Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

One day utakuja ku regret kwenye kauli za hivi mbaya zaidi MAISHA HAYANA ⏪

Easy fuata ushauri Kama wadau wengi wanavyo kushaur VIOLENCE HAUJAWAI saidia hata Kama ulikua unadai iyo 75k utatumia gharama zaidi ya hio
Bana wewe kama ni mkopaji au una dada zako hapo au mkeo ambaye ni mkopaji wa hizi tasisi ndogo ndogo msisitize awe anaheshimu makubaliano hili kuepusha fedhea zinazotokana na kutokukulipa deni..

Wabongo huwa Wana kawaida ya kutumia loopholes zilizopo kwenye Kila jambo kutotimiza wajibu wao, mfano kama hapa loophole iliyopo ni hiyo milolongo ya kisheria mnayoisema, mtu akishajua Hawa jamaa mpaka waje wanifirisi ni lazima wapewe permission na mahakama na hawawezi kwenda mahakamani kwa hii hela ndogo wanayonidai.... Hivyo basi mtu anaendelea kupiga marktime tu hataki kulipa deni kwa makusudi, tunajua sana akili za wabongo
 
Unajiaibisha, endelea kujianika kila mtu anakuona 🤣
Ukikopa LIPA deni kwa wakati na sio unaanza kuleta excuse ambazo hazina kichwa Wala miguu Wala hazihusiana...mara ooh nauguza, sijui mara biashara mbovu... Kumbe ni uongo mtupu

Halafu Sasa mlivyokuwa washenzi nyie akina mama, unakuta huku kwenye taasisi zetu mnakopa mikopo midogo tu hata wa 200,000/= lakini marejesho mnasumbua kweli kulipa....

Wakati huo huo mnaenda kuchukua mikopo mikubwa ASA na BRAC ambapo unakuta rejesho lake ni 80,000/= kwa wiki lakini Kila wiki unawapelekea rejesho lao Tena kikiwa limekamika...

Huku sisi tukikwambia utuletee rejesho letu unatupiga kiswahili mara ohoo Niko muhimbili Nina mgonjwa, mara sijui Niko bagamoyo nimesafirisha msiba...yaani uongo uongo tu, halafu ukija kufirisiwa unaanza kulalamika eti unanyanyaswa?
 
Watu wanafikiri hela zinaokotwa wanatafuta tafuta huruma za kipuuzi tu...!!

Mtu kaja kukopa baada ya kutatua shida zake anakuwa mzito kwenye kurudisha hela kwa wewe mkopeshaji...

Anatoka kwake usiku na kurudi usku na simu hapokei, Sasa anataka umfuate saa ngapi??
Tangu nijifunze usumbufu wa baadhi ya watz, siku hizi ni aidha nikupe kama msaada au nisikupe kabisa chochote ili tuendelee kuwa washikaji.
 
Wewe kubwa jinga una point gani uliyoiandika tangu umeanza kuchangia hii mada?

Yaani tangu nasoma comment yako ya kwanza unaandika kitu kile kile tu ambacho hakina mantiki hata kidogo,mbayuwayu wa Maziwa wewe...

Umekazana kutetea tu hapa kasumba ya kishenzi ya kutokulipa madeni inayowatafuna watanzania wengi ukiwemo wewe nguruwe pori...

Watu wamekupa hoja zenye mantiki huko nyuma lakini kwa vichwa lako Hilo haujaelewa hata kidogo...

Acheni kutetea upumbavuu ukikopa hela za watu kumbuka kulipa deni kwa wakati uone kama utasumbuliwa...nyau wewe
Huyo naye akabidhiwe kwa watoa vipigo, anaonekana ni msumbufu wa kulipa madeni
 
Hawajakutana na watu wanaojua sheria. Kumlazimisha mteja wako kuingia kwenye gari kwa nguvu ni kinyume cha sheria hiyo ni unlawful arrest kwa sababu issue ya mkopo ni civil case wala si criminal case. Nashangaa kusikia eti wanaenda majumbani mwa watu usiku kukamata kitu ambacho ni unlawful.
Hayo mambo ya unalawfulness yana apply mkikamatwa kinguvu tu, mbona hamtumii busara hiyo hiyo kuheshimu mikataba mliyoingia wakati mnachukua pesa za watu?
 
Bana wewe kama ni mkopaji au una dada zako hapo au mkeo ambaye ni mkopaji wa hizi tasisi ndogo ndogo msisitize awe anaheshimu makubaliano hili kuepusha fedhea zinazotokana na kutokukulipa deni..

