Uislam ulipowafikia waarabu waliupinga,wakimpiga Vita mtume,walidai upo tofauti na utamaduni wao... uislam siyo uarabu ewe punguaniMswahilina bana yani kashikilia mila za Kiarabu kuliko waarabu wenyewe.
Dah eti Eda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislam ulipowafikia waarabu waliupinga,wakimpiga Vita mtume,walidai upo tofauti na utamaduni wao... uislam siyo uarabu ewe punguaniMswahilina bana yani kashikilia mila za Kiarabu kuliko waarabu wenyewe.
Dah eti Eda
Kila la heri,wenzako India wanaabudu Mammalia pia ..ingekua vizuri ukajenga nao urafiki japo wa kalamu,waabudu MammaliaYESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
Yesu ni MUNGU Jesus is God
Katika YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU
In Jesus we must TRUST and worship.
YESU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR
Sijafuatilia mgogoro wao , ila naamini sheria na misingi sahihi katika kila kitu uislamu umeweka wazi tatizo watu wenyewe tu ,hata chakula usipokukula na kukiandaa andaa katika misingi yake lazima kitakudhuru tu.Hizi ndoa za kina adriz Accumen Mo na Converter sijui zikoje? Yani full sarakasi. Bora tu kula kiti moto HADHARANI.
Unatakiwa utambue fika; ndoa hailazimishwi! Ndoa ni makubaliano ya pande mbili. Kama ikitokea upande mmoja hauridhishwi, talaka haikwepeki.Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Jiwe liko wapi!?Na nyie yaone yalivyo yanaabudu Jiwe moja jeusi la kiarabu View attachment 2510339
Uhuru ni wake, kishamchoka. Na jamaa anaona mambo yake ya uganga na ushauri wa ndoa yataharibika pabaya.Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Kinacho hofiwa pale ni mali, mwaka anaogopa kugawana mali na bibie.Mwanamke hakutaki unamn'gan'gania ya nini na utakuta hata hamkukuta akiwa bikra.
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Nani alikudanganya hivyo kuwa eti kama akitamka hivyo tu na akapewa talaka kisheria hatakuwa tena na uwezo wa kudai mgawanyo wa mali?!!Sasa amejiingiza kwenye mtego wa Dr. Mwaka bila kutarajia.
Nadhani hakuwa anajua kwamba sio kama Dr. Mwaka haitaji waachane, ila ni mwamba hataki waachane kisha wagawane mali
Hii angeijua mapema angezichanga karata zake vizuri.
Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
dini ya wisilamu inatambua kuwa kila kitu kina mwisho hata haya maisha tunayo ishi yana mwishoBi Queen apiga magoti na kusema anachohitaji zaidi yeye kwa sasa ni Amani, na kwamba yuko tayari kumuachia Mwaka kila kitu ili abaki na amani na kulea watoto wake.
Amesema kuwa anatamani mwisho wao uwe na amani, na kama kuna chochote Dkt. Mwaka anakihitaji basi amwambia ni njia zipi apite lakini vitendo vya kupelekana polisi kutengenezeana kesi na kudhalilishana kwenye mitandao si kitendo kizuri, mitandao isitumike vibaya kudhalilishana.
Akiongeza kuwa kauli ya Dkt. Mwaka alivyosema kuwa 'bado anampenda lakini hayuko tayari kuishi na yeye' imetosha kabisa kuonesha kuna sababu nyingi za kufanya wao wasibaki pamoja.
Amuomba Rais Samia, viongozi wa serikali na viongozi wa dini wamsaidie ili apate haki yake awe huru na kupata amani.
Hata kama ana ogopa sheria itamlazimisha tu!!hilo lipo ki sheria sio matakwa yake.Kinacho hofiwa pale ni mali, mwaka anaogopa kugawana mali na bibie.
Hawakujua katika suala la ibaada hamna haja ya kuonyesha kwamba umeweza na umefanikiwa Allah kwamba ndoa hutunzwa na Allah, wengine tunapendana na ndoa zetu zimetulia sio kwa ujanja wetu laa. Manara na Mwaka msirudie hivyo vibri vyenu tena.Ego and pride nadhani imesababisha haya yote. Kuna mdada hapa akandika wenye maneno mengi Kama manyara ,nwaka na sijui Nani vile
ndio ni kitu kinacho fika mwisho kama mambo mengine pia ndoa katika iimani ya uwisilamu sio jela wala adhabuHuyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
talaka kwa iimani yetu ni haki yake ya msiki yaliomo ndani yandoa yake anayajua yeye asilaumiweKwani hilo ni kosa au tatizo katika dini yake?
wewe unajua kinacho msibu?Mama anataka talaka ili aende akachapwe kihalali huko kitaa.