Mke wa Dkt. Mwaka asema yuko tayari kumuachia Dkt. Mwaka kila kitu mradi apate amani

Mke wa Dkt. Mwaka asema yuko tayari kumuachia Dkt. Mwaka kila kitu mradi apate amani

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Bi Queen apiga magoti na kusema anachohitaji zaidi yeye kwa sasa ni Amani, na kwamba yuko tayari kumuachia Mwaka kila kitu ili abaki na amani na kulea watoto wake.

Amesema kuwa anatamani mwisho wao uwe na amani, na kama kuna chochote Dkt. Mwaka anakihitaji basi amwambia ni njia zipi apite lakini vitendo vya kupelekana polisi kutengenezeana kesi na kudhalilishana kwenye mitandao si kitendo kizuri, mitandao isitumike vibaya kudhalilishana.

Akiongeza kuwa kauli ya Dkt. Mwaka alivyosema kuwa 'bado anampenda lakini hayuko tayari kuishi na yeye' imetosha kabisa kuonesha kuna sababu nyingi za kufanya wao wasibaki pamoja.

Amuomba Rais Samia, viongozi wa serikali na viongozi wa dini wamsaidie ili apate haki yake awe huru na kupata amani.
 
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? Kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, na kama kweli anataka amani, iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
 
Bi Queen apiga magoti na kusema anachohitaji zaidi yeye kwa sasa ni Amani, na kwamba yuko tayari kumuachia Mwaka kila kitu ili abaki na amani na kulea watoto wake.

Amesema kuwa anatamani mwisho wao uwe na amani, na kama kuna chochote Dkt. Mwaka anakihitaji basi amwambia ni njia zipi apite lakini vitendo vya kupelekana polisi kutengenezeana kesi na kudhalilishana kwenye mitandao si kitendo kizuri, mitandao isitumike vibaya kudhalilishana.
Wanaendelea kijicholesha tu bure, media ya bongo ndo inavyo penda bora akae kimya tu yataisha tu, kama kweli hana mapenzi na huo bwana.
 
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Kwani hilo ni kosa au tatizo katika dini yake?
 
Kumbuka hio ni ndoa ya kiislamu so talaka inaruhusiwa na kuolewa tena inaruhusiwa pia

Kwani kuna tatizo akiolewa tena?

Mkichokana msisubirie mpaka muuane.

Mwanamke keshamchoka mwaka so mwaka atoe talaka bibie awe huru

Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
 
Sasa amejiingiza kwenye mtego wa Dr. Mwaka bila kutarajia.

Nadhani hakuwa anajua kwamba sio kama Dr. Mwaka haitaji waachane, ila ni mwamba hataki waachane kisha wagawane mali

Hii angeijua mapema angezichanga karata zake vizuri.
 
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Sasa mpaka mtu ameamua anataka kuachana,kwanini umlazimishe uwe nae.

Mwanamke nae ana haki,kama hataki basi archive,mbona hamna shida,hata kama akiolewa huko

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Mtu akishataka talaka mpe, uislam unataka mwanamke akipewa talaka akae eda kabla ya kuolewa Tena..eda inaanzia miezi mitatu
 
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?

Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Kwani kuna shida gani mtu akitaka kuachana na ndoa? Hata akiolewa kesho yake tatizo likwapi kama taratibu zimefanyika?
Kwanini mumlazimishe mtu ambae hataki, kwanini yaani
 
Back
Top Bottom