25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
begi la maderaKwani huyu mama alienda na vitu gani kwa Mwaka hata aseme"nipo tayari kuacha kila kitu?."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
begi la maderaKwani huyu mama alienda na vitu gani kwa Mwaka hata aseme"nipo tayari kuacha kila kitu?."
na kukumbusha ndugu umesahau talaka ya kuachwa ni miezi 3 yani kila anapo ingia kwa siku zake talaka 1 akiingia tena ya 2 akiingia tena ya 3 baada ya hapa hizo zinaitwa talaka tatu sababu ya kuingia kwa siku zake ni kipimo cha mimbaMtu akishataka talaka mpe, uislam unataka mwanamke akipewa talaka akae eda kabla ya kuolewa Tena..eda inaanzia miezi mitatu
Sasa kama hawezi kuishi na mjamaa wameshindwana kila mtu aendelee na hamsini zake. Ndivyo maisha yanavyokwenda, kama kuna 'irreconcilable differences' hapo hakuna ndoa.Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
wewe mshenzi tu ujui lolote ndio maana mnaabudu masanamu mbwa wewe kasolo mkia mtu kachoka asiachike ulitaka watengane vitanda kisha wauane au kila 1 awe anaenda nje anaziniwa kisha anarudi kisa heti alicho kifunga mungu mbinguni duniani hakuna wa kukitenganisha huo ni ushenzi tangu lini mtu anao mfata paul akajua jinsi ya kuishi na mke paulo kwanza alikuwa shoga huyu hapo chichini[emoji69][emoji116][emoji116][emoji116]Mswahilina bana yani kashikilia mila za Kiarabu kuliko waarabu wenyewe.
Dah eti Eda
siyo lazima vitu, kama ameishi naye miaka kadhaa na kuzaa naye watoto hiyo inatosha kuwa wametumia muda fulani adhimu pamoja. Siku zinasonga na miaka hairudi nyuma.Kwani huyu mama alienda na vitu gani kwa Mwaka hata aseme"nipo tayari kuacha kila kitu?."
weka picha tune tuvio abudu jiwe mbwa koko weweJiwe liko wapi!?
tanzania hakuna sheria ya kugawana mali kasome sheriya ya ndoaKinacho hofiwa pale ni mali, mwaka anaogopa kugawana mali na bibie.
Ukute na mimba ya jamaa mwingine, so anawahisha ili isimletee Noma mbeleni hukoHuyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Wewe mporipori kama hujui kiswahili basi tuliaMswahilina bana yani kashikilia mila za Kiarabu kuliko waarabu wenyewe.
Dah eti Eda
Anatumia kipengere cha malezi ya watoto, talaka ikitoka tu sheria za jamhuri zitasimama na utaona mengi yana badilika, kuna haki za watoto haki za mama watoto nk.tanzania hakuna sheria ya kugawana mali kasome sheriya ya ndoa
Umeongea point mno mkuu Mara nyingi hata kwenye maisha tukifanikisha ego ama kibri kinajaa mno tunajiona tu wajanja kuliko wengine yaani tunajisifu kuliko ambaye anayetupa pumzi.Majivuno na kiburi ndio chanzo Cha kuanguka kwa kila kituHawakujua katika suala la ibaada hamna haja ya kuonyesha kwamba umeweza na umefanikiwa Allah kwamba ndoa hutunzwa na Allah, wengine tunapendana na ndoa zetu zimetulia sio kwa ujanja wetu laa. Manara na Mwaka msirudie hivyo vibri vyenu tena.
anamtanguliza mungu mbele jembe sio jembeweka picha tune tuvio abudu jiwe mbwa koko wewe
hiyo hapo chini mkirisito mwenzako akiabudu na kumtanguliza mungu mbele [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2510384
Siyo kweli hivi ulivyoandika. Eda ya miezi mitatu ndiyo inahesabiwa hivyo siyo talaka. Madhumuni ya eda ya miezi mitatu ni kuwa apate siku zake mara tatu ili kuhakikisha hana mimba ya huyo mtalaka wake.na kukumbusha ndugu umesahau talaka ya kuachwa ni miezi 3 yani kila anapo ingia kwa siku zake talaka 1 akiingia tena ya 2 akiingia tena ya 3 baada ya hapa hizo zinaitwa talaka tatu sababu ya kuingia kwa siku zake ni kipimo cha mimba
baada ya hapo atakuwa sio mkewe tena kumrudia mpaka aolewe na mwanaume mwingine waachane tena kwa kufata vigezo via dini ya isilamu hapa anaweza mposa hupiya na kufunga nae ndoa ni hayo ndugu yangu
kama angekuwepo jembe haya yote yasinge tokeaAnatumia kipengere cha malezi ya watoto, talaka ikitoka tu sheria za jamhuri zitasimama na utaona mengi yana badilika, kuna haki za watoto haki za mama watoto nk.
Hata ingekuwa wewe mzigo kama ule unauachiaje kirahisi? Nipo pamoja na Dkt Mwaka hakuna kumpa talaka yule Queen bali arudi kwa mumewe wayajenge maisha.Sasa mpaka mtu ameamua anataka kuachana,kwanini umlazimishe uwe nae.
Mwanamke nae ana haki,kama hataki basi archive,mbona hamna shida,hata kama akiolewa huko
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Ule mzigo siyo wa kuupa talaka kiwepesi hivyo!Mtu akishataka talaka mpe, uislam unataka mwanamke akipewa talaka akae eda kabla ya kuolewa Tena..eda inaanzia miezi mitatu
sasa hapo una pinga nini unakubali nini,kuna talaka ya kumludia mke na kuna ya kutomludia kabisaSiyo kweli hivi ulivyoandika. Eda ya miezi mitatu ndiyo inahesabiwa hivyo siyo talaka. Madhumuni ya eda ya miezi mitatu ni kuwa apate siku zake mara tatu ili kuhakikisha hana mimba ya huyo mtalaka wake.
Talaka inahesabika ni moja tu. Yaani kwa matamshi na kuandika talaka ni moja tu. Ikiwa amemaliza miezi mitatu bila ya kurejeana basi ndiyo talaka imekamilika. Akitaka kumrejea inabidi amuoe tena.
Ikiwa wamekubaliana kurejeana kabla ya miezi mitatu (eda kumalizika) basi haina haja ya kumuoa tena.
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia.wewe mshenzi tu ujui lolote ndio maana mnaabudu masanamu mbwa wewe kasolo mkia mtu kachoka asiachike ulitaka watengane vitanda kisha wauane au kila 1 awe anaenda nje anaziniwa kisha anarudi kisa heti alicho kifunga mungu mbinguni duniani hakuna wa kukitenganisha huo ni ushenzi tangu lini mtu anao mfata paul akajua jinsi ya kuishi na mke paulo kwanza alikuwa shoga huyu hapo chichini[emoji69][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2510383