Mke wa Dkt. Mwaka asema yuko tayari kumuachia Dkt. Mwaka kila kitu mradi apate amani

Hii yote ni ujinga wa dini za kuletewa tu....hapa penzi limekwisha huyo Mwaka anamuwekea ngumu mwanamke ili iweje? Nashauri Mwaka akamatwe nakucharaza bakora si chini ya 1000 kwa kukataa kumuacha mtoto wa watu.
 
Sasa amejiingiza kwenye mtego wa Dr. Mwaka bila kutarajia.

Nadhani hakuwa anajua kwamba sio kama Dr. Mwaka haitaji waachane, ila ni mwamba hataki waachane kisha wagawane mali

Hii angeijua mapema angezichanga karata zake vizuri.

Hakuna aisee kuna nyumba SA imeandikwa kwa jina la mke tu ndio mmiliki!
Hapo ndio vurugu la mambo yote!
 
Nani mkuu...Muna?
 
Sasa mtu si hampendi tena na labda amepata mpenzi mpya
 
Hapo kuna jambo, huyu mwanamke ndio kati ya wale unamuacha saa sita mchana, ikifika saa nane, unasikia yupo sehemu nyingine anafunga ndoa.
Ndio hivyo wapo wengi wa dizaini hio karne hii especially wa kutoka huko Chemba
 
Kwani kuna shida gani mtu akitaka kuachana na ndoa? Hata akiolewa kesho yake tatizo likwapi kama taratibu zimefanyika?
Kwanini mumlazimishe mtu ambae hataki, kwanini yaani
Tatizo sio kutaka tatizo ni kulazimisha lazima waachane means kuna mwamba anampresurize pembeni aachwe amuoe yeye, wanawake kutoka Chemba hatari sana
 
Mahakama ya kadhi bila utawala wa kiislam uliona wapi wdwe?
 
Mtu akishataka talaka mpe, uislam unataka mwanamke akipewa talaka akae eda kabla ya kuolewa Tena..eda inaanzia miezi mitatu
Akimuacha tu achukui round kuna mwamba anamuweka ndani hakuna kisingizio sijui watoto kufanya nini, kuna mmoja alishawahi anakupenda Chama kuliko watoto sasa watoto ni nini wakati ameshapata mshedede mwingine wa kumsugua
 
Tatizo sio kutaka tatizo ni kulazimisha lazima waachane means kuna mwamba anampresurize pembeni aachwe amuoe yeye, wanawake kutoka Chemba hatari sana
Sawa, kama ni hivyo ndo usimle talaka? Ndo unampa vizuri ili aende zake maana ukiendelea kukaa nae kilazima ni kujitafutia majanga. Let her go
 
Sawa, kama ni hivyo ndo usimle talaka? Ndo unampa vizuri ili aende zake maana ukiendelea kukaa nae kilazima ni kujitafutia majanga. Let her go
Wanawake wa Chemba pasua kichwa
 
Kwani kuna shida gani mtu akitaka kuachana na ndoa? Hata akiolewa kesho yake tatizo likwapi kama taratibu zimefanyika?
Kwanini mumlazimishe mtu ambae hataki, kwanini yaani
Huyo mwanamke kama aliolewa bila kujua maana ya ndoa, hilo ni kosa lake, sio la Dr. Mwaka.

Taratibu unazosema kufanyika moja wapo ndio mpaka Dr. Mwaka atoe talaka, sio nje ya hapo.

Ndoa sio kama shati unalovaa, ukilichoka unaenda dukani kununua jingine, ndoa ni kuvumiliana.

Kama akiachwa aondoke hapo aende sehemu nyingine, kisha aseme tena amechoka after few days, huo utakuwa ni uhuni, na dini inayojielewa haiwezi kukubali hilo.

Mwanamke atulie kwa mume wake, kama amechoka akili amuombe mume wake ampeleke Dubai akatulize kichwa, akirudi aingie jikoni kumpikia mume, full stop.
 
Ha haa sa mbona kama mnamlazimisha? Ndo hataki tena sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Mwaka atoe talaka
 
Mnachochea uhuni tu, huwezi kusema umemchoka mumeo kama unavyoichoka nguo unayovaa, na huko anakotaka kwenda tena aje kusema amechoka baada ya muda fulani, huu mnaotetea hapa ni uzinzi tu, akae na mumewe atazoea maisha yataenda vizuri.
 
Nani mkuu...Muna?
Naam... Kawa kama kadata now.
Kuna muda anatamani heri mtoto wake angekuwepo.
Anajitahidi kuonyesha kwamba anafurahia maisha ila kiukweli anapitia kipindi kigumu sana yule dada cha 90% huzuni na majuto na 2% robo ya furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…