Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Sijui hata nianzie sehemu ipi kuelezea na wana MMU mlivyo wavivu kusoma sired ndefu.

Mama O alienda kwao kujifungua watoto mapacha huku kaka akiwa bize kutafta pesa, mama O kajifungua salama akaongeza miezi mitatu kubaki kwao ilipo timia miezi 6 ya mtoto ndio akarejea kwa kaka (baba O).

Mama O alipokelewa vizuri na mashamrashamra kama yote ya 40za mapacha. usiku huo hakuomba game (anasema baba O) kwamba alikuwa na furaha ya mapacha, na ha mama O hakuonesha uhitaji wa hilo.

Siku tatu zilipo fika baba O Akamwambia ”nilimiss”😄😄 mama O kwa mshangao akamwambia “ kwani siku zote hizo hujapata wakumtia 😳”

Baba O anasema hakumjibu kitu ilibidi alale ndio akaja kuniuliza sisi wasicha huwa tunamaanisha nini kuitamka hiyo sentensi kwa mumeo? nikiri tu kwamba mimi sijawahi na sijui amemaanisha nini hapo.

Nafikiri nimeandika walau nimesomeka eti huyu mama O amemaanisha nini kwa kauli hiyo?

Karibuni.
 
Mwambie hapo kategwa kuulizwa 'hukupata wa kum**?', hapo ilitakiwa akatae kabisa aape na alambe hadi udongo amuambie 'sijapata mke wangu na siwezi nilikuwa nasubiri tu tamu yako'..!.

asingeamini vile ambavyo angepewa yote na angekuta Mama O yuko wet down there..!!

'Ishini nao kwa akili'...!
 
Mwambie hapo kategwa kuulizwa 'hukupata wa kum**?', hapo ilitakiwa akatae kabisa aape na alambe hadi udongo amuambie 'sijapata mke wangu na siwezi nilikuwa nasubiri tu tamu yako'..!.

asingeamini vile ambavyo angepewa yote na angekuta Mama O yuko wet down there..!!

'Ishini nao kwa akili'...!
We mtoto..! Umekula nini leo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila baba O sio baharia kabisa
 
Mwambie hapo kategwa kuulizwa 'hukupata wa kum**?', hapo ilitakiwa akatae kabisa aape na alambe hadi udongo amuambie 'sijapata mke wangu na siwezi nilikuwa nasubiri tu tamu yako'..!.

asingeamini vile ambavyo angepewa yote na angekuta Mama O yuko wet down there..!!

'Ishini nao kwa akili'...!
Swali tata
 
Back
Top Bottom