Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Tatizo ni kwamba kwenye kudai mkopo kama hata mtu anakuwa mkaidi mahakama zipo wala hawaruhusiwi kumgusa ,its a civil matter, na hawa oya kwa malalmiko tunayoyasikia kila siku wanatumia nguvu kwenye kudai , na huyu mtu ameuwawa dukani kwake akiwa kwenye shughuli zake ,siyo rahisi utuambie huyu mtu mmoja eti awafuate maafisa wa oya wemgi apigane nao ,hata kwa akili ya kawaida tu haiingii
Vipi taratibu za kisheria huwa zinazuia mdai kubeba vitu vilivyowekwa dhamana? Maana inawezekana mzozo umetokea kwenye kubeba hivyo vitu na marehemu akatetea mali zao mwishowe ikatokea murder.
 
Dawa ya deni ni kulipa asee
Hao jamaa wana njaa ya riba. Mtu kakopa, kabakisha marejesho mawili, kashindwa. Badala ya kumfanyia reschedule ya hayo marejesho mawili ili rejesho lipungue unamwongezea mkopo tena halafu unamkata yale marejesho mawili ili umcharge riba kwenye mkopo mpya mkubwa.
 
Ukigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?

Hayo makosa ya wafanyakazi sio maelekezo ya kampuni. Yeye alileta ugomvi wakamzidi bahati mbaya na sheria ichukue mkondo wake. Kampuni haiwezi fungwa kwa makosa binafsi ya wafanyakazi wake.
Walienda kama kampuni usitake kupotosha watu.
 
Vipi taratibu za kisheria huwa zinazuia mdai kubeba vitu vilivyowekwa dhamana? Maana inawezekana mzozo umetokea kwenye kubeba hivyo vitu na marehemu akatetea mali zao mwishowe ikatokea murder.
Sheria inasema kuwa kama mali ni ya wanandoa basi mali hiyo itawekwa dhamana pale tu wanandoa wote wamekubali mali hiyo iwekwe dhamana. Hivyo kama ni mwanandoa mmoja tu amehusika kwenye kuweka dhamana ya mali hiyo, basi mali hiyo haiwezi kuchukulia na mtoa mkopo kwa kuwa ni kinyume na sheria za nchi.
 
Hii Nchi hali ya Umasikini wa kipato ni Mkubwa sana

Imagine Mkopo wa shilingi 200,000 wanakaa miezi 3 hadi 6 hadi kushindwa kulipa.

Wakati Mume angechukua hilo Jukumu la kuulipa huo mkopo sidhani kama angeshindwa kulipa walau shilingi 60,000 Kwa Mwezi ambapo ni wastani wa kusevu shilingi 2,000 Kwa Siku
Mambo ya wanawake ni pasua kichwa ndg! Omba yasikukute.
Kuna jamaa wamelipia wanawake madeni wasiyoyajua mpaka wamepata vidonda vya tumbo kwa kuwaza.
Kina wanawake wamekimbia familia kutokana na kuzidiwa madeni waliyojichukulia bila ya waume kujua
 
Hawaajiri wenye weredi wa kukopesha na kudai bali wanaajiri yeyote tu aliemaliza vidato, hii ndio tabu yake.

Yeyote tu anaweza kupewa mkopo, evaluation zao za kiwaki tu unapewa mkopo mkubwa usioweza kuurudisha na wao wakilijua hilo.

Duka limejifia, zimebaki mbao tu mtu anapewa mkopo arudishe kila wiki, huyo hatoboi watasumbuana tu..

Ila kwakua wao wanalipwa marupurupu kwa idadi ya wakopwaji waliolipa basi wanafosi kukopesha na kudai kwa nguvu zaidi...
 
Wala usidhani kuwa chuki dhidi ya Uislamu itakufanya uwe tajiri. Utakufa kama ntavyokufa mim na uislamu utauwacha kama utakavyouacha ukristo wako. Punguza chuki zisizo za lazima.
Chuki gani tena kipenzi cha allah? Kwani kampuni sio ya mwislamu? Aliye uawa sio mwislamu? Au unajitoa akili kama allah?
 
Kabisa, Umasikini unatufanya tuzae watoto wenye udumavu wa akili pia Kwa kukosa mlo kamili

Hivyo hata uwezo wa kufikiri kwetu unapungua automatic
Mtu ni mwepesi kukopa Ila kulipa ni matanga..
Na unakuta pesa alienda kumtunza mtu, kucheza mtoto ngoma kigodoro hii yote yanayotokea ni umaskini wa akili (ELIMU)
 
Back
Top Bottom