Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Scenario yako ni tofauti na kilichotokea
Hawa oya kazi yao ni kutoa mikopo
Mtu akashindwa kulipa,
Kuna njia za kudai ambazo sheria zimeweka kama kuchukua security au la kumpeleka mahakamani
Huwezi kurecover hela kwa kutumia nguvu,
Ni sawa coca cola kutuwekea maji machafu kisa kuna uhaba wa maji ,ni nje ya utekelezaji wa leseni yao
Kwenye taratibu au mafunzo ya hiyo kampuni ya Oya umeona kuna sehemu wafanyakazi wanaelekezwa kumpiga mdaiwa?

Kama kampuni inatoa mafunzo na maelekezo wafanyakazi wawapige wadeni, hapo ifungiwe. Wafanyakazi wamebishana na kupigana na marehemu, hawakumpiga bali wamepigana. Yeyote pale angeweza kufa, na sio kesi ya Oya ni kesi ya individuals.

Kwenye njia za kudai Oya waliamua kuchukua security.
 
Kwenye taratibu au mafunzo ya hiyo kampuni ya Oya umeona kuna sehemu wafanyakazi wanaelekezwa kumpiga mdaiwa?

Kama kampuni inatoa mafunzo na maelekezo wafanyakazi wawapige wadeni, hapo ifungiwe. Wafanyakazi wamebishana na kupigana na marehemu, hawakumpiga bali wamepigana. Yeyote pale angeweza kufa, na sio kesi ya Oya ni kesi ya individuals.

Kwenye njia za kudai Oya waliamua kuchukua security.
Wewe na hao waliomuua huyo jamaa ni wangese na mnastahili kunyongwa mpk kufa..unamfuata mtu kwake saa 10 alfajiri halafu unasema walikuwa wanapigana?

Ch*ko nini ww?
 
Kwenye taratibu au mafunzo ya hiyo kampuni ya Oya umeona kuna sehemu wafanyakazi wanaelekezwa kumpiga mdaiwa?

Kama kampuni inatoa mafunzo na maelekezo wafanyakazi wawapige wadeni, hapo ifungiwe. Wafanyakazi wamebishana na kupigana na marehemu, hawakumpiga bali wamepigana. Yeyote pale angeweza kufa, na sio kesi ya Oya ni kesi ya individuals.

Kwenye njia za kudai Oya waliamua kuchukua security.
Unajua regulators wapo kulinda walaji among other things, na hii mikopo hawa wakopaji ni masikini wakutupwa na hawajui haki zao wala hawana elimu ya kutosha ya wanachokifanya ila shida zinawaingiza kwenye mikopo kama hii
Na hawa oya wanajua hiyo weakness ,malalamiko ya wao kutumia nguvu yamekuwa mengi wakati miongozo ya bot inaeleza vizuri recovery process inavyotakiwa hakuna sehemu ya hata kugusana acha kupigana
Sasa kwa makelele tuliyoyasikia hadi jana mtu kauliwa ,bot wangekuwa wanafanya kazi yao vizuri wangeweza kuokoa maisha ya kijana yule
HAwa oya ni watu wenye uwezo presumption ni kwamba kuna conflict of interest ndio chanzo cha regulator kufumbia macho vitu vingi wankiacha mnyonge anateketea na kufaanyiwa vitendo vya kinyama,hapa bot wamefeli na hadi leo kama regulator hatujasikia chochote wakati hii mikopo ya hovyo ikiwadhalilisha na kuwatoa watu utu wao
 
Wewe na hao waliomuua huyo jamaa ni wangese na mnastahili kunyongwa mpk kufa..unamfuata mtu kwake saa 10 alfajiri halafu unasema walikuwa wanapigana?
Kesi iende mahakamani na isemwe jinsi Oya walivyoenda alfajiri ili kumpiga shingoni huyo marehemu.
Hii ni story ya upande mmoja ya mtu anayeshikwa mashati kwa mkopo wa elfu sitini. Ukweli mwingine utajulikana mahakamani.

Uko itajulikana kwanini wamfuate usiku, kwani mkopo unalipwa kwa kufuatwa sio kwa mkopaji kulipa mwenyewe.
Itasemwa imekuwaje wakamuua, hao ni wadai mkopo au majambazi.

Sijawahi sikia ukomo wa muda wa kudai kwa siku. Mkataba wao hatujui kama uko specified mwisho wa kudai ni saa ngapi.
 
Kesi kama hizi ndio lisu anapaswa kuonesha uwanasheria wake.

Na sio zile za kulikomoa Taifa.

Hapo ikishaisa kesi ya jinai.

Huyo mama afungue kesi ya madai t
Dhidi ya hao wafanyakazi na kampuni ya Oya.

Awadai fidia kwa mamilioni kama si mabilioni.
Tatizo sheria zetu zinawalinda sana wawekezaji !!!
 
Ukigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?

