Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Kesi kama hizi ndio lisu anapaswa kuonesha uwanasheria wake.

Na sio zile za kulikomoa Taifa.

Hapo ikishaisa kesi ya jinai.

Huyo mama afungue kesi ya madai t
Dhidi ya hao wafanyakazi na kampuni ya Oya.

Awadai fidia kwa mamilioni kama si mabilioni.
 
Mimi nasema kama Kifo, Umaskini wangekuwa watu,nisikaa kuwasalimia hata wangekuwa member wa JF,nisingechangia hoja zao!
Yaan,
Bora ya kifo ni wajibu ni Jambo la muda WOTE kitatuitaji siku moja tusiyo ifahamu.

Umaskini ni kitu nacho kichukia Sanaa ukipata nafasi Maisha ni kuukimbiza umaskini kilometer nyingi sanaaa 1000kms ata usiweze kukupata.
 
Sema umaskini wa bongo kuna namna tumeuendekeza mwenyewe tu, nchi ina kila aina ya rasilimali na ardhi nzuri kwa kilimo haiwezekani kuwe na umaskini mkubwa hivi🤔
Umaskini UNAANZIA KICHWANI kukosa ELIMU SAHIHI,
Yaan,
Umaskini wa akili ni mbaya Sana hatuzioni fursa zilizopo hapa Kuna muda flani huwa naogopaga Sana haya Maisha na hatma zetu.
 
Kwahiyo mtu akikopa ndio apig



Sawa kwahiyo mtu akikipoa akishindwa kulipa ndio apigwe? Hii nchi haina sheria?
Taasisi zote za kifedha zipo chini ya bot ,hawa oya sijui nani mmiliki ila katika hali ya kawaida wamevunja misingi ya kupewa leseni ya kukopesha fedha, wanatakiwa wafungiwe leseni ,upuuzi kabisa huu
Ukigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?

Hayo makosa ya wafanyakazi sio maelekezo ya kampuni. Yeye alileta ugomvi wakamzidi bahati mbaya na sheria ichukue mkondo wake. Kampuni haiwezi fungwa kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
 
Kesi kama hizi ndio lisu anapaswa kuonesha uwanasheria wake.

Na sio zile za kulikomoa Taifa.

Hapo ikishaisa kesi ya jinai.

Huyo mama afungue kesi ya madai t
Dhidi ya hao wafanyakazi na kampuni ya Oya.

Awadai fidia kwa mamilioni kama si mabilioni.
Wale wanasheria wa Twitter aka x, wajitolee kumsaidia apate japo chochote. Namuonea huruma maana kila siku jamii itam-label kwamba alikopa mpaka akasababisha kifo cha mumewe😭😭😭, hapo mawifi watamsimanga hatari
 
Juma Said Mfaume, mkazi wa Mbagala Mlandizi, Pwani, amefariki dunia baada ya kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa Kampuni ya OYA Microcredit. Tukio hilo lilitokea alfajiri ya Jumanne, tarehe 8 Oktoba 2024, wakati wafanyakazi hao walipofika nyumbani kwake kudai marejesho ya mkopo wa Tsh 60,000 ambao mke wa Juma, Khadija, alikuwa ameshindwa kulipa kikamilifu.

Baada ya mabishano, wafanyakazi hao walitaka kuingia ndani ili kuchukua mali kama fidia ya mkopo. Juma alikataa, hali iliyosababisha ugomvi ambapo mmoja wa wafanyakazi hao alimshambulia Juma kwa kigongo shingoni. Baada ya kuanguka, walimbeba na kumpeleka hospitali, ambako alipoteza maisha.

Khadija, mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyochukua mkopa huo
Soma:

=> Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
DUh Mikopo Hii Tazama Huyu Aliekopa kwa mamaye kilichomkuta Bonyeza hapa Instgram Habari & Udaku
 
Back
Top Bottom