Huyu mwanamke kwa nini analazimisha talaka? Kama kuna tatizo kati yake na mwenzie kwanini wasikae chini wayamalize, kama kweli anataka amani? iweje kwake amani iwe inapatikana tu kwa kutengana na mwenzie?
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Unajua mwanamke ni kiumbe wa kumtazama mara mbili mbili sana. Nilikuwa sielewi kwann sheria za kislam zinasema hata mahakamani ushahidi wa mwanamke m'moja hautoshi kumtetea bali ushahidi wa wanawake wawili sijui watatu ndio unalingana na ushahidi wa mwanaume m'moja.
Huyu dada ndie ameanza kuleta haya mambo mitandaoni saa hii analalamika kuwa Dkt. Mwaka ndio anamshambulia mitandaoni sasa nani aliyeyaleta huku kama si yeye?
Hapo anasema yeye anataka amani tu hataki mali wala nini, huu ni uongo tena wa uzito mkubwa sana. Kilichomleta katika hayo mahusiano ni mali how come atoke kapa, hiyo haitawezekana, hiyo ni mbinu mkakati. Ukiona mwaka anakomaa kutokutoa talaka basi kuna shida upande wa mwanamke.
Wanaume mwanamke akizingua ni dakika moja tu kumuandikia talaka asepe. Ila ukiona mwanaume anagoma kutoa talaka it means kuna jambo linaendelea na huyu dada anajaribu kukwepa hilo jambo.
Shida ya wanawake ni kutaka huruma za jamii na kuonewa huruma ila nyuma ya pazia huku ukija kufahamu mchango wake katika majanga anayosababisha ndipo utaelewa ni kwann kunatokea utofautiano.
Kwann ana ng'ang'ania watoto?!
Anakwenda kuanza maisha wapi na kwa mtaji upi?! Dkt Mwaka asipokuwa makini huyu mwanamke atamharibia jina na reputation yake aliyoijenga kwa gharama. Hii ndio shida ya mwanamke kwenye maisha ya mwanaume. Anakuja kuharibia sio kukujenga au kukupa mchango wa kuboreka hapana.
Tuwe makini sana. Diamond Platinum hadi leo hajaoa mnaona anavyotoboa maisha tokea akiwa bwana mdogo. Na kuhakikishia diamond Platinum akisema tu aweke mwanamke ndani au wanawake ndani, atafilisika miaka si mingi na atarudi kuwa zero na huyo mwanamke au wanawake watamuacha kama takataka. Kinachomsaida Diamond ni mama yake yupo pale na dada zake wameweka ulinzi mkali sana wa mali kwahiyo hakuna mdangaji anafanikiwa akija pale, wanaambulia mimba tu kwisha habari. Tena mimba zenyewe wanategeshea ili walazimishe maisha.
Wanawake wa sasa ishi nao kwa formula tofauti sana achana na story zinazowapamba kuwa ni viumbe wenye huruma, sijui akipenda anapenda kweli, sijui ukitaka baraka sijui kuwa na mwanamke wako, huu ni mtego tena mtego mbaya sana.
Thamini pesa zako na mifumo yako ya kupata pesa ndio uipe attention na upendo hiyo ndio itakulinda hadi uzeeni miaka 90 au 100 huko watu kama akina diamond unawaona wanaheshimu pesa zao tazama anavyokwenda fresh,anawala kama nini na anaishi vizuri tu,mama yake yule pale anafaidi matunda ya mwanae. Tazama Zari anajinadi anapesa ila ona anavyolalamika diamond hampi pesa,sasa jiulize pesa za nini na mtu amepaki gari za bei anasema anafanya biashara na anapesa, ndio uone mwanamke ana interest zake katika mahusiano sio wewe mwanaume.
Ukiwa na pesa utapata mtu wa kukuhudumia vizuri tu, wapo watu atakubali kuja kukuhudumia kwa malipo ya kawaida kabisa. Sasa jidanganye na hizi mbaga za hawa wasema chochote wakati tunaona wanaume wenzetu ambavyo hawatoboi hata miaka 50 salama wanakuwa wameshachakaa lawama kibao na kutengwa juu. Hakuna mwanamke atakupenda wewe ile ya mapenzi ya kweli kabisa, hao wanawake alikuwapo ila sio miaka hii kwa malezi haya ya kidangaji na kuthamini mali na pesa, mwanamke mbele ya mali anachagua mali wewe ni kitu gani tena hauna thamani yoyote kwake.
Kama vipi apite hivi.