Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Wenye biashara zao sasa hivi wapo busy kuzitumikia hata huu uzi hawajauona. Wengine wapo huko kwenye jukwaa la biashara.
😂😂😂
Mwambie pia Maxence Melo yupo humuhumu online kwenye Biashara yake ya mtandao.
Kuna Vijana wanafikiri kizamani Sana.
Hawajui wapo Watu kuwa online ndio biashara kwao.
Alafu huyo sio ajabu ana Shahada Fulani