Wabongo huwa Wana kawaida ya kutumia loopholes zilizopo kwenye Kila jambo kutotimiza wajibu wao, mfano kama hapa loophole iliyopo ni hiyo milolongo ya kisheria mnayoisema, mtu akishajua Hawa jamaa mpaka waje wanifirisi ni lazima wapewe permission na mahakama na hawawezi kwenda mahakamani kwa hii hela ndogo wanayonidai.... Hivyo basi mtu anaendelea kupiga marktime tu hataki kulipa deni kwa makusudi, tunajua sana akili za wabongo
Kulikua na ulazima gani kutaja Mara dada zangu Mara mke wangu sijui ukopaji ?

Jitahid ku brush hizo akili zako jikite kwenye MADA mezani na usipende kuwa insult watu.

NB.
Bare in mind madhara ya kujichukulia Sheria mkononi ni makubwa mno jaribu kukaa na watu wanao kuzidi upeo utajifunza mengi bila kusahau busara za wazee
 
Hali ya umaskini wa kipato imeongezeka kwa kasi ya 5G lakini kila kukicha ni sifa jinsi uchumi ulivyoimarika.Mume asingeweza kuchukua jukumu la kulipa huo mkopo kwa sababu ni mume jina tu.Real men wanatunza wake zao kwa hiyo sababu ya kukopa na kuhangaika hangaika haipo.
Ni kweli Mkuu, ndiyo maana hata single mothers wanazidi kuongezeka baada ya baadhi ya Wanaume wenzetu kushindwa majukumu ya kulea familia zao
 
Ukikopa LIPA deni kwa wakati na sio unaanza kuleta excuse ambazo hazina kichwa Wala miguu Wala hazihusiana...mara ooh nauguza, sijui mara biashara mbovu... Kumbe ni uongo mtupu

Halafu Sasa mlivyokuwa washenzi nyie akina mama, unakuta huku kwenye taasisi zetu mnakopa mikopo midogo tu hata wa 200,000/= lakini marejesho mnasumbua kweli kulipa....

Wakati huo huo mnaenda kuchukua mikopo mikubwa ASA na BRAC ambapo unakuta rejesho lake ni 80,000/= kwa wiki lakini Kila wiki unawapelekea rejesho lao Tena kikiwa limekamika...

Huku sisi tukikwambia utuletee rejesho letu unatupiga kiswahili mara ohoo Niko muhimbili Nina mgonjwa, mara sijui Niko bagamoyo nimesafirisha msiba...yaani uongo uongo tu, halafu ukija kufirisiwa unaanza kulalamika eti unanyanyaswa?
Ww ndio oya. Tutawafungeni kwa kuuwa kumbaf zenu
 
Kulikua na ulazima gani kutaja Mara dada zangu Mara mke wangu sijui ukopaji ?

Jitahid ku brush hizo akili zako jikite kwenye MADA mezani na usipende kuwa insult watu.

NB.
Bare in mind madhara ya kujichukulia Sheria mkononi ni makubwa mno jaribu kukaa na watu wanao kuzidi upeo utajifunza mengi bila kusahau busara za wazee
Yaani kwenye hiyo comment yangu kuwataja dada zako na mkeo unajihisi kuwa offended???? Kivipi yaani hapo na wakati nimetolea kama mfano??

Wewe jamaa una akili kama za mtoto wa kike ambaye Bado Yuko kwenye adolescence, maana wasichana wa umri huo ndio wanakuwaga na mihemko sana kama hii unayoinesha hapa...

Inavyooneka umedekezwa sana kwenye makuzi yako wewe na ndio maana uko too emotional na huruma zako za kijinga..

Narudia Tena kama una ndugu zako au watu wa karibu ambao wanaopenda kukopa kopa mara kwa mara wasisitize wawe wanalipa madeni kwa wakati na sio usubiri wakirlfisiriwa uanze kuwapa sympathy za kipuuzi hapa Wakati makosa ni ya kwao wenyewe.

La mwisho jaribu kuwa na roho ya kiume, nafasi yako ni laini sana.
 
Kampuni Bora ya mkopo kwangu ni watu credit tu...aisee Hawa jamaa ni wavumilivu sana
 
Huyo naye akabidhiwe kwa watoa vipigo, anaonekana ni msumbufu wa kulipa madeni
Unajua mswahili siku zote ni mtu anayependa kujihesabia haki hata kwenye mazingira ambayo Yana kandamiza haki ya mwingine.

Mtu kakopa halafu hataki kulipa kwa makusudi, haya akichukuliwa hatua stahiki anaona kwamba ameonewa na hatendewi haki....

