Unaelewa kweli ulichoandika au unaandika huku tuzi ikiwa wazi inakuumaWe akili zako zimeshilkwa na mkeo unadhani ni wanaume wote akili zimeshikwa
Asante.Naunga mkono hojayako
Slaa alikuwa katibu mkuu Chadema mkewe Rose alikuwa CCM, hayo yalikuwa mambo yao ya nyumbani.Jibu hoja ya mleta mada. Je wakati huyo COVID-19 anakwenda kuapa hakumjulisha mumewe tena Boss mkubwa mwenye kuongea mishipa ya shingo imemkakamaa. Yaani katika wafia dini wa ufipa huyo jamaa yumo kumbe hamna lolote. Hakuna Cha uzalendo Wala haki kama CDM wanavyojidai. Kumbe ni njaa na ujuaji wa kipumbaff kabisa. Huwezi kuukana ukweli huo kwamba Boss huyo hakujua nkewe alikuwa amepata uteuzi wa viti maalum.
CDM ndio hapo tu mnapochemkia.
Wewe mumeo ni mbunge?
Mbona nmekwambia Kuhusu kafulila na Kishoa au hao Sio mke na Mme? Zitto alioa mbunge wa CCM!! Same to Dr Slaa, Sasa kipi kipya hapo?Mkataba wa mke na mume hauna uhusiano wowote na mahusiano ya mama na mtoto.
Ndoa ni mkataba
I love thisMambo ya Mke na mume hayatuhusu, umbea ukikuzidi utavalishwa shanga.
Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Mke wa Benson Kigaila anapopokea mshahara, lazima anakuja nyumbani na ka mchele, ka maharage, shati la Benson Kigaila, nguo za watoto. Bila shaka Benson Kigaila akikaa meza ya chakula, huwa anakula mshahara unaotoka kwa Mkewe, lakini akienda jukwaani, akiwa amevaa shati na viatu alilonunuliwa na mkewe ameshashiba, anasema ubunge wa Mkewe so halali.
Mke wa Benson Kigaila ni moja kati ya wabunge 19, maarufu COVID-19, Kigaila ni moja ya maafisa wa juu kabisa wa CHADEMA, Naibu Katibu Mkuu, hii inanipa hisia kwamba ni kweli chama kiliwateua, lakini kililazimika kuwakana baada ya mke wa Lissu kukosa nafasi.
Waliokuwepo walijimegea na kimsahau Lissu. Akawatisha kuondoka Chadema kama hawataondoa listi ya wabunge hao.
Kingine cha ajabu, wanahamasisha Watanzania waingie mitaani, sijui katiba mpya, zikitokea nafasi wanawapa wake zao.
Qwi! Qwi!Qwi!, Ntarudi kesho, tuko kwenye hafla/dhifa za kitaifa, si unajua ukimiliki ikulu sherehe haziishi, ugeni wa hapa na pale, bafee kama zoteM
Mkuu kulikuwa na huu Uzi hapa:
Jesca Kishoa kwa hili la kumkosoa Kafulila hadharani na kufuta picha zake kwenye mitandao yako ya kijamii, umekosea
Unasema je kufanana na kutofautiana ki maudhui na Uzi wako?
Mwongozo wako tafadhali.
Mambo ya Mke na mume hayatuhusu, umbea ukikuzidi utavalishwa shanga.
Qwi! Qwi!Qwi!, Ntarudi kesho, tuko kwenye hafla za kitaifa, si unajua ukimiliki ikulu sherehe haziishi, ugeni wa hapa na pale, bafee kama zote