangaza % kubwa ya walioteuliwa/jiteua ni wake wa viongozi au michepuko yao
Kinachonishangaza huyo kunti majala alikuwa na ndoa nyingine, baada ya kupewa ubunge kumbe ndoa yake ya kwanza nayo ikafa!
 
FATMA karume ni mtota wa RAIS na Mjukuu wa Rais na BAbU YAKE na Baba yake wamemsomesha kwa hela za CCM lakini anaipinga CCM , hii imekaaje?
Fatma Karume ni muigizaji tu sio mpinzani wa kweli umemuona sasa alivyotulia?
 
Fatma Karume ni muigizaji tu sio mpinzani wa kweli umemuona sasa alivyotulia?
Kila jambo na wakati, ametulia wapi? Unataka kumuona TBC? wewe channel zako TBC na UHURU media utamuonea wapi?
 
Wewe umeyajuaje mambo ya jikoni kwa huyo mama? Tuanzie hapo.
Jibu hoja ya mleta mada. Je wakati huyo COVID-19 anakwenda kuapa hakumjulisha mumewe tena Boss mkubwa mwenye kuongea mishipa ya shingo imemkakamaa. Yaani katika wafia dini wa ufipa huyo jamaa yumo kumbe hamna lolote. Hakuna Cha uzalendo Wala haki kama CDM wanavyojidai. Kumbe ni njaa na ujuaji wa kipumbaff kabisa. Huwezi kuukana ukweli huo kwamba Boss huyo hakujua nkewe alikuwa amepata uteuzi wa viti maalum.
CDM ndio hapo tu mnapochemkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…