Kwa kweli tuna hali mbaya hatariUmaskini ni mbaya sana yaan umaskini wa Hali, umaskini wa kipato, umaskini wa Mali.
Listening, π§
Umaskini mbaya_ D voice
Sema umaskini wa bongo kuna namna tumeuendekeza mwenyewe tu, nchi ina kila aina ya rasilimali na ardhi nzuri kwa kilimo haiwezekani kuwe na umaskini mkubwa hiviπ€Umaskini ni mbaya sana yaan umaskini wa Hali, umaskini wa kipato, umaskini wa Mali.
Listening, π§
Umaskini mbaya_ D voice
tzUkimani ndio wap?
rasilimali nambari wani ni akili. taifa lenye watu below average IQ unategemea maajabu gani ndugu yangu?Sema umaskini wa bongo kuna namna tumeuendekeza mwenyewe tu, nchi ina kila aina ya rasilimali na ardhi nzuri kwa kilimo haiwezekani kuwe na umaskini mkubwa hiviπ€
Yaan,Mimi nasema kama Kifo, Umaskini wangekuwa watu,nisikaa kuwasalimia hata wangekuwa member wa JF,nisingechangia hoja zao!
Nikajua hapa dar es salaam pekee kumbe Tz kwa ujumla wake.
Hiyo mikopo nasikiaga buguruni wanaita CHUPI MKONONI.Kumkojoza mwanamke aliyekopa OYA nikazi sana,wanapitia mengi
Umaskini UNAANZIA KICHWANI kukosa ELIMU SAHIHI,Sema umaskini wa bongo kuna namna tumeuendekeza mwenyewe tu, nchi ina kila aina ya rasilimali na ardhi nzuri kwa kilimo haiwezekani kuwe na umaskini mkubwa hiviπ€
Ukigongwa na gari la CocaCola utataka kampuni ifungwe sababu haikupewa kibali cha kugonga watu?Kwahiyo mtu akikopa ndio apig
Sawa kwahiyo mtu akikipoa akishindwa kulipa ndio apigwe? Hii nchi haina sheria?
Taasisi zote za kifedha zipo chini ya bot ,hawa oya sijui nani mmiliki ila katika hali ya kawaida wamevunja misingi ya kupewa leseni ya kukopesha fedha, wanatakiwa wafungiwe leseni ,upuuzi kabisa huu
Aisee,Kwa kweli tuna hali mbaya hatari
Imagine tunaishi Nchi ambayo ukioga na kuvaa vizuri unaulizwa Leo una safari ya wapi Kijana wangu ππ
Mmiliki naniKampuni ya mwislamu imemuua mwislamu.
Wale wanasheria wa Twitter aka x, wajitolee kumsaidia apate japo chochote. Namuonea huruma maana kila siku jamii itam-label kwamba alikopa mpaka akasababisha kifo cha mumeweπππ, hapo mawifi watamsimanga hatariKesi kama hizi ndio lisu anapaswa kuonesha uwanasheria wake.
Na sio zile za kulikomoa Taifa.
Hapo ikishaisa kesi ya jinai.
Huyo mama afungue kesi ya madai t
Dhidi ya hao wafanyakazi na kampuni ya Oya.
Awadai fidia kwa mamilioni kama si mabilioni.
DUh Mikopo Hii Tazama Huyu Aliekopa kwa mamaye kilichomkuta Bonyeza hapa Instgram Habari & UdakuJuma Said Mfaume, mkazi wa Mbagala Mlandizi, Pwani, amefariki dunia baada ya kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wafanyakazi wa Kampuni ya OYA Microcredit. Tukio hilo lilitokea alfajiri ya Jumanne, tarehe 8 Oktoba 2024, wakati wafanyakazi hao walipofika nyumbani kwake kudai marejesho ya mkopo wa Tsh 60,000 ambao mke wa Juma, Khadija, alikuwa ameshindwa kulipa kikamilifu.
Baada ya mabishano, wafanyakazi hao walitaka kuingia ndani ili kuchukua mali kama fidia ya mkopo. Juma alikataa, hali iliyosababisha ugomvi ambapo mmoja wa wafanyakazi hao alimshambulia Juma kwa kigongo shingoni. Baada ya kuanguka, walimbeba na kumpeleka hospitali, ambako alipoteza maisha.
Khadija, mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyochukua mkopa huo
Soma:
=> Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
DUh Mikopo Hii Tazama Huyu Aliekopa kwa mamaye kilichomkuta Bonyeza hapa Instgram Habari & UdakuWale wanasheria wa Twitter aka x, wajitolee kumsaidia apate japo chochote. Namuonea huruma maana kila siku jamii itam-label kwamba alikopa mpaka akasababisha kifo cha mumeweπππ, hapo mawifi watamsimanga hatari