Ndoa hainaga fundi nyie , yaan wewe na mtu wako mlivyo nendeni hvyo hvyo , msifate sjui Dr love kasema hv mtapalanganyika dk tano nyingi
Mama Jay jayMambo yanabadilika halafu issue zake hazina mkwanja wa kudumu kivile labda awe na biashara nyingine, angekua na pesa asingegombania nyumba na kuacha kusomesha watoto yule ni mgonjwa wa akili
Inakubalika Chap Chap Fursa Hiyo Utakula Mema
Ndoa Kwa Dini Yetu Imevunjika Ukimsitiri Chap Unapata Swawabu Na Bado Ukifa Bikra 70 Chanika Kuzuri Utulivu MwingiKama ana mwaka hahudumii nikipeleka sato na ndizi bukoba na nazi hanipi mzigo kweli halafu watoto wake napeleka shule akatae kweli? Halafu namjengea kibanda chanika, aache kugombea nyumba na jamaa yake
Chali AnaleA Kitambi Bongo NyosoHivi Dr Ndodi yupo?
Hope mke bado anae.Chali AnaleA Kitambi Bongo Nyoso
Hivi Dr Ndodi yupo?
Kashapiga hela yake safiYule alikua anatueleza tusinywe soda, tule dona na mazoezi tusipate vitambi, siku moja mwaka juzi naingia mgahawa mmoja Arusha nakuta anapiga pilau na coca baridi na ashakua na kitambi kikubwa, ukiwasikiliza hawa jamaa unaweza kupotea
Wajasiriamali wa mapenzi 😀Pesa imekauka. Mke kajiongeza
Ndoa Kwa Dini Yetu Imevunjika Ukimsitiri Chap Unapata Swawabu Na Bado Ukifa Bikra 70 Chanika Kuzuri Utulivu Mwingi
Hawa Jamaa Wana Fail Wapi Ama La Kuvunda Halina Ubani!!
Mapenzi yanataka pesa na pumziWajasiriamali wa mapenzi 😀
Kaka mkubwa usisahau kunua na BundukiNdio naenda kondoa nanunua mbuzi wa kufuga 6 wanaozaa mapacha, natafuta kuku wa kienyeji 10 tunafuga mtoto naweka ndani anatulia akitaka supu atachagua nichinje mbuzi au kuku, namtafutia na infinix matata yakuperuz anatulia kimya
Pitia Dodoma Kule Kondoa Kuna Sehemu Mji Unaitwa "Mauno" Chukua Mtoto Achana Na Mwaka Ametupiga Fix Kumbe Mambo ChaliNdio naenda kondoa nanunua mbuzi wa kufuga 6 wanaozaa mapacha, natafuta kuku wa kienyeji 10 tunafuga mtoto naweka ndani anatulia akitaka supu atachagua nichinje mbuzi au kuku, namtafutia na infinix matata yakuperuz anatulia kimya
Kondoa/Chemba watoto wazuri sanaPitia Dodoma Kule Kondoa Kuna Sehemu Mji Unaitwa "Mauno" Chukua Mtoto Achana Na Mwaka Ametupiga Fix Kumbe Mambo Chali
Pitia Dodoma Kule Kondoa Kuna Sehemu Mji Unaitwa "Mauno" Chukua Mtoto Achana Na Mwaka Ametupiga Fix Kumbe Mambo Chali
Vitu Vipo Bhalaa Yaani Utaoa Mpaka Kondoa HatariKondoa/Chemba watoto wazuri sana