Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Uislam umeeleza wazi kabisa kwamba kama utashindwa kumhudumia na kumtimizia mkeo haja zake za kindoa kwa muda mrefu ndoa inavunjwa.


Sasa huyo mganga mwaka ametelekeza mwanamke mwaka mzima ,
Kimwili na matunzo mfano chakula ,tendo la ndoa,
Sasa mwanamke sio binadamu?

Kwa kifupi mganga Mwaka ndy alimuacha mke siku nyingi na akaamua kuoa mke wa 3..

Atulie Sheria za Dini zifanye Kazi.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Takhbiiiiirrrrr !!!
 
Swali ni kwamba ana mamlaka ya kuvunja ndoa?tusizungumzie mazoea
Kama Bakwata wana mamlaka ya kutoa vyeti vya ndoa basi mamlaka ya kuvunja ndoa pia wanayo Bakwata. .

Yule doctor Mwaka anajuwa baada ya ndoa kuvunjika kinachofata ni kugawana Mali,

Hicho ndy anakihofia Zaidi lakini sio talaka.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Imemuuma sana kuachwa badala ya yeye kuacha daah. Toka kutamba ndoa ya wake watatu mpaka kubakiwa na mke mmoja
Kinachomuumiza ni mkewe kuolewa mara baada ya talaka.,
Ndy maana analeta utata wa talaka ili mke asiolewe.


Siku zote ukiona mwanamke anakupeleka kwenye vyombo vya Sheria anadai talaka kwa nguvu,

Ujuwe Kuna mwanaume stand by anampush talaka ili aoe jumla.
Na ndy maana dr Mwaka akatishia kumpeleka mahakamani yeyote atakayeoa mtalaka wake,

Nadhani ameshajuwa aliyekuwa mkewe tayari ana mahusiano na mwanaume mwingiine,
Kinachosubiriwa ni talaka ili mtalaka aolewe...

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Kinachomuumiza ni mkewe kuolewa mara baada ya talaka.,
Ndy maana anaweza utata ili asiolewe.


Siku zote ukiona mwanamke anakupeleka kwenye vyombo vya Sheria anadai talaka kwa nguvu,

Ujuwe Kuna mwanaume stand by anampush talaka ili aoe jumla.
Na ndy maana dr Mwaka akatishia kumpeleka mahakamani yeyote atakayeoa mtalaka wake,

Nadhani ameshajuwa aliyekuwa mkewe tayari ana mahusiano na mwanaume mwingiine,
Kinachosubiriwa ni talaka ili mtalaka aolewe...

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
🤣 Mwamba ataaibika vibaya, mtoto kashapata shefa tayari linataka libebe mazigo jumla jumla. Si mnaelewa mitoto ya kisukuma ilivyo na huba lakini.
 
Kwahio hili baraza halina mamlaka ya kuvunja ndoa yoyote,mwenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni Mahakama ya Kadhi baada ya jitihada za kusuluhisha kushindikana,huko nako bado sijawahi kuitwa japo mke wangu alipeleka shauri.

Je utaratibu ukoje wadau?
Msubiri Kadhi naye ataitwa Clouds
 
[emoji1787] Mwamba ataaibika vibaya, mtoto kashapata shefa tayari linataka libebe mazigo jumla jumla. Si mnaelewa mitoto ya kisukuma ilivyo na huba lakini.
Leo nimeona video clip jamaa anaongea matusi mazito kwa shehe wa mkoa wa Daresalaam ,,
kwamba ni mla wake za watu tena kinyume na maumbile.
Na ushahidi anao kwamba shehe anazibuwa mitaro.

Lile jazba la Mwaka Kuna kitu kizito nyuma sio bure.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unaelewa hatua za kusajili na kuvunja ndoa kwa mujibu wa sheria zetu? Iwe imefungwa kidini, kijadi au bomani? Ndoa zote zinafungwa chini ya mwamvuli mkubwa wa Sheria za nchi Mzee…

Unaelewa lolote juu ya baraza la usuluhishi kabla ya talaka? Shikilia maoni usiongee ukapitiliza!
Hivyo vyombo vyote unavyovisema sijui baraza la usuluhishi huku vipo,, na kuna miongozo inafuatwa kabla ya yote,, hicho kitendo cha ndoa kuvunjwa ni kitendo cha mwisho kabisa baada ya kushindikana kila kitu, na kwakuwa wahusika ni binaadamu,, na kawaida ya binaadamu kama alivyo mfano wa huyo dada akichoka kuishi na mume/mke inakuwa basi, hapo ndoa inavunjwa,, na hata huko unakosema kwenye mahakama za kiserikali mara nyingi ukipeleka kesi hizi za ndoa hasa za kiislam, wanawaambia waende kwenye mabaraza ya usuluhishi ndani ya mahakama ya kadhi,,
 
Mahakama inahusika na nini?? Kwani hiyo ndoa ilifungwa mahakamani?? Ndoa ilifungwa msikitini so kama kuna tatizo lolote lile yawapasa kurudi huko huko iliko fungwa ndoa na si mahakamani,, kwa kulifahamu hilo, yule dada ndio maana kakimbikialia bakwata, na ndio maana kuna kipindi waislam walipiga sana kelele wakitaka mahakama ya kadhi, kwa kuwa haiwezekani ndoa afungishe shekhe pembe kuzagila alafu ikiingia mgogoro apelekewe mheshimiwa gwamaka mwakifamba,,
Nchi haindeshwi Kwa Sheria za dini. Jitambue
 
[emoji3064][emoji28][emoji2][emoji847][emoji125][emoji125][emoji1][emoji16]
Usikute shehe anajisevia huyo mtalaka.
Kuna wale mashehe waliitwa kwa sheikh wa mkoa wa daslam wajieleze kuwa kwa nini walishiriki ibada ya nabii wa mchongo Geo Davie.

Wale mashehe wakadai waliamka asubuhi wakajikuta wako Arusha bila kujijua wakajikuta jioni wamerudi Dar wanadai walipelekwa kwa nguvu za giza

Shehe akawa hana ujanja
 
Back
Top Bottom