Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Bi Queen apiga magoti na kusema anachohitaji zaidi yeye kwa sasa ni Amani, na kwamba yuko tayari kumuachia Mwaka kila kitu ili abaki na amani na kulea watoto wake.
Amesema kuwa anatamani mwisho wao uwe na amani, na kama kuna chochote Dkt. Mwaka anakihitaji basi amwambia ni njia zipi apite lakini vitendo vya kupelekana polisi kutengenezeana kesi na kudhalilishana kwenye mitandao si kitendo kizuri, mitandao isitumike vibaya kudhalilishana.
Akiongeza kuwa kauli ya Dkt. Mwaka alivyosema kuwa 'bado anampenda lakini hayuko tayari kuishi na yeye' imetosha kabisa kuonesha kuna sababu nyingi za kufanya wao wasibaki pamoja.
Amuomba Rais Samia, viongozi wa serikali na viongozi wa dini wamsaidie ili apate haki yake awe huru na kupata amani.
Amesema kuwa anatamani mwisho wao uwe na amani, na kama kuna chochote Dkt. Mwaka anakihitaji basi amwambia ni njia zipi apite lakini vitendo vya kupelekana polisi kutengenezeana kesi na kudhalilishana kwenye mitandao si kitendo kizuri, mitandao isitumike vibaya kudhalilishana.
Akiongeza kuwa kauli ya Dkt. Mwaka alivyosema kuwa 'bado anampenda lakini hayuko tayari kuishi na yeye' imetosha kabisa kuonesha kuna sababu nyingi za kufanya wao wasibaki pamoja.
Amuomba Rais Samia, viongozi wa serikali na viongozi wa dini wamsaidie ili apate haki yake awe huru na kupata amani.