Hayo makosa ya wafanyakazi sio maelekezo ya kampuni. Yeye alileta ugomvi wakamzidi bahati mbaya na sheria ichukue mkondo wake. Kampuni haiwezi fungwa kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
Lakini kumbuka wametenda hayo makosa wakiwa wanatekeleza wajibu wao kazini je kampuni itwambie, je huo ndiyo utaratibu wao!? Tuanzie hapo kwanza!!
 
Choko mamako. Kesi iende mahakamani na isemwe jinsi Oya walivyoenda alfajiri ili kumpiga shingoni huyo marehemu.
Hii ni story ya upande mmoja ya mtu anayeshikwa mashati kwa mkopo wa elfu sitini. Ukweli mwingine utajulikana mahakamani.

Uko itajulikana kwanini wamfuate usiku, kwani mkopo unalipwa kwa kufuatwa sio kwa mkopaji kulipa mwenyewe.
Itasemwa imekuwaje wakamuua, hao ni wadai mkopo au majambazi.

Sijawahi sikua ukomo wa muda wa kudai kwa siku. Mkataba wao hatujui kama uko specified mwisho wa kudai ni saa ngapi.
Sheria kuadaiwa na taasisi ya fedha ni masaa ya kazi,kwa hiyo ikifika saa kumi na mbili hawajatokea unatakiwa upumue kama afadhali leo imepita salama, tofauti na mtu binaafsi hata saa nane usiku anaibuka
 
Unajua regulators wapo kulinda walaji among other things, na hii mikopo hawa wakopaji ni masikini wakutupwa na hawajui haki zao wala hawana elimu ya kutosha ya wanachokifanya ila shida zinawaingiza kwenye mikopo kama hii
Na hawa oya wanajua hiyo weakness ,malalamiko ya wao kutumia nguvu yamekuwa mengi wakati miongozo ya bot inaeleza vizuri recovery process inavyotakiwa hakuna sehemu ya hata kugusana acha kupigana
Sasa kwa makelele tuliyoyasikia hadi jana mtu kauliwa ,bot wangekuwa wanafanya kazi yao vizuri wangeweza kuokoa maisha ya kijana yule
HAwa oya ni watu wenye uwezo presumption ni kwamba kuna conflict of interest ndio chanzo cha regulator kufumbia macho vitu vingi wankiacha mnyonge anateketea na kufaanyiwa vitendo vya kinyama,hapa bot wamefeli na hadi leo kama regulator hatujasikia chochote wakati hii mikopo ya hovyo ikiwadhalilisha na kuwatoa watu utu wao
Kwani una uhakika gani kwamba kwenye taratibu za recovery Oya ndio wamempiga marehemu, what if marehemu ndio kawashambulia nao wamejilinda wakamuua bahati mbaya?

Ukinipakia kwenye bodaboda nikakukaba kukuibia na kukudhuru, nawe kwenye kujitetea ukaniua ni sahihi watu baki kushadadia kwamba wewe ni bodaboda jambazi muuaji?

Bila kwenda mahakamani ushahidi ukasikilizwa na cross examination mtaamini Oya wameenda na vile vigari vyao na sare kumvamia mume wa mwanamke ambaye kulipa deni la elfu 60 hawezi.
 
Kwani una uhakika gani kwamba kwenye taratibu za recovery Oya ndio wamempiga marehemu, what if marehemu ndio kawashambulia nao wamejilinda wakamuua bahati mbaya?

Ukinipakia kwenye bodaboda nikakukaba kukuibia na kukudhuru, nawe kwenye kujitetea ukaniua ni sahihi watu baki kushadadia kwamba wewe ni bodaboda jambazi muuaji?

Bila kwenda mahakamani ushahidi ukasikilizwa na cross examination mtaamini Oya wameenda na vile vigari vyao na sare kumvamia mume wa mwanamke ambaye kulipa deni la elfu 60 hawezi.
Tatizo ni kwamba kwenye kudai mkopo kama hata mtu anakuwa mkaidi mahakama zipo wala hawaruhusiwi kumgusa ,its a civil matter, na hawa oya kwa malalmiko tunayoyasikia kila siku wanatumia nguvu kwenye kudai , na huyu mtu ameuwawa dukani kwake akiwa kwenye shughuli zake ,siyo rahisi utuambie huyu mtu mmoja eti awafuate maafisa wa oya wemgi apigane nao ,hata kwa akili ya kawaida tu haiingii
 
Sasa haya ndio makosa ya kampuni kuwaagiza kudai usiku, ila suala la kuua kwenye kudai hakuna kampuni inayoweza agiza wafanyakazi waue hivyo sio kosa la kampuni ni la huyo aliyeua.
Wana practice ya kutumia nguvu ,ndio imekuwa tabia yao kwenye kudai sasa namna hii tunayaweka maisha ya wananchi wetu kwenye hatari , wawe suspended wakati matukio au malalmiko haya yanachunguzwa maana watatuulia ndugu zetu
 
Back
Top Bottom