Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wa TzHayo maneno yamekaa kimauzi mno as if hiyo buku ni ndogo mno kwamba wewe hauna kazi nayo🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa TzHayo maneno yamekaa kimauzi mno as if hiyo buku ni ndogo mno kwamba wewe hauna kazi nayo🤣
Then hiyo kazi haikufai tafuta kazi nyingine utafungwa karne hii bado unawaza kutumia nguvuKwamba Mimi nakudai 75,000/= halafu eti nikawachukue polisi ndio waje wasimamie zoezi la kuchukua vitu, polisi ambao nao kuwatoa kituoni pale itabidi niwape hata 50,000/= pia kumbuka hapo nimetumia usafiri ambao pia ni gharama..
Yaani nitumie gharama kurejesha pesa yangu kisa tu Kuna mpuuzi mmoja ameamua kujitoa ufahamu na kuniletea ubishi ilihali Kila kitu Kiko wazi kwenye mkataba??
Aisee sitakuwa na huo muda.. tutamalizana na wewe humo humo ndani, kama unaita mwizi ita, kama unashika panga shika tuuwane vizuri...
One day utakuja ku regret kwenye kauli za hivi mbaya zaidi MAISHA HAYANA ⏪Kwamba Mimi nakudai 75,000/= halafu eti nikawachukue polisi ndio waje wasimamie zoezi la kuchukua vitu, polisi ambao nao kuwatoa kituoni pale itabidi niwape hata 50,000/= pia kumbuka hapo nimetumia usafiri ambao pia ni gharama..
Yaani nitumie gharama kurejesha pesa yangu kisa tu Kuna mpuuzi mmoja ameamua kujitoa ufahamu na kuniletea ubishi ilihali Kila kitu Kiko wazi kwenye mkataba??
Aisee sitakuwa na huo muda.. tutamalizana na wewe humo humo ndani, kama unaita mwizi ita, kama unashika panga shika tuuwane vizuri...
Maku weweUsinipangie cha kuandika fuata biashara zako🚮
Another illogical dingbat with no iota of sense in his ramblings.Mkuu
Hata kama unafaidika lazima ukweli usemwe.
1. Hii mikopo ina riba kubwa hivyo ni chanzo cha umasikini kwa wakopaji na wizi kwa wakopeshaji na wanaonea wale wa hali ya chini.
2. Unapokopesha unatakiwa ufanye tathimini ya uwezo wa mtu kulipa na si tamaa ya kuchukua vilivyo vyake.
Huu uhuni ni lazima ukomeshwe. The sector is not well regulated.
You have said it all SirMkuu,
Hata ukienda kule kitunda,kivule, chamazi, vikindu na viunga vyake ukaanza vijibustani vyako vya mchicha.
Uwe focused
Mkopo chukua hata TIGO nivushe plus ndani ya mwezi unarejesha "Azania bank"
Mimi binafsi naona fursa nyingi Sana hapa Tanzania yaan ni kunyumbulisha akili yako TU na kuto chagua kazi aibu ,woga,, uvivu ni kuweka kando Kama una degree weka pembeni ingia mtaani kupambana na LIFE.
NB.
Kuna izo point tulijibiaga maswali huko masomoni kunakipindi WAKATI nimemaliza ELIMU ya juu Sina kazi ndipo nikajua application zake kwa vitendo,
Lack of capital, poor transport & communication, Lack of market, Low technology, low energy /power supply ie. Electricity, paste & disease, Lack of man power, Lack of government support.
Yaan unakutana na hizo point practically na automatically zinaku knock off 😅
Umaskini UNAANZIA KICHWANI then unasambaa Kama Cancer kwenye kila eneo la Maisha ya mtu.
Watu wanafikiri hela zinaokotwa wanatafuta tafuta huruma za kipuuzi tu...!!Ndivyo inavyotakiwa , hakuna kuchekeana kwenye kulipa madeni
Ndio maana Kuna muda huwa naona Moja ya biashara ambayo mtu hatakiwi kabisa kufanya na wabongo ni pamoja na hii ya KUKOPESHA...Hilo tatizo tunalo Wabongo wengi sana....
Tunapenda kukopa ila kulipa hatupendi.
Ukitaka kuona hilo, angalia Vijana waliokopeshwa boom na Serikali wakiwa vyuoni, linapokuja suala la kukatwa kwenye Mishahara yao wanavyolalamika 😜🙌
Hiyo ni manslaughter. Hapo mwamba Kibatala akipewa washtakiwa watatoka.Juma Said Mfaume, mkazi wa Mbagala Mlandizi, Pwani, amefariki dunia baada ya kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa Kampuni ya OYA Microcredit. Tukio hilo lilitokea alfajiri ya Jumanne, tarehe 8 Oktoba 2024, wakati wafanyakazi hao walipofika nyumbani kwake kudai marejesho ya mkopo wa Tsh 60,000 ambao mke wa Juma, Khadija, alikuwa ameshindwa kulipa kikamilifu.
Baada ya mabishano, wafanyakazi hao walitaka kuingia ndani ili kuchukua mali kama fidia ya mkopo. Juma alikataa, hali iliyosababisha ugomvi ambapo mmoja wa wafanyakazi hao alimshambulia Juma kwa kigongo shingoni. Baada ya kuanguka, walimbeba na kumpeleka hospitali, ambako alipoteza maisha.