Mtu kaweka vitu vyake mwenyewe kwamba akishindwa kulipa deni basi hivyo vitu alivyoweka vitafidia deni analodaiwa, haya mwisho wa siku ameshindwa kulipa halafu hivyo vitu hataki kuvitoa...nguvu ikitumika anasema kwamba ameonewa serious?? Wabongo Kuna muda huwa naamini ni binadamu wenye akili za toleo la mwisho kabisa wanaishi sana
 
Kampuni Bora ya mkopo kwangu ni watu credit tu...aisee Hawa jamaa ni wavumilivu sana
Kwa sababu pesa ya ambayo mmekubaliana kulipa ndani ya miezi 3 wao wako tayari uilipe hata kwa miezi 9 kikubwa umalizs sio??

Akili za wabongo hizi... Mnapenda maisha ya huruma huruma tu na dezo pasipo kuangalia kwamba na wao Wana target zao.
 
Ww ndio oya. Tutawafungeni kwa kuuwa kumbaf zenu
Lipeni madeni ya watu na sio kuleta janja janja na uswahili mwingi..

Na pia kama mkeo anadaiwa wewe mlipie deni lake au ongea na maafisa kistarabu hata kama mkeo hakukushirikisha kwenye huo mkopo hapo awali... Ukileta ukaidi utaishia pabaya, maana huna uwezo wa kupambana na watu watano waliokuja kwako Tena kwa kushtukiza.
 
Hayo mambo ya unalawfulness yana apply mkikamatwa kinguvu tu, mbona hamtumii busara hiyo hiyo kuheshimu mikataba mliyoingia wakati mnachukua pesa za watu?
Wajinga sana Hawa... Yaani wanaonekana wako tayari kutumia pesa kuendesha kesi kuliko kutumia pesa hiyo kulipa deni kuepuka usumbufu wote huo..

Ndio maana Mimi huwa naamini wabongo ni watu wenye akili za daraja la mwisho.
 
Lipeni madeni ya watu na sio kuleta janja janja na uswahili mwingi..

Na pia kama mkeo anadaiwa wewe mlipie deni lake au ongea na maafisa kistarabu hata kama mkeo hakukushirikisha kwenye huo mkopo hapo awali... Ukileta ukaidi utaishia pabaya, maana huna uwezo wa kupambana na watu watano waliokuja kwako Tena kwa kushtukiza.
Lipeni roho za watu
 
Tangu nijifunze usumbufu wa baadhi ya watz, siku hizi ni aidha nikupe kama msaada au nisikupe kabisa chochote ili tuendelee kuwa washikaji.
Kaka kama unaingia kwenye hii sekta ni heri uwe unakopesha wahindi na wasomali tu Hawa waswahili wenzetu achana nao kabisa ni watu wa ovyo sana.

Msomali ukimkopesha ikifika siku ya rejesho atafanya juu chini akuletee rejesho lako hata kama amefiwa na mzazi.... Njoo kwa Hawa waswahili Sasa, excuses Kibao mara ooh nimesafirisha msiba sijafanya biashara leo, mara hoo Niko hospital namuuguza mtoto amegongwa na piki piki, yaani vijisababu tu ambavyo havihusiani kabisa na mkataba wenu na Tena unakuta anakomaa mkizozana sana utaskia anakwambia kwani nyie huwa hamfiwi??...

kwakweli hii sio biashara ya kufanya na waswahili.
 
Kaka kama unaingia kwenye hii sekta ni heri uwe unakopesha wahindi na wasomali tu Hawa waswahili wenzetu achana nao kabisa ni watu wa ovyo sana.

Msomali ukimkopesha ikifika siku ya rejesho atafanya juu chini akuletee rejesho lako hata kama amefiwa na mzazi.... Njoo kwa Hawa waswahili Sasa, excuses Kibao mara ooh nimesafirisha msiba sijafanya biashara leo, mara hoo Niko hospital namuuguza mtoto amegongwa na piki piki, yaani vijisababu tu ambavyo havihusiani kabisa na mkataba wenu na Tena unakuta anakomaa mkizozana sana utaskia anakwambia kwani nyie huwa hamfiwi??...

kwakweli hii sio biashara ya kufanya na waswahili.
Niliwahi kukumpesha mzee fulani mfanyakazi wa Halmashauri, kwa hadhi yake sikutegemea kama angekuja kunisumbua kuja kulipa deni. Nilivyofuatili kwa wafanyakazi wenzake wakaniambia huyo mzee ni mtata sana kwenye kulipa madeni. nashukuru alinilipa japo kwa kuchelewa sana.
 
Back
Top Bottom