Huyo mwanamke kama aliolewa bila kujua maana ya ndoa, hilo ni kosa lake, sio la Dr. Mwaka.
Taratibu unazosema kufanyika moja wapo ndio mpaka Dr. Mwaka atoe talaka, sio nje ya hapo.
Ndoa sio kama shati unalovaa, ukilichoka unaenda dukani kununua jingine, ndoa ni kuvumiliana.
Kama akiachwa aondoke hapo aende sehemu nyingine, kisha aseme tena amechoka after few days, huo utakuwa ni uhuni, na dini inayojielewa haiwezi kukubali hilo.
Mwanamke atulie kwa mume wake, kama amechoka akili amuombe mume wake ampeleke Dubai akatulize kichwa, akirudi aingie jikoni kumpikia mume, full stop.