Khadija, mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyochukua mkopa huo
Soma:
=> Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
=> Mfahamu Juma Jangalu anayedaiwa kuuwawa na wafanyakazi wa OYA
Hatari sana MkuuNdio maana Kuna muda huwa naona Moja ya biashara ambayo mtu hatakiwi kabisa kufanya na wabongo ni pamoja na hii ya KUKOPESHA...
Nina muda kidogo kwenye hii sekta, najionea wabongo walivyokuwa na roho ya kupenda sana kupokea hela, ila hawapendi kabisa kulipa madeni na unakuta mtu hela ya kulipa anayo ila anona akilipa deni ni kama vile anaigawa yaani roho Inakuwa inamuuma sana kutoa hela yake mfukoni eti kusudi alipe deni....
Ndio maana benki za wahindi huwa hawakopeshi kabisa waswahili hata uwe na vigezo hawakupi mkopo
Wewe kubwa jinga una point gani uliyoiandika tangu umeanza kuchangia hii mada?Aliyekutuma uje kuwatetea hana akili naye kama wewe,maana huna hata point ya maana zaidi ya kuongea ujinga tu, ukiua utafungwa na hiyo taasisi iliyokutuma utaongia matatizoni hakuna namna, angalia sasa hata hiyo oya pia imewakana tayari
Ni kukosa akili tu, hela ni za bank sio za kwao
Bank sio kikoba kuna sheria za kudai sio ukienda kinyume hicho kibank chako kinafungiwa
Unatia hata huruma nenda ukawasaidie wenzako wapo selo sasa hivi baada ya kuwa majumbani kwao kwa ujinga,huku bank inaajiri watu wwngine wanaendelea na kazi zao na hawatofanya tena huo ujinga wa kutumia nguvu sasa hivi wameshawakana hadi wafanyakazi waoWewe kubwa jinga una point gani uliyoiandika tangu umeanza kuchangia hii mada?
Yaani tangu nasoma comment yako ya kwanza unaandika kitu kile kile tu ambacho hakina mantiki hata kidogo,mbayuwayu wa Maziwa wewe...
Umekazana kutetea tu hapa kasumba ya kishenzi ya kutokulipa madeni inayowatafuna watanzania wengi ukiwemo wewe nguruwe pori...
Watu wamekupa hoja zenye mantiki huko nyuma lakini kwa vichwa lako Hilo haujaelewa hata kidogo...
Acheni kutetea upumbavuu ukikopa hela za watu kumbuka kulipa deni kwa wakati uone kama utasumbuliwa...nyau wewe
Wanatakiwa wafanye-verification ya hizo mali kwenye mamlaka zinazohusika kwa mfano kama nyumba kupitia ardhi utajua mmliki ni nani, TRA, Halmashauri na serikali za mitaa/vijiji ni mamlaka zinaweza kusaidia wakati wa verification lakini inategemea na mali husika.Na kama huyo mwana ndoa mmoja aliyechukua mikopo alidanganya kuwa Hana mume, mme wake ameshafariki hapo kosa la nani? Na maafisa mikopo wachukue hatua gani? au ndio wahesabu maumivu?
Aise ungejuta sana kama ungezimwaga huku...Hatari sana Mkuu
Kuna Mwaka nilikuwa na 20M nikawa na wazo la kuanza kukopesha, baadaye nilighairi baada ya kuona usumbufu wa wanaopata hizo Kampuni za kukopesha
You are exploiting the most vulnerable members of the society. Shame on you.Another illogical dingbat with no iota of sense in his ramblings.
Kama riba ni kubwa kwani Kuna mtu huwa anawalazimisha kuchukua mikopo?
Kwani si taratibu zote huwa wanapewa hapo awali na mikataba huwa wanaisoma kabla hawajaijaza mahala popote??
Kuhusu kufanya tathimini una habari kwamba hao wenyewe tu unakuta anakuonesha biashara ambayo sio yake na anachezea dili na mwenye biashara halisi?
Yaani wewe uje uchukue mikopo, halafu kwenye marejesho ndio unakuja kujua kwamba riba ni kubwa??
Nyie badala ya kutoa elimu kwa hao wadaiwa sugu wasioheshimu mikataba, mmebaki kushusha lawama kwa wakopeshaji na kuwaita wahuni ilihali wao ndio wanaofanyiwa uhuni na wateja wao?? Wewe jamaa vipi..
Hakuna mtu mwenye tamaa na vitu vya mtu, mbona wanaolipa wao hawachukuliwi vitu vyao?
Bana nyie washaurini wake zenu wawe wanalipa madeni yao kwa wakati hamtaona haya matukio mnayoyapigia kelele humu.Unatia hata huruma nenda ukawasaidie wenzako wapo selo sasa hivi baada ya kuwa majumbani kwao kwa ujinga,huku bank inaajiri watu wwngine wanaendelea na kazi zao na hawatofanya tena huo ujinga wa kutumia nguvu sasa hivi wameshawakana hadi wafanyakazi wao
Acha kutumia mihemko tumia akiliYou are exploiting the most vulnerable members of the society. Shame on you.
Sisi hatupigi kelele ila tunaelekeza sheria zilivyo ukija ukaenda tofauti wewe na muajiri wako wote mtapata tabu, ndio maana unaonaa oya leo anavyowakana wafanyakazi wake ambao wameenda kinyume na sheriaBana nyie washaurini wake zenu wawe wanalipa madeni yao kwa wakati hamtaona haya matukio mnayoyapigia kelele humu.