Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Last born wa monalisa anafanana sana na huyu jamaa. Kuna comment niliona ikisema ni mwanae

Yaani mganga hajigangi nataka kumsitiri mke wake , vacation nampeleka newala tunaenda kula korosho muda mwingine nampeleka mwanza akanywe maziwa mgando, ugali wa muhogo na sato wa kuchoma huku watoto napeleka shule hata ya day amsahau dr mwaka awe na amani
 
Hii ghiriba kali sana anafanyiwa kamanda mwaka chombo imesimama hii